WIMBO WA PANYA ROAD KUTOKA KWA JOHN STEVE JITIRIRISHE HAPA CHINI
Baada ya vijana kutoka maeneo tofauti jijini Dar es salaam wanaofahamika kama Panya road kuharibu amani ya jiji Januari 2 2014, pamekuwa na stori nyingi kuhusu vijana hawa na mamb wanayofanya. Huyu msanii ameingia studio kufanya wimbo kuhusu panya road.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HvvU1X_DUWo/VZRQU10pNSI/AAAAAAADvPM/QSgwyCmQYe0/s72-c/664efd8604f25a303b705fddb6de8203.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-udEzi3eAXYM/VLlakm5DfcI/AAAAAAADVnY/6zwlPDbdqFk/s72-c/48JwVIyK.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-VtB48wASocw/VYhv6KMTQwI/AAAAAAADtTI/z4kdH8NA2pk/s72-c/Kalokola.jpg)
9 years ago
Vijimambo03 Sep
10 years ago
Vijimambo29 May
MJUE MAKONGORO NYERERE JITIRIRISHE HAPA CHINI
![](http://jamboleo.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/makongoro_charles.jpg)
Moses Ng’wat, Mbeya
SIKU moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusema kampeni za uchaguzi mkuu zitaanza Agosti 22, mwaka huu, Makongoro Nyerere ameonesha nia ya kuwania urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).Makongoro ambaye ni mtoto wa mwasisi wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alitangaza nia yake hiyo jana mjini Mbeya.Alisema wakati huu anajisikia yuko tayari kiafya, kiakili na ana nguvu ya kulitumikia taifa, hivyo atachukua fomu kugombea nafasi hiyo.Makongoro ambaye mwaka...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-I3O9-A47V6g/VZnggXOESJI/AAAAAAADwu4/SkB5My5Im_w/s72-c/myprez1.jpg)
ALICHOKIANDIKA MH. RAIS KUPITIA TWITTER JITIRIRISHE HAPA CHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-I3O9-A47V6g/VZnggXOESJI/AAAAAAADwu4/SkB5My5Im_w/s640/myprez1.jpg)
10 years ago
Vijimambo21 May
10 years ago
VijimamboTASWIRA YA BBQ NEW YORK CITY JITIRIRISHE HAPA CHINI KIROHO SAFI
Mh. Balozi Tovako Manongi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York. Pamoja na Dr. Elmi Ahmed Duale wakiwa kwenye BBQ hiyo maeneo ya Roosevelt Island New York. BBQ hiyo iliandaliwa kwa ushirikiana na New York Tanzania Community na Ubalozi wa New York. Na watu mbali mbali na familia zao karibishwa ilikufurahia hali ya hewa na kubadirishana mawazo.
Mh. Manongi akipata ukodak pamoja na mkufunzi wa Miss U.S.A mama Winne kutoka DC na Kushoto kwa Balozi na Mwenyekiti wa...
10 years ago
Vijimambo23 Apr
KUHUSU NDOA YA DIAMOND NA ZARI WAGANDA WAZOGOA JITIRIRISHE HAPA CHINI
![](http://t.b5z.net/i/u/2001091/i/swolnft.jpg)
Hapa chini jitiririshe kilichosemwa na chombo kimoja cha habari cha huko kwa majirani zetu Uganda, kama Kikristo kinapanda basi shuka na hii nyatu nyatu hapa chini na utofautishe nini tofauti ya supu na mchuzi.
It's official, Zari and Diamond Platnumz are married. The two lovers tied the knot in TZ at the countries registrar's office. In Tanzania, you must have a certificate of no impediment from your country prior to getting married, the certificate states that there is no impediment to your...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania