Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri afunguka kuhusu kisima

Naibu Waziri Tamisemi, Agrey Mwanri amesema kisima kimoja kati ya viwili vilivyojengwa kwa gharama ya Sh393milioni katika kijiji cha Kanondo Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa kimebomoka kutokana na tetemeko la ardhi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Aunt Ezekiel afunguka kuhusu uhusiano wake na Waziri Nyalandu

Umewahi kusikia mwigizaji Aunt Ezekiel akihusishwa na uhusiano na Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu? Basi mwigizaji huyo amefunguka na kuwajia juu wale wote wanaomchafua na kudai kuwa hakuna kama baba wa mtoto wake Mose Iyobo.

 

10 years ago

Michuzi

Makabidhiano ya Pampu ya Maji Kisima cha Kaburi Kikombe na Utilianaji Saini ya Mradi wa Uchimbaji Kisima Bomani Ukiwa na Thamani ya Shilingi milioni mia tatu

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Dk Mustafa Ali Garu akitiliana saini ya makubaliano ya Mrai wa Uchimbaji wa Kisima katika maeneo ya Bamani na Mwenyekiti wa Tanzania Youth Icon, Ndg Abdullah Miraji Othman, mradi huo utaharimu shilingi za kitanzania milioni mia tatu, utilianaji wa saini hiyo umefanyika katika Ofisi za ZAWA MabuluuMKURUGENZI wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Dk Mustafa Ali Garu akibadilishani Mikatabani ya makubaliano ya Mradi wa Uchimbaji wa Kisima katika maeneo...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKABIDHIANO YA PUMPU YA MAJI KISIMA CHA KABURI KIKOMBE NA UTILIANAJI SAINI YA MRADI WA UCHIMBAJI KISIMA BOMANI UKIWA NA THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA TATU

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Dk Mustafa Ali Garu akitiliana saini ya makubaliano ya Mrai wa Uchimbaji wa Kisima katika maeneo ya Bamani na Mwenyekiti wa Tanzania Youth Icon, Ndg Abdullah Miraji Othman, mradi huo utaharimu shilingi za kitanzania milioni mia tatu, utilianaji wa saini hiyo umefanyika katika Ofisi za ZAWA Mabuluu WANANCHI wa Jimbo la Kikwajuni wakishuhudia utilianaji wa saini ya makubaliano ya Mradi wa Uchimbaji wa wa kisima cha Maji Safi na Salama kwa Wananchi...

 

9 years ago

Mwananchi

Kagame afunguka kuhusu Katiba

Rais wa Rwanda Paul Kagame amewataka raia wa nchi hiyo kuendelea kuwa na ujasiri na kujiamini wakati wa kufanya maamuzi yanayohusiana na hatima ya taifa lao akisisitiza kuwa wao ndiyo wenye dhamana ya kufanya hivyo na wala siyo watu wengine

 

9 years ago

Bongo Movies

JB Afunguka ya Moyoni Kuhusu Richie

Richie na JB

Richie na JB

JB ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa na Richie.
“Wakati tunaelekea kutimiza miaka 15 ya Jerusalem films company nitakuwa nawashukuru watu ambao kwa kiasi kikubwa wamegusa maisha na kutoa mchango kwa Jerusalem, wa kwanza ni huyu Richie.
Wewe ni ndugu yangu umenifanyia mengi sana, kwa kifupi kama kuna kitu unataka kutoka kwangu nikakukatalia kabisa akisema huyu naweza kubadlisha mawazo.
Chochote kizuri unachokipenda kwenye...

 

10 years ago

Habarileo

Dk Masaburi afunguka kuhusu urais

MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi amesema kuwa atampigia debe mgombea urais atakayeonesha nia ya kuendeleza Serikali za Mitaa.

 

11 years ago

GPL

Kipa Simba afunguka kuhusu ushoga

Kipa wa zamani wa Simba, Andrew Ntalla. Na Sweetbert Lukonge
WIKI iliyopita, kipa wa zamani wa Kagera Sugar na Simba, Andrew Ntalla alielezea mikasa aliyokutana nayo kwenye Klabu ya Simba, nyakati ngumu na ahadi hewa kutoka kwa viongozi waklabu hiyo likiwemo suala la kukosa mahali pa kuishi wakati aliahidiwa kupewa nyumba ya kuishi.
Endelea… NILIPOTOKA kwenye ile gesti ya Manzese ambayo walikuwa wamenipangia kisha...

 

10 years ago

GPL

MB DOG AFUNGUKA KUHUSU NANCY SUMARI!

AMERUDI TIP TOP?
Nakukubali sana MB Dog, je, ni kweli umerudi kwenye kundi lako ulilolihama la Tip Top? Juma Kauga, Mwanza, 0655160467
MB DOG: Ni kweli niko nao kwa ajili ya kusimamia kazi zangu maana ndiyo niliyoanza nao. Msanii wa kitambo katika fani ya Bongo Fleva, MB Dog akipozi. CHANGAMOTO
MB Dog katika maisha yako ya nyumbani hupendi vitu gani ukifanyiwa na watu wasiokutakia mambo mema katika mafanikio yako...

 

10 years ago

GPL

Kim Poulsen... afunguka kuhusu Simba

Kocha Kim Poulsen. Na Saleh Ally
KOCHA Kim Poulsen amefunguka kwa mara ya kwanza na kuweka wazi kuwa amefanya mazungumzo na Simba.Poulsen raia wa Denmark, amefanya mahojiano maalum na Championi Jumatano, jana mchana na kusema anaangalia kati ya ofa mbili, moja ya Simba na pili kwao Denmark na bado hajafikia uamuzi sahihi. Awali, gazeti hili liliandika kuhusiana na ujio wa Poulsen aliyewahi kuinoa Taifa Stars, anayekuja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani