RAGE: UCHAGUZI SIMBA UPO PALE PALE
Mwenyekiti wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage. MWENYEKITI wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage amesema kwamba, uchaguzi wa klabu hiyo upo pale pale kama ulivyopangwa Juni 29, mwaka huu kwa sababu si yeye wala Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) mwenye uwezo wa kutengua hilo kwa sasa. Akizungumza mjini Dodoma leo mchana, Rage ambaye pia ni Mbunge wa Tabora Mjini (CCM), amesema kwamba yeye hana mamlaka Kikatiba kwa sasa kubatilisha...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLRage: Chonde Malinzi uchaguzi pale pale
9 years ago
Bongo517 Oct
Nay wa Mitego: Mpango wa kufanya filamu na Diamond upo pale pale
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
CDA: Uboreshaji wa miji upo pale pale
KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji wa Makao Makuu (CDA) Pascas Mragili amesema kuwa suala ya uboreshaji wa mjini na mipango miji lipo pale pale kwa kuwa ni jambo la...
10 years ago
Michuzi11 years ago
Michuzi19 Feb
10 years ago
Bongo526 Apr
Ray C: Nimenenepa lakini kiuno bila mfupa kiko pale pale!
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
SHAMBULIZI LA PARIS: Mashindano ya EURO 2016 pale pale! -Waratibu
Jiji la Paris nchini Ufaransa linavyoonekana ambapo baadhi ya vwanja vyake kadhaa vinatarajiwa kutimua vumbi hapo baadae katika michuano ya soka ya Ulaya maarufu kama EURO 2016.
Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari.
Mratibu wa Mashindano ya Euro kwa mwaka 2016, Jacques Lambert yanayotarajiwa kufanyika Ufaransa amesema kutokea kwa shambulio la Paris hakuwezi kuwa sababu ya kusimamisha mashindano ya Euro 2016.
Akizungumza na kituo cha redio cha Ufaransa cha RTL, Lambert...
11 years ago
Michuzi10 Mar
10 years ago
GPLCHADEMA YAENDELEA KUKOMAA YASISITIZA MAANDAMANO YAPO PALE PALE NCHI NZIMA