Wanasayansi wagundua mifupa ya mnyama mkubwa zaidi ya dinosaur aliyeishi Rukwa
Wanasayansi wanaochunguza viumbe vilivyoishi zamani (Paleontologists), kutoka chuo kikuu cha Ohio nchini Marekani, wamegundua mnyama mkubwa zaidi kuliko dinosaur aitwaye Rukwatitan bisepultus, aliyekuwa na miguu ya mbele yenye urefu wa futi 6 1/2 na ambaye uzito wake ukadiriwa kuwa zaidi ya tembo kadhaa. Ugunduzi huo uliofafanuliwa kwenye jarida la Vertebrate Paleontology umesaidia kupatikana kwa uhakika […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 May
Mifupa ya mtoto aliyeishi kwenye boksi imevunjika
POLISI mkoani Morogoro, inaendelea kuchungua kilichotokea mpaka mtoto mkoani hapa (jina limehifadhiwa), akateswa na mzazi mlezi kwa kuwekwa katika boksi tangu akiwa na miezi tisa, mpaka alipotimiza miaka minne. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, amesema, baba mzazi wa mtoto huyo, Rashid Mvungi ambaye ni mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro alitakiwa kwenda kutoa maelezo kituoni leolakini hakutokea.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7omTwN2kp7c/U3zCHLcW5eI/AAAAAAAFkLE/GRQ5gjGFVIc/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Dar es Salaam mwenyeji wa mkutano mkubwa wa wanasayansi wiki ijayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-7omTwN2kp7c/U3zCHLcW5eI/AAAAAAAFkLE/GRQ5gjGFVIc/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SlUH5_XPq-Q/U3zCHL8b3MI/AAAAAAAFkLA/qQCpyEeqr4A/s1600/unnamed+(11).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Wanasayansi zaidi ya 2000 washiriki mkutano wa tabianchi, Paris Ufaransa
Pichani: Baadhi ya Wanasayansi wakifuatilia mawasilisho ya wanasayansi wenzao yaliyokuwa yakiwasilishwa katika mkutani huo ulioanza Julai 7 na kumalizika Julai 10, mwaka huu katika ukumbi mkubwa wa makao makuu ya UNESCO, Paris, Ufaransa.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[Paris, Ufaransa] Wanasayansi zaidi ya 2500, kutoka pembe zote duniani wamekutana katika mkutano mkubwa wa wanayasansi juu ya siku za usoni na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ‘Our Common Future Under Climate Change’....
9 years ago
Bongo504 Nov
ALikiba: Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo
![king kiba3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/king-kiba3-300x194.jpg)
Alikiba ameweka wazi jinsi anavyozichukulia tuzo kwenye kazi yake ya muziki, na kama zinamuongezea thamani yoyote yeye kama msanii.
Mwimbaji huyo wa ‘Mwana’ ambaye amekuwa haendi kwenye tuzo nyingi zikiwemo hata zile ambazo anaibuka kuwa mshindi, ametaja sababu za kwanini huwa haudhurii.
“Nimegundua kwamba mimi ni mwanamuziki ambaye si focus sana kwenye tuzo japokuwa ndio moja ya sifa” Alikiba ameiambia AYO TV. “lakini kiukweli muziki wangu una thamani kubwa na mimi ni mkubwa zaidi ya...
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Uchaguzi mkubwa zaidi waanza India
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bZVCQPV1v1k/XuO7eSqgBLI/AAAAAAALtoY/tWKX7jqnyGod___qFvNIC3ETFE2gUhAbACLcBGAsYHQ/s72-c/9039016d-a572-4e22-bec2-8f0a3e6f8315.jpg)
Waalimu wastaafu Mkoani Rukwa wadhulumiwa zaidi ya Shilingi milioni 96 fedha za SACCOS
![](https://1.bp.blogspot.com/-bZVCQPV1v1k/XuO7eSqgBLI/AAAAAAALtoY/tWKX7jqnyGod___qFvNIC3ETFE2gUhAbACLcBGAsYHQ/s640/9039016d-a572-4e22-bec2-8f0a3e6f8315.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4b897023-89b8-4a47-b2be-aeb7ed77d998.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha Waalimu Nkasi Teachers SACCOS Gideon Ngorogoro kiasi cha Shilingi 39,756,250 kwaajili ya kuzirudisha kwa waalimu wastaafu wa chama hicho.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7a4977f7-96c0-414d-a77c-6c63cf93936b.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s72-c/IMG_4552.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AONGOZA SIKU YA SHERIA MKOANI RUKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s1600/IMG_4552.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s72-c/IMG_4552.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AONGOZA SIKU YA SHERIA NCHINI MKOANI RUKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/--xnrwrBQVBM/VNJD5I4ZEsI/AAAAAAAAGVc/4mszYM7euIA/s640/IMG_4552.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm2VXQmq5FERU-ivnIKocTc67sPlTO8Y6TWb16QMnRp6rEmCfokxsIWb1Bl9Ut9NjAIGbN7LjCSsYAAdLaynAFsk/Membe.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ACHAGULIWA KUWA KIONGOZI MWENYE MCHANGO MKUBWA ZAIDI KATIKA MAENDELEO BARANI AFRIKA KWA MWAKA 2013