Dar kuwa na umeme wa uhakika miaka miwili ijayo
WIZARA ya Nishati na Madini, imewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam kuwa na umeme wa uhakika ndani ya miaka miwili, huku ikianza kuachana na mpango wa kuwa na nguzo za miti badala yake kutumia za zege.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Dar Es Salaam kuwa kivutio kikubwa cha wawekezaji na utalii miaka michache ijayo
Pichani ni Jengo litakalojengwa jijini Dar es salaam na litagharimu Dola za kimarekani milioni 77,kutakuwa na hoteli ya hadhi ya Nyota Tano, Ofisi za Biashara, kutakuwa na Sehemu ya kuegesha magari, jengo hili litatakuwa kivutio kwa Wawekezaji na Utalii.(23 Juni 2014).
Baadhi Malori na Vifaa vingine vya kutendea kazi vikiwa tayari kuahiria ujenzi huu unaanza mara moja baada ya zoezi la uwekaji wa jiwe la msingi kukamilika.
Mama Maria Nyerere akiwasili kwenye sherehe ya uwekaji jiwe la...
10 years ago
Vijimambo
Serikali ya CCM Yaahidi Kuweka Umeme Vijiji Vyote Tanzania Ndani ya Miaka Miwili Madarakani



10 years ago
Bongo503 Nov
Genevieve Nnaji kuja na ‘Road to Yesterday’ baada ya kuwa kimya kwa miaka miwili

11 years ago
Michuzi15 Mar
uhaba wa maji ya uhakika dar es salaam kuwa historia karibuni
10 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE KATIKA HAFLA YA MIAKA MIWILI YA KUTAWAZWA KWA POPE FRANCIS KUWA KULIONGOZI WA KANISA KATOLIKI DUNIANI


10 years ago
Habarileo17 Sep
Umeme wa uhakika kesho
SHIRIKA la Umeme nchini (TANESCO) kesho linatarajia kuwasha rasmi mitambo inayotumia umeme wa gesi inayotoka Mtwara, huku ikielezwa kuwa tatizo la upatikanaji umeme wa uhakika, sasa litakuwa historia.
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Tanesco yaahidi umeme wa uhakika wiki hii
11 years ago
Habarileo24 Sep
Tatizo la umeme Dar kuwa historia
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesisitiza kwamba ifikapo Agosti mwakani, hakutakuwa na tatizo la umeme katika Jiji la Dar es Salaam. Pia, limesema taasisi ambazo zilikuwa miongoni mwa wadaiwa sugu, zimeendelea kulipa na kulifanya liendelee vizuri.