Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hapa na Pale: JB Atoboa Kuhusu Filamu Yake ya Singnature Ilivyopigwa Chini na Steps

“Leo nimejisikia kuongelea filamu zangu za zamani.samahani kwa picha ya cover lakini hembu tukumbuke, hapa niliwakutanisha Aunt,Wolper,Odama na Cloud112 kwenye filam hii na nyingine ya 14 days nilizitengeneza muda mrefu  sana 2009 lakini nikazipeleka sokoni kwa pamoja, Steps wakasema watachukua 14days tu, hivyo hii signature nikamuuzia Kapico baada ya mwaka 1 aliomba kuinunua tena toka Kapico kwa bei kubwa zaidi.inaitwa signature”. JB amebandika mtandaoni andiko hili.

Kama umeziangalia...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Ray Atoboa ya Moyoni Kuhusu Filamu ya OPRAH

“Ni kati ya movie ninazozipenda sana . pia naweza thubutu kusema ni movie iliyofanya mabadiliko makubwa sana kwenye film industry nchini kwetu Tanzania na nje ya mipaka yetu. pia ndiyo movie iliyomtangaza Irene Uwoya kwenye ulimwengu wa filamu. kwa hiyo nina kila sababu ya kuipenda movie hii. OPRAH HOT SUNDAY”. Ray ameandika kwenye ukurasa wake wa mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya kasha la filamu hiyo.

Wewe kama mdau unamaoni gani juu ya kazi hii ya OPRAH iliyotoboa mipaka ya nchi?...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mtunis Atoboa Haya Kuhusu Tasnia ya Filamu

Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘mtunis’ amesema kuwa tasnia ya uigizaji inahitaji umakini zaidi ili kujikosoa penye makosa. Alisema licha ya kwamba  filamu zinadaiwa  hazilipi hiyo  siyo sababu yakutayarisha zisizokuwa na ubora.

Alifafanua hata wakongwe wanapoibua chipukizi wanapaswa kuzingatia wenye vipaji zaidi ili tasnia huyo iendelee kufanya vizuri .

Alieleza kuwa hakuna kitu kibaya kama mtu anayekuamini akikudharau harudi nyuma, hivyo kwa kuwa makini kutayarisha filamu bora na...

 

9 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego: Mpango wa kufanya filamu na Diamond upo pale pale

Nay wa Mitego amesema alikuwa na mpango wa kutengeneza filamu ya pamoja na Diamond – na kwamba bado hauhafa! Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa baada ya kuharibika kwa mipango ya filamu ya Salam Zao, alipanga kufanya kitu kikubwa akiwa na Diamond. “Nilikuwa na idea ya kufanya movie kubwa na tuliwahi kukaa team yangu pia nakumbuka […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Hapa na Pale:Wolper Amshukia “Bidada” Anaetumia Jina Lake Picha na Sauti Yake Kutapeli Watu

Dunia ya Utandawazi, watu wanavipaji jamani!!!!. Wolper amempasha huyu kama ifuatavyo;

“why why why unanichafulia jina we shuwainiiii mpumbavu mmoja maana kama unajua paka napokaa inamaana utakua ata insta uona kila kitu Mungu niokoe nilichokipanga kisifanikiwe nikakukamata mikononi mwangu nitafungwa kifungo cha maisha.. Alafu unaweka na picha yangu whatsup na sauti unageza yani sauti yangu kabisa muawaji mkubwa wewe fisi ,mende,peremende.Mungu akulaani wewe na kizazi chako tena kizazi...

 

10 years ago

Vijimambo

KUHUSU NDOA YA DIAMOND NA ZARI WAGANDA WAZOGOA JITIRIRISHE HAPA CHINI


Hapa chini jitiririshe kilichosemwa na chombo kimoja cha habari cha huko kwa majirani zetu Uganda, kama Kikristo kinapanda basi shuka na hii nyatu nyatu hapa chini na utofautishe nini tofauti ya supu na mchuzi.
It's official, Zari and Diamond Platnumz are married. The two lovers tied the knot in TZ at the countries registrar's office. In Tanzania, you must have a certificate of no impediment from your country prior to getting married, the certificate states that there is no impediment to your...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Filamu yakutana na Viongozi wa Kampuni ya Steps kujadili Maendeleo ya Tansia ya Filamu Nchini.

 Vijana,Utamaduni na Michezo  Bw.Patrick Kipangula  (kulia) wakati wa kikao cha kujadili maendeleo ya tansia ya filamu na wadau kutoka Kampuni ya Steps Entertainment kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu Bw.Sylvester Sengerema. Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps Entertainment Bw.Delish Solanki (kushoto) akizungumza na viongozi wa Bodi ya Filamu (hawapo katika picha) katika kikao cha kujadili maendeleo ya tansia ya filamu nchini Bw.Claude Nyalaba (kulia) na Bw.Carles Johns (katikati)...

 

10 years ago

GPL

Hapa Emerson, pale Tegete …

Mshambulriaji wa Yanga, Jerry Tegete. Na Wilbert Molandi
KUTUA kwa kiungo mkabaji mpya wa Yanga Mbrazili, Emerson Oliveira na kuondoka kwa mshambuliaji, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ kumefumua kikosi cha kwanza cha kocha, Marcio Maximo. Emerson ametua nchini siku tatu zilizopita akitokea Brazil kwa ajili ya kufanya majaribio Yanga akichukua nafasi ya Jaja aliyeshindwa kurejea kujiunga na wenzake kutokana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani