Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUHUSU NDOA YA DIAMOND NA ZARI WAGANDA WAZOGOA JITIRIRISHE HAPA CHINI


Hapa chini jitiririshe kilichosemwa na chombo kimoja cha habari cha huko kwa majirani zetu Uganda, kama Kikristo kinapanda basi shuka na hii nyatu nyatu hapa chini na utofautishe nini tofauti ya supu na mchuzi.
It's official, Zari and Diamond Platnumz are married. The two lovers tied the knot in TZ at the countries registrar's office. In Tanzania, you must have a certificate of no impediment from your country prior to getting married, the certificate states that there is no impediment to your...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UNAMJUA ZARI AU UNAMSIKIA JITIRIRISHE NA HIZI PICHA HAPA CHINI NDIYO UJIPE MAJIBU YA MASWALI YAKO


Kwanini ni Bossy Lady jitiririshe hapa kiroho safi wala bila MfyuuuunyoParty Zari diva always celebrating her lifeSelf made BossZari with her Ex- Baby DadSexy beach babeZari with her girls all set for a charity event this EasterCharity begins @ home. On a charity day at katanga. Served the shelter with Easter lunch Sexy mama of three She's sexy & she knows itShe runs the townAt her stores Zari Jewels & The Renaissance Man by Zari Proud mama with her boysZari..Zari and her girls on a night...

 

10 years ago

Africanjam.Com

TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI

Tweet

Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...

 

10 years ago

Vijimambo

MJUE MAKONGORO NYERERE JITIRIRISHE HAPA CHINI


Moses Ng’wat, Mbeya
SIKU moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusema kampeni za uchaguzi mkuu zitaanza Agosti 22, mwaka huu, Makongoro Nyerere ameonesha nia ya kuwania urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).Makongoro ambaye ni mtoto wa mwasisi wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alitangaza nia yake hiyo jana mjini Mbeya.Alisema wakati huu anajisikia yuko tayari kiafya, kiakili na ana nguvu ya kulitumikia taifa, hivyo atachukua fomu kugombea nafasi hiyo.Makongoro ambaye mwaka...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

ALICHOKIANDIKA MH. RAIS KUPITIA TWITTER JITIRIRISHE HAPA CHINI


Maneno ya Rais Kikwete kuhusu Wanasiasa wanaomwaga fedha!

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA BBQ NEW YORK CITY JITIRIRISHE HAPA CHINI KIROHO SAFI


Mh. Balozi Tovako Manongi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York. Pamoja na Dr. Elmi Ahmed Duale wakiwa kwenye BBQ hiyo maeneo ya Roosevelt Island New York. BBQ hiyo iliandaliwa kwa ushirikiana na New York Tanzania Community na Ubalozi wa New York. Na watu mbali mbali na familia zao karibishwa ilikufurahia hali ya hewa na kubadirishana mawazo. 
Mh. Manongi akipata ukodak pamoja na mkufunzi wa Miss U.S.A mama  Winne kutoka DC na Kushoto kwa Balozi na Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WIMBO WA PANYA ROAD KUTOKA KWA JOHN STEVE JITIRIRISHE HAPA CHINI

Baada ya vijana kutoka maeneo tofauti jijini Dar es salaam wanaofahamika kama Panya road kuharibu amani ya jiji Januari 2 2014, pamekuwa na stori nyingi kuhusu vijana hawa na mamb wanayofanya. Huyu msanii ameingia studio kufanya wimbo kuhusu panya road.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani