Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MJUE MAKONGORO NYERERE JITIRIRISHE HAPA CHINI


Moses Ng’wat, Mbeya
SIKU moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusema kampeni za uchaguzi mkuu zitaanza Agosti 22, mwaka huu, Makongoro Nyerere ameonesha nia ya kuwania urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).Makongoro ambaye ni mtoto wa mwasisi wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alitangaza nia yake hiyo jana mjini Mbeya.Alisema wakati huu anajisikia yuko tayari kiafya, kiakili na ana nguvu ya kulitumikia taifa, hivyo atachukua fomu kugombea nafasi hiyo.Makongoro ambaye mwaka...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

ALICHOKIANDIKA MH. RAIS KUPITIA TWITTER JITIRIRISHE HAPA CHINI


Maneno ya Rais Kikwete kuhusu Wanasiasa wanaomwaga fedha!

 

10 years ago

Vijimambo

KUHUSU NDOA YA DIAMOND NA ZARI WAGANDA WAZOGOA JITIRIRISHE HAPA CHINI


Hapa chini jitiririshe kilichosemwa na chombo kimoja cha habari cha huko kwa majirani zetu Uganda, kama Kikristo kinapanda basi shuka na hii nyatu nyatu hapa chini na utofautishe nini tofauti ya supu na mchuzi.
It's official, Zari and Diamond Platnumz are married. The two lovers tied the knot in TZ at the countries registrar's office. In Tanzania, you must have a certificate of no impediment from your country prior to getting married, the certificate states that there is no impediment to your...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA BBQ NEW YORK CITY JITIRIRISHE HAPA CHINI KIROHO SAFI


Mh. Balozi Tovako Manongi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York. Pamoja na Dr. Elmi Ahmed Duale wakiwa kwenye BBQ hiyo maeneo ya Roosevelt Island New York. BBQ hiyo iliandaliwa kwa ushirikiana na New York Tanzania Community na Ubalozi wa New York. Na watu mbali mbali na familia zao karibishwa ilikufurahia hali ya hewa na kubadirishana mawazo. 
Mh. Manongi akipata ukodak pamoja na mkufunzi wa Miss U.S.A mama  Winne kutoka DC na Kushoto kwa Balozi na Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WIMBO WA PANYA ROAD KUTOKA KWA JOHN STEVE JITIRIRISHE HAPA CHINI

Baada ya vijana kutoka maeneo tofauti jijini Dar es salaam wanaofahamika kama Panya road kuharibu amani ya jiji Januari 2 2014, pamekuwa na stori nyingi kuhusu vijana hawa na mamb wanayofanya. Huyu msanii ameingia studio kufanya wimbo kuhusu panya road.

 

10 years ago

Vijimambo

KITENDO HIKI CHA ZUA MJADALA HUKO TANZANIA JITIRIRISHE HAPA CHINI NA WEWE UNALA KUSEMA

Kwa wanamichezo ni kama kumpa moyo mchezaji mwenzie au kama pongezi.Hapa ni rais Bush akimpongeza mchezaji wa timu ya taifa ya volleyball ya Marekani.Hapa ni kocha wa timu ya taifa ya CameroonBeki wa Mbeya City Juma Nyosso.Na Waandishi WetuSIKU moja baada ya Gazeti la Championi kutoa picha ya beki wa Mbeya City, Juma Nyosso akionekana kumfanyia ndivyo sivyo straika wa Simba, Elias Maguri, makubwa yameibuka.

Uongozi wa Simba na Maguri wote kwa pamoja wametoa kauli juu ya tukio hilo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani