Nay wa Mitego: Mpango wa kufanya filamu na Diamond upo pale pale
Nay wa Mitego amesema alikuwa na mpango wa kutengeneza filamu ya pamoja na Diamond – na kwamba bado hauhafa! Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa baada ya kuharibika kwa mipango ya filamu ya Salam Zao, alipanga kufanya kitu kikubwa akiwa na Diamond. “Nilikuwa na idea ya kufanya movie kubwa na tuliwahi kukaa team yangu pia nakumbuka […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
CDA: Uboreshaji wa miji upo pale pale
KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji wa Makao Makuu (CDA) Pascas Mragili amesema kuwa suala ya uboreshaji wa mjini na mipango miji lipo pale pale kwa kuwa ni jambo la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
RAGE: UCHAGUZI SIMBA UPO PALE PALE
10 years ago
Bongo Movies24 Jan
Hapa na Pale:Penzi la Wolper na Nay wa Mitego Kuwekwa Wazi!!
Baada ya kudaiwa kuwa wapenzi na kisha habari hizo kufifia, hatimaye penzi la mwigizaji wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper na Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, limeibuka upya ambapo safari hii Nay ameamua kufunguka hadharani.
Kwa mujibu GPL, wawili hao walianzisha uhusiano wao mwishoni mwa mwaka jana na sasa mapenzi ndiyo yamekolea hadi kufikia hatua ya Nay wa Mitego kuanika hisia zake mtandaoni.
“Wamekuwa wakibanjuka kwa siri sana si unajua Nay ana mchumba wake...
10 years ago
Bongo526 Apr
Ray C: Nimenenepa lakini kiuno bila mfupa kiko pale pale!
11 years ago
Michuzi19 Feb
11 years ago
Michuzi10 Mar
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
SHAMBULIZI LA PARIS: Mashindano ya EURO 2016 pale pale! -Waratibu
Jiji la Paris nchini Ufaransa linavyoonekana ambapo baadhi ya vwanja vyake kadhaa vinatarajiwa kutimua vumbi hapo baadae katika michuano ya soka ya Ulaya maarufu kama EURO 2016.
Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari.
Mratibu wa Mashindano ya Euro kwa mwaka 2016, Jacques Lambert yanayotarajiwa kufanyika Ufaransa amesema kutokea kwa shambulio la Paris hakuwezi kuwa sababu ya kusimamisha mashindano ya Euro 2016.
Akizungumza na kituo cha redio cha Ufaransa cha RTL, Lambert...
10 years ago
GPLCHADEMA YAENDELEA KUKOMAA YASISITIZA MAANDAMANO YAPO PALE PALE NCHI NZIMA
11 years ago
Michuzi03 Feb