Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWALIMU WA KISWAHILI UFARANSA AFURAHIA OFISI MPYA ZA UBALOZI WETU PARIS

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mtandao wa Modewjiblog watembelea Ubalozi wa Tanzania uliopo jiji la Paris nchini Ufaransa!!

DSC_4727

Mwanahabari mwandamizi wa mtandao huu wa www.modewjiblog.com, Andrew Chale akiwa katikak picha ya pamoja na Afisa Balozi wa Tanzania nchini, Ufaransa, Bi. Grace Akyoo. Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa zinapatikana katika jiji la Paris eneo la Victor Hugo.

[Paris] ni moja ya majiji yenye raha na starehe za kila aina hapa duniani jiji hili lipo nchini Ufaransa ambapo karibu asilimia kubwa limekuwa likipokea wageni mbalimbali kutoka nchi zote Duniani hasa kutembelea kwa misimu yote...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI MAJENGO YA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UFARANSA JIJINI PARIS

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi majengo ya ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa yaliyoko jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015. Pamoja naye ni Mama Sallma Kikwete, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Mhe Hamad Msauni na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe Mhe Begum Taj.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na wafanyakazi wa ubalozi baada ya kufungua rasmi majengo ya ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa yaliyoko...

 

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo

Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANYIKA PARIS UFARANSA

Watanzania waishio nchini Ufaransa walikutana Jumamosi mchana tarehe 26 Aprili nyumbani kwa Balozi wa Tanzania mjini Paris ili kusherehekea miaka 50 ya muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika. Balozi wa Tanzania Nchini Ufaranza,Mh. Begum Karim Taj akipokea keki maalum kwa ajili ya sherehe hizo za Muungano wa Tanzania katika hafla iliyofanyika nyumbani kwa Balozi,Mjini Paris Ufaransa. Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa akiwa na watoto mjini Paris. Mh. Balozi Begum Taj akiwa na baadhi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanasayansi zaidi ya 2000 washiriki mkutano wa tabianchi, Paris Ufaransa

Royal CfCC15.jpgwPichani: Baadhi ya Wanasayansi wakifuatilia mawasilisho ya wanasayansi wenzao yaliyokuwa yakiwasilishwa katika mkutani huo ulioanza Julai 7 na kumalizika Julai 10, mwaka huu katika  ukumbi mkubwa wa makao makuu ya UNESCO, Paris, Ufaransa.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[Paris, Ufaransa] Wanasayansi zaidi ya 2500, kutoka pembe zote duniani wamekutana katika  mkutano mkubwa wa wanayasansi juu ya siku za usoni na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ‘Our Common Future Under Climate Change’....

 

9 years ago

GPL

WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA

Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…

 

11 years ago

Vijimambo

UBAYA WA UBALOZI WETU WA ROME ITALY

tanzaniaVijimambo imepata barua ya moja ya Mtanzania anayeshi Italy akiwakilisha Watanzania wenzake wa nchi za Uturuki na Ugiriki ambazo Ubalozi huo hutoa huduma kwa nchi hizo akilalamikia utendaji wa kazi wa Ubalozi wa Tanzania Rome Italy kwamba haufurahishi hata kidogo na huduma kwa wananchi wa Tanzania wanaohudumiwa na Ubalozi huo ni za kutatisha tamaa na pamoja na mambo mengine lalamiko kuu lilikua ucheleweshaji wa pasi za kusafiria zikiwemo za watoto wao wanaozaliwa huko kupata pasi za...

 

9 years ago

Bongo5

Watu 153 wauawa kwenye matukio ya kigaidi jijini Paris, Ufaransa

2E6CE39A00000578-3317776-image-a-21_1447457824193

Ufaransa imetangaza hali ya tahadhari na kuimarisha ulinzi kwenye mipaka yake baada ya watu takriban 153 kuuawa jana usiku kwenye mashambulio ya mabomu na bunduki kwenye mji mkuu, Paris.

2E6C9FB000000578-3317776-Two_police_officials_said_at_least_11_people_were_killed_in_the_-a-63_1447454685404

Takriban watu 100 waliuwa baada ya watu wenye silaha kuvamia kwenye ukumbi wa Bataclan na kuwashikilia mateka.

Watu wengi walipigwa risasi na kuuawa kwenye baa na migahawa kwenye maeneo mengine matano jijini humo. Washambuliaji wanane wanadaiwa kuwa wameuawa.

2E6CE39A00000578-3317776-image-a-21_1447457824193

Wakazi wa Paris wameombwa kujifungia majumbani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani