JB Afunguka ya Moyoni Kuhusu Richie
Richie na JB
JB ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa na Richie.
“Wakati tunaelekea kutimiza miaka 15 ya Jerusalem films company nitakuwa nawashukuru watu ambao kwa kiasi kikubwa wamegusa maisha na kutoa mchango kwa Jerusalem, wa kwanza ni huyu Richie.
Wewe ni ndugu yangu umenifanyia mengi sana, kwa kifupi kama kuna kitu unataka kutoka kwangu nikakukatalia kabisa akisema huyu naweza kubadlisha mawazo.
Chochote kizuri unachokipenda kwenye...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies12 Sep
Riyama Afunguka ya Moyoni Mtoto Wake Kufiakiasha Miaka Mitatu
Alhamdulilah Asante MUNGU kwa kila kitu Asante Kwa zawadi ya Fatma hakika furaha yangu haiwezi kusemeka ni faraja ni tumaini ni kila kitu kwangu Asante kunifanya niitwe mama wewe kwangu ni muangaza uliojaa tumaini la pekee @fetydamwan na muomba mola anijalie uhai na uzima Afya njema na nguvu hekma na busara nikulee vyema mama nikusomeshe ili uje kunilea siku za usoni ukawe mtoto wa kheri unijue mimi mama na ukawajue kina mama wote ukawapende kama unavo ipenda na ukawaheshimu NAKUPENDA...
11 years ago
Michuzi04 Aug
SUMAYE AFUNGUKA YA MOYONI WAKATI WA UZINDUZI WA ALBAMU MPYA YA ROSE MUHANDO
10 years ago
Bongo Movies31 Mar
Ray Atoboa ya Moyoni Kuhusu Filamu ya OPRAH
“Ni kati ya movie ninazozipenda sana . pia naweza thubutu kusema ni movie iliyofanya mabadiliko makubwa sana kwenye film industry nchini kwetu Tanzania na nje ya mipaka yetu. pia ndiyo movie iliyomtangaza Irene Uwoya kwenye ulimwengu wa filamu. kwa hiyo nina kila sababu ya kuipenda movie hii. OPRAH HOT SUNDAY”. Ray ameandika kwenye ukurasa wake wa mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya kasha la filamu hiyo.
Wewe kama mdau unamaoni gani juu ya kazi hii ya OPRAH iliyotoboa mipaka ya nchi?...
10 years ago
GPL04 Dec
MRISHO MPOTO ATOA LA MOYONI KUHUSU DIAMOND PLATNUMZ
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QvdaVNfc2y8/U9UMxSBJnDI/AAAAAAAF7EM/3ZXJmzCFJNk/s72-c/unnamed.jpg)
RAZA ATOA YA MOYONI KUHUSU MCHAKATO WA KATIKA MPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QvdaVNfc2y8/U9UMxSBJnDI/AAAAAAAF7EM/3ZXJmzCFJNk/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eyG1Gm7m5fk/U9UNGOKfCYI/AAAAAAAF7EY/hZoM3epJxS8/s1600/unnamed+(1).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-VtA7au-Lbjs/Vh37VHK2LJI/AAAAAAABXS4/YFIJGDCP4qE/s72-c/IMG_8745.jpg)
PROFESA MARK MWANDOSYA ATOA YA MOYONI KUHUSU MAREHEMU DR. ABDALLAH OMARI KIGODA
![](http://3.bp.blogspot.com/-VtA7au-Lbjs/Vh37VHK2LJI/AAAAAAABXS4/YFIJGDCP4qE/s640/IMG_8745.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 May
Waziri afunguka kuhusu kisima
10 years ago
Habarileo14 Dec
Dk Masaburi afunguka kuhusu urais
MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi amesema kuwa atampigia debe mgombea urais atakayeonesha nia ya kuendeleza Serikali za Mitaa.
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Kagame afunguka kuhusu Katiba