Serikali ya CCM Yaahidi Kuweka Umeme Vijiji Vyote Tanzania Ndani ya Miaka Miwili Madarakani
![](http://3.bp.blogspot.com/-m0wIEoMH_u8/VgN7L38XRuI/AAAAAAAAEHM/R1yXW_vA5Rw/s72-c/IMG_0077.jpg)
Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wanachama wa CCM pamoja na wananchi wa Jimbo la Kilindi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni Mkoa wa Tanga. Miongoni mwa ahadi aliyoitoa kwa wanaKilindi ni kulishughulikia suala la upatikanaji wa huduma za maji safi na salama pamoja na ujenzi wa barabara ya kuingia na kutoka katika Wilaya hiyo.
Baadhi ya wananchi na wanachama wa CCM Kijiji cha Kwediboma wakiwa wamesimamisha msafara wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dPxXEqgRxqk/XvGe7r42UQI/AAAAAAALvBo/YnAvJ_xXxr0MQbdb4zGioy4M2AUz95tIgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B9.07.18%2BAM.jpeg)
TRIONI MOJA YA TENGWA KUHAKIKISHA VIJIJI VYOTE TANZANIA NZIMA VINAPATA UMEME.
NA FARIDA SAIDY,MOROGORO.
KATIKA kuhakikisha Huduma ya umeme inafikia vijijini vyote nchini serikali imetenga Trioni moja nchi nzima kupitia wakala wa umeme vijijini(REA) nchini huku Mkoa wa Morogoro ukitengewa zaidi ya Shilingi Biioni 42.0 kwa ajili ya huduma hiyo ya umeme kwenye Vijijini 85 katika awamu ya tatu mzunguko wa kwanza na kwamba vijiji hivyo vimeshafikiwa na huduma hiyo na kwamba huduma hiyo itafikia vimeshafikia vijiji vyote mia moja sitini na tano ifikapo mwezi...
5 years ago
CCM Blog23 Jun
TRIONI MOJA YATENGWA KUHAKIKISHA VIJIJI VYOTE TANZANIA NZIMA VINAPATA UMEME
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2ed1bc83-3967-4769-9f9b-f56fc44459e1-1024x768.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2b0a5d41-8c57-47eb-8dd5-5e88f8a23b88-1024x768.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-o4wy1Dcgyac/XvIUIAwkvXI/AAAAAAALvFs/0g-8CwL5KMYmWhkTP429keJNFul0yE1jACLcBGAsYHQ/s72-c/35dd225a-a3ed-48ea-b1ca-5d6cf2932284.jpg)
VIJIJI VYOTE NCHINI KUFIKIWA NA UMEME-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-o4wy1Dcgyac/XvIUIAwkvXI/AAAAAAALvFs/0g-8CwL5KMYmWhkTP429keJNFul0yE1jACLcBGAsYHQ/s640/35dd225a-a3ed-48ea-b1ca-5d6cf2932284.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika cha Msingi cha Nanjaru, Bakari Chuwa (kulia) wakati alipotembelea ghala la chama hicho akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Ruangwa Juni 23, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7236e84f-b598-4815-84c2-d34bb0328476.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokelewa kwa nyimbo wakati alipowasili kwenye kijiji cha Nanjaru akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Ruangwa, Juni 23, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d5657ce9-73c7-40af-a0d0-ce1343f634f5.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama magunia...
10 years ago
MichuziSERIKALI YALIFUNGIA SHINDANO LA MISS TANZANIA KWA MIAKA MIWILI
Serikali imelifungia shindano la Miss Tanzania kwa miaka miwili kutokana na sababu mbalimbali na ukiukwaji wa taratibu walizojiwekea, ikiwemo udanganyifu mkubwa unaojitokeza kila mwaka kwenye shidano hilo.
Maamuzi hayo yamechukuliwa na BASATA, ambapo Kaimu Mtendaji wa Baraza hilo Godfrey Mngereza amesema maamuzi hayo yalifikiwa baada ya kukaa kikao cha tathmini ambapo Kamati ya Miss Tanzania ilishindwa kujibu hoja za msingi za wadau na kukiri kuwepo udhaifu katika uendeshaji wa shindano...
10 years ago
Habarileo18 Nov
Dar kuwa na umeme wa uhakika miaka miwili ijayo
WIZARA ya Nishati na Madini, imewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam kuwa na umeme wa uhakika ndani ya miaka miwili, huku ikianza kuachana na mpango wa kuwa na nguzo za miti badala yake kutumia za zege.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3t8vJLY5LPo/XpwQEibzh-I/AAAAAAALnY8/cFK33MYHAv0v3y82jbjpfcjbbUQ7oA0nACLcBGAsYHQ/s72-c/1cd4cb78-7412-4446-a5a8-1138e0a516d6-768x576.jpg)
DKT KALEMANI AAGIZA VIJIJI 11 SINGIDA MASHARIKI KUWASHWA UMEME NDANI YA MWEZI MMOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3t8vJLY5LPo/XpwQEibzh-I/AAAAAAALnY8/cFK33MYHAv0v3y82jbjpfcjbbUQ7oA0nACLcBGAsYHQ/s640/1cd4cb78-7412-4446-a5a8-1138e0a516d6-768x576.jpg)
Waziri wa Nishati Medard Kalemani akizungumza kabla ya kuwasha umeme katika vijiji vya Matare na Nkuhi vilivyopo jimbo la Singida Mashariki,kulia kwake ni Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/984c224d-7b25-4de3-8091-fb5561aea6f0-1024x683.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Miraji Mtaturu akizungumza katika ziara ya Waziri wa Nishati Medard Kalemani jimboni humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/8b9b3d40-e113-4cfe-9e5f-daffa18f1878-1024x683.jpg)
Waziri wa Nishati Dkt.Medard Kalemani akitoa maagizo kwa wakandarasi wa umeme akiwa katika ziara wilayani...
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Mwambulukutu: CCM itakaa madarakani miaka mingine 50 ijayo
10 years ago
CloudsFM05 Mar
MWALIMU ALIYEKUWA AKIISHI NA KINYESI NDANI KWA MIAKA MIWILI, AKIMBIZWA MUHIMBILI.
Mwalimu wa shule ya Sekondari Kibasila, Gaudensia Albert aliyekuwa akihifadhi kinyesi ndani kwake kwa miaka miwili amepelekwa Hospitali ya Muhimbili baada ya daktari wa Hospitali ya Temeke kubaini ana matatizo ya akili.
Baada ya kufikishwa Muhimbili madaktari walimpatia dawa ambazo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--xAirmRwi8c/Vkt-mMrwArI/AAAAAAAIGek/ilyEFNW4EpU/s72-c/unnamed.jpg)
Kuweka Umeme Afrika: Mkutano kufanyika Tanzania kujadiliana kuhusu mageuzi katika sekta ya kawi Nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/--xAirmRwi8c/Vkt-mMrwArI/AAAAAAAIGek/ilyEFNW4EpU/s640/unnamed.jpg)
Mkutano wa kila mwaka wa Kuwezeka umeme Afrika: Kongamano la Uwekezaji la Tanzania litafanyika Hyatt Regency Dar es Saalam, Hoteli ya Kilimanjaro kuanzia 3-4 Desemba 2015
Mkutano ule utalenga siku za usoni za sekta ya kawi ya Tanzania kufuatia uchaguzi wa hivi majuzi, kutambua nafasi za uwekezaji na kubuni maushurikiano muhimu kati ya wahusika kutoka sekta ya kibinafsi na ya umma. Dhibitisho za hivi karibuni za January Makamba, Mbunge wa Bumbuli, Tanzania, waakilishi kutoka...