Wanasayansi zaidi ya 2000 washiriki mkutano wa tabianchi, Paris Ufaransa
Pichani: Baadhi ya Wanasayansi wakifuatilia mawasilisho ya wanasayansi wenzao yaliyokuwa yakiwasilishwa katika mkutani huo ulioanza Julai 7 na kumalizika Julai 10, mwaka huu katika ukumbi mkubwa wa makao makuu ya UNESCO, Paris, Ufaransa.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[Paris, Ufaransa] Wanasayansi zaidi ya 2500, kutoka pembe zote duniani wamekutana katika mkutano mkubwa wa wanayasansi juu ya siku za usoni na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ‘Our Common Future Under Climate Change’....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Rue-Bichat.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mkutano Paris kuhitaji siku moja zaidi
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DDzVCW2ncz8/UwHlmJ7vTkI/AAAAAAAFNkE/7he438UyTOg/s72-c/New+Picture.png)
Tanzania kushirikiana na ufaransa katika masuala ya mabadiliko ya Tabianchi
![](http://1.bp.blogspot.com/-DDzVCW2ncz8/UwHlmJ7vTkI/AAAAAAAFNkE/7he438UyTOg/s1600/New+Picture.png)
9 years ago
MichuziWadau wakutana Dar kujadili Mkataba Mpya wa Mabadiliko ya Tabianchi ‘Paris Agreement’
Mkutano huo wa wadau umeandaliwa na ForumCC kwa kushirikiana na Rosa Luxemburg Stiftung (RLS) kwa lengo la kuangalia mazidi na mapungufu ya mkataba huo ambao umeweka historia mpya ya kuelekea juhudi za...
11 years ago
MichuziSHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANYIKA PARIS UFARANSA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yPbId87ZUCk/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9Pkqfk6AsDw/default.jpg)
9 years ago
Bongo514 Nov
Watu 153 wauawa kwenye matukio ya kigaidi jijini Paris, Ufaransa
![2E6CE39A00000578-3317776-image-a-21_1447457824193](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E6CE39A00000578-3317776-image-a-21_1447457824193-300x194.jpg)
Ufaransa imetangaza hali ya tahadhari na kuimarisha ulinzi kwenye mipaka yake baada ya watu takriban 153 kuuawa jana usiku kwenye mashambulio ya mabomu na bunduki kwenye mji mkuu, Paris.
Takriban watu 100 waliuwa baada ya watu wenye silaha kuvamia kwenye ukumbi wa Bataclan na kuwashikilia mateka.
Watu wengi walipigwa risasi na kuuawa kwenye baa na migahawa kwenye maeneo mengine matano jijini humo. Washambuliaji wanane wanadaiwa kuwa wameuawa.
Wakazi wa Paris wameombwa kujifungia majumbani...
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Mtandao wa Modewjiblog watembelea Ubalozi wa Tanzania uliopo jiji la Paris nchini Ufaransa!!
Mwanahabari mwandamizi wa mtandao huu wa www.modewjiblog.com, Andrew Chale akiwa katikak picha ya pamoja na Afisa Balozi wa Tanzania nchini, Ufaransa, Bi. Grace Akyoo. Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa zinapatikana katika jiji la Paris eneo la Victor Hugo.
[Paris] ni moja ya majiji yenye raha na starehe za kila aina hapa duniani jiji hili lipo nchini Ufaransa ambapo karibu asilimia kubwa limekuwa likipokea wageni mbalimbali kutoka nchi zote Duniani hasa kutembelea kwa misimu yote...