Watu 153 wauawa kwenye matukio ya kigaidi jijini Paris, Ufaransa
Ufaransa imetangaza hali ya tahadhari na kuimarisha ulinzi kwenye mipaka yake baada ya watu takriban 153 kuuawa jana usiku kwenye mashambulio ya mabomu na bunduki kwenye mji mkuu, Paris.
Takriban watu 100 waliuwa baada ya watu wenye silaha kuvamia kwenye ukumbi wa Bataclan na kuwashikilia mateka.
Watu wengi walipigwa risasi na kuuawa kwenye baa na migahawa kwenye maeneo mengine matano jijini humo. Washambuliaji wanane wanadaiwa kuwa wameuawa.
Wakazi wa Paris wameombwa kujifungia majumbani...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Rue-Bichat.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Watu 11 wauawa katika shambulio Ufaransa
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yPbId87ZUCk/default.jpg)
9 years ago
BBCSwahili04 Oct
12 wauawa kwenye mafuriko Ufaransa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lgymTIu3YH4/VMpii_WSrAI/AAAAAAACy7E/jAf-ULW8Auc/s72-c/p11.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI MAJENGO YA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UFARANSA JIJINI PARIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-lgymTIu3YH4/VMpii_WSrAI/AAAAAAACy7E/jAf-ULW8Auc/s640/p11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fOoDnbKaQAY/VMpiot65i3I/AAAAAAACy7Y/ia64VOwmIR0/s640/p15.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-231cf0zEJRE/VMpHhX-0Q0I/AAAAAAACy4k/UDrpoboyvaM/s1600/h2.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q86NUVMT8ZE/VMpJoMSMB2I/AAAAAAAHAL4/7CaC8wZsKW4/s72-c/h2.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q86NUVMT8ZE/VMpJoMSMB2I/AAAAAAAHAL4/7CaC8wZsKW4/s1600/h2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-N6Stjz-dmzg/VMpJoV6Rj6I/AAAAAAAHAL8/AUdyG0NOAdI/s1600/h3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AUX-ShPiuC4/VMpJoheXy3I/AAAAAAAHAMA/3iXCjNe8HgY/s1600/h4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qnx5OvXcXGk/VMpJqT-IBsI/AAAAAAAHAMQ/8mwKZsk2wqo/s1600/h5.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Ufaransa yakwamisha shambulio la Kigaidi
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Watu 20 wauawa kwenye mashambulio Nigeria