Ray Atoboa ya Moyoni Kuhusu Filamu ya OPRAH
“Ni kati ya movie ninazozipenda sana . pia naweza thubutu kusema ni movie iliyofanya mabadiliko makubwa sana kwenye film industry nchini kwetu Tanzania na nje ya mipaka yetu. pia ndiyo movie iliyomtangaza Irene Uwoya kwenye ulimwengu wa filamu. kwa hiyo nina kila sababu ya kuipenda movie hii. OPRAH HOT SUNDAY”. Ray ameandika kwenye ukurasa wake wa mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya kasha la filamu hiyo.
Wewe kama mdau unamaoni gani juu ya kazi hii ya OPRAH iliyotoboa mipaka ya nchi?...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies19 Apr
Mtunis Atoboa Haya Kuhusu Tasnia ya Filamu
Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘mtunis’ amesema kuwa tasnia ya uigizaji inahitaji umakini zaidi ili kujikosoa penye makosa. Alisema licha ya kwamba filamu zinadaiwa hazilipi hiyo siyo sababu yakutayarisha zisizokuwa na ubora.
Alifafanua hata wakongwe wanapoibua chipukizi wanapaswa kuzingatia wenye vipaji zaidi ili tasnia huyo iendelee kufanya vizuri .
Alieleza kuwa hakuna kitu kibaya kama mtu anayekuamini akikudharau harudi nyuma, hivyo kwa kuwa makini kutayarisha filamu bora na...
10 years ago
Bongo Movies14 Mar
Hapa na Pale: JB Atoboa Kuhusu Filamu Yake ya Singnature Ilivyopigwa Chini na Steps
“Leo nimejisikia kuongelea filamu zangu za zamani.samahani kwa picha ya cover lakini hembu tukumbuke, hapa niliwakutanisha Aunt,Wolper,Odama na Cloud112 kwenye filam hii na nyingine ya 14 days nilizitengeneza muda mrefu sana 2009 lakini nikazipeleka sokoni kwa pamoja, Steps wakasema watachukua 14days tu, hivyo hii signature nikamuuzia Kapico baada ya mwaka 1 aliomba kuinunua tena toka Kapico kwa bei kubwa zaidi.inaitwa signature”. JB amebandika mtandaoni andiko hili.
Kama umeziangalia...
9 years ago
Bongo Movies24 Aug
Ray Atoa ya Moyoni Wenzake Kutumika Kwenye Uchaguzi Huu
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, staa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi ‘Ray’ afunguka haya kuelekea October 25 siki ya kupiga kura.
(FREEDOM OF SPEECH)
Kijana mwenye upeo mkubwa na kuona mbali anayetambua matatizo magumu ya chi hii hawezi hakapost ujinga kwa kusema chagua chama flani kwa kufuata mkumbo au kupewa maagizo na watu wenye maslahi yao binafsi.
Kwa kupost kitu ambacho hata akijui na wala yeye mwenyewe hana uhakika wa maisha yake ya baadaye dahaaa ni aibu kubwa sana kaa tafakari...
10 years ago
Bongo Movies28 Feb
Riyama Atoboa Kuhusu Kupenda Watoto
Mwigizaji wa filamu mwenye kukonga nyonyo za mashabiki na wapenzi wengi wa filamu hapa Bongo, Riyama Ally leo amefunguka kuhusiana na upendo wake kwa watoto tangu alipokuwa mtoto na kusisitiza kuwapende watoto.
“Napenda sana watoto tangu na mie nilipokuwa mtoto ilikua mtaani akizaliwa mtoto hiyo ndio maskani yangu hakuna kula hakuna kuoga ni kuenda kubeba mtoto nitatafutwa nikikosekana Tu wa nauliza wapi kuna kachanga wakijua tu hawana wasi wasi tena watanifata na kunibembeleza nirudi...
10 years ago
Bongo Movies09 Jun
Aunt Ezekiel Atoboa Kuhusu Mzazi Mwenzie
Staa wa Bongo Movies, aunt Ezekiel amaeamua kuatoboa kuhusu baba mtoto wake Moses Iyobo kwa kudai kuwa ndiye baba halisi wa mwanae na anampenda kwa dhati todauti na baadhi ya watu wanavyomtafsiri kuwa yeye ni mpenda hela!
Aunt aliyaongea hayo katika mahojianao maalumu na kusema kuwa kama kuna watu wanaomtafsiri kama yeye ni mpenda hela na hawezi kujkaa na Iyobo kiatendo ambacho sio cha kweli katika moyo wake kwani anachohitaji kutoka kwa Iyobo ni mapenzi tu.
“Nataka ni weke wazi kuwa...
9 years ago
Bongo Movies30 Dec
JB Afunguka ya Moyoni Kuhusu Richie
![Richie na JB](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/JB22.jpg)
Richie na JB
JB ameandika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa na Richie.
“Wakati tunaelekea kutimiza miaka 15 ya Jerusalem films company nitakuwa nawashukuru watu ambao kwa kiasi kikubwa wamegusa maisha na kutoa mchango kwa Jerusalem, wa kwanza ni huyu Richie.
Wewe ni ndugu yangu umenifanyia mengi sana, kwa kifupi kama kuna kitu unataka kutoka kwangu nikakukatalia kabisa akisema huyu naweza kubadlisha mawazo.
Chochote kizuri unachokipenda kwenye...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Ali Kiba: Atoboa kuhusu 'mapenzi' na Lulu,ugomvi na Diamond-2
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Aunt Ezekiel Atoboa Kuhusu Wasanii wa Bongo Movies Kujitengenezea ‘Skendo’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amesema baadhi ya wasanii wa bongo movies hawajitambui ndio maana kazi zao nyingi hazina mvuto badala yake nguvu nyingi wameelekeza kubuni skendo wakitarajia ndio zitawatoa kisanaa.
Alisema wasanii wengi wanatumia muda mwingi kutafakari jinsi ya kutengeneza skendo ili watume kwenye mitandao na kuandikwa kwenye magazeti lakini hawana ubunifu wa kutengeneza filamu zenye ushawishi kwenye jamii.
Aunt ambae kwenye filamu ya Chozi la...
10 years ago
GPL04 Dec
MRISHO MPOTO ATOA LA MOYONI KUHUSU DIAMOND PLATNUMZ