Dk Masaburi afunguka kuhusu urais
MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi amesema kuwa atampigia debe mgombea urais atakayeonesha nia ya kuendeleza Serikali za Mitaa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi04 Jul
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Mwigulu afunguka urais
10 years ago
Mtanzania08 Sep
Pinda afunguka urais 2015
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Fredy Azzah, Dar
BAADA ya jina lake kutajwa kuwa miongoni mwa watu watakaowania urais, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, amesema zipo taratibu ndani ya chama chake za kutangaza kuwania nafasi hiyo na kusema kinachoendelea hivi sasa ni juhudi binafsi za watu.
Pinda alisema hayo jana nyumbani kwake jijini Dar es Salaam alipokutana na wahariri wa gazeti hili, kuzungumzia masuala mbalimbali yanayolikabili taifa.
Hivi karibuni vyombo vya habari viliripoti taarifa za Pinda...
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Makongoro Nyerere afunguka urais
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Membe afunguka kuanguka urais CCM
11 years ago
Mwananchi27 May
Waziri afunguka kuhusu kisima
9 years ago
Bongo Movies30 Dec
JB Afunguka ya Moyoni Kuhusu Richie
![Richie na JB](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/JB22.jpg)
Richie na JB
JB ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa na Richie.
“Wakati tunaelekea kutimiza miaka 15 ya Jerusalem films company nitakuwa nawashukuru watu ambao kwa kiasi kikubwa wamegusa maisha na kutoa mchango kwa Jerusalem, wa kwanza ni huyu Richie.
Wewe ni ndugu yangu umenifanyia mengi sana, kwa kifupi kama kuna kitu unataka kutoka kwangu nikakukatalia kabisa akisema huyu naweza kubadlisha mawazo.
Chochote kizuri unachokipenda kwenye...
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Kagame afunguka kuhusu Katiba
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Jaji Ramadhani afunguka uteuzi wa urais CCM