Watu 20 wauawa kwenye mashambulio Nigeria
Watu zaidi ya 20 wamefariki kwenye mashambulio kadha yanayoshukiwa kutekelezwa na wapiganaji wa Boko Haram katika mji wa Maiduguri.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
watu 30 wauawa Nigeria
Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.
10 years ago
BBCSwahili31 May
Nigeria:Watu 29 wauawa msikitini
Watu 29 wameuawa kati mji mkuu wa jimbo la Borno Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kujilipua ndani ya msikiti.
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Karibu watu 60 wauawa Nigeria
Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa karibu watu 60 huenda waliuawa katika kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa nchi
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Watu 25 wauawa Zaria Nigeria
Maafisa wa serikali Kaskazini mwa Nigeria wamesema watu 25 wameuawa katika shambulio la bomu la kujitolea mhanga katika mji wa Zaria.
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Watu 30 wauawa msikitini Nigeria
Watu 30 wamefariki baada ya kutokea kwa milipuko miwili katika msikiti ulio karibu na mji wa Maiduguri.
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Wengi wauawa mashambulio Paris
Ufaransa imetangaza hali ya hatari na kufunga mipaka yake baada ya watu zaidi ya 40 kuuawa kwenye mashambulio kadha mjini Paris.
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Watu 39 wauawa na Boko Haram-Nigeria
Utawala wa jimbo la Borno lililoko Kaskazini mwa Nigeria umesema watu 39 wameuawa katika shambulizi lililofanywa mjini Konduga
11 years ago
BBCSwahili20 May
Watu 46 wauawa katika mlipuko Nigeria
Zaidi ya watu 46 wameripotiwa kufa katika milipuko miwili iliyotokea jos Nigeria
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Watu 33 wauawa,100 watekwa Nigeria
Wanamgambo wamevamia kijiji kimoja kazkazini mashariki mwa Nigeria na kuwaua takriban watu 33.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania