Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIJIJI VYOTE NCHINI KUFIKIWA NA UMEME-MAJALIWA










Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika cha Msingi cha Nanjaru, Bakari Chuwa (kulia) wakati alipotembelea ghala la chama hicho akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Ruangwa Juni 23, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokelewa kwa nyimbo wakati alipowasili kwenye kijiji cha Nanjaru akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Ruangwa, Juni 23, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama magunia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

VIJIJI 9,001 NCHINI VIMEUNGANISHIWA UMEME -MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imefanikiwa kutekeleza Mradi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini (REA) ambapo vijiji vilivyounganishiwa umeme nchini vimeongezeka kutoka vijiji 2,118 mwaka 2015 hadi vijiji 9,001 mwezi Machi 2020.

Amesema kuwa jumla yataasisi 11,128 zikiwemo za elimu, afya, dini, mashine za kusukuma maji na huduma za biashara zimenufaika na mradi, hivyo mafanikio hayo pamoja na mengine makubwa yaliyopatikandani ya kipindi cha takriban miaka mitano yamesaidia...

 

10 years ago

Michuzi

VIJIJI 120 KUFIKIWA NA UMEME MKOANI ARUSHA

Na Mahmoud Ahmad,Arusha.  Vijiji 120 vilivyopo mkoa wa Arusha vinatarajia kufikiwa na huduma ya umeme kupitia mpango wa kusambaza umeme vijijini unaofadhiliwa na (REA) na kutekelezwa na shirika la umeme la taifa (TANESCO).  Benedict Nkini akizungumza katika mkutano na Wananchi wa Vijiji vya Meserani juu na chini amesema kuwa kwa sasa wako katika hatua ya kutoa elimu kwa wananchi juu ya mradi huo ili waweze kujiandaa kuunganishwa na huduma hiyo na pia amewataka waepuke vishoka ambao...

 

5 years ago

CCM Blog

TRIONI MOJA YATENGWA KUHAKIKISHA VIJIJI VYOTE TANZANIA NZIMA VINAPATA UMEME



 …………………………………………………………………………NA FARIDA SAIDY,MOROGORO.KATIKA kuhakikisha Huduma ya umeme inafikia vijiji vyote nchini serikali imetenga Trioni moja nchi nzima kupitia wakala wa umeme vijijini(REA)  huku Mkoa wa Morogoro ukitengewa zaidi ya Shilingi Bilioni 42.0 kwa ajili ya huduma hiyo  kwenye Vijijini 85 katika awamu ya tatu mzunguko wa kwanza na kuwa vijiji hivyo vimeshafikiwa na ifikapo Mwezi Julai mwaka huu vijiji 165 vitakuwa vimepata umeme.Kauli hiyo imetolewa na Kamishna Msaidizi wa...

 

5 years ago

Michuzi

TRIONI MOJA YA TENGWA KUHAKIKISHA VIJIJI VYOTE TANZANIA NZIMA VINAPATA UMEME.


NA FARIDA SAIDY,MOROGORO.

KATIKA kuhakikisha Huduma ya umeme inafikia vijijini vyote nchini serikali imetenga Trioni moja nchi nzima   kupitia wakala wa umeme vijijini(REA) nchini huku Mkoa wa Morogoro ukitengewa zaidi ya Shilingi Biioni 42.0  kwa ajili ya huduma hiyo ya umeme kwenye  Vijijini  85  katika awamu ya tatu mzunguko wa kwanza  na kwamba vijiji hivyo vimeshafikiwa na huduma hiyo na kwamba huduma hiyo itafikia  vimeshafikia vijiji   vyote mia moja sitini na tano  ifikapo mwezi...

 

9 years ago

Vijimambo

Serikali ya CCM Yaahidi Kuweka Umeme Vijiji Vyote Tanzania Ndani ya Miaka Miwili Madarakani


Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wanachama wa CCM pamoja na wananchi wa Jimbo la Kilindi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni Mkoa wa Tanga. Miongoni mwa ahadi aliyoitoa kwa wanaKilindi ni kulishughulikia suala la upatikanaji wa huduma za maji safi na salama pamoja na ujenzi wa barabara ya kuingia na kutoka katika Wilaya hiyo.
Baadhi ya wananchi na wanachama wa CCM Kijiji cha Kwediboma wakiwa wamesimamisha msafara wa...

 

10 years ago

Habarileo

Vijiji 1,500 nchini kupatiwa umeme

AWAMU ya Pili ya mradi wa usambazaji wa umeme vijijini, unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) unatarajiwa kukamilika kwa mafanikio Juni mwaka huu, ikiwa ni pamoja na kuvipatia umeme vijiji 1,500.

 

11 years ago

Mwananchi

Asilimia 56 ya Watanzania kufikiwa na umeme 2025

Nusu ya nyumba za Watanzania waishio vijijini huenda zikapata mwanga wa uhakika wa nishati ya umeme ifikapo 2025 kutokana na mkakati maalumu wa Wakala wa Umeme Vijijini(Rea).

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA: WENYEVITI WA VIJIJI ACHENI BIASHARA YA ARDHI


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya tabia ya baadhi ya wenyeviti wa vijiji wanaofanya biashara ya ardhi waache na badala yake amewataka wajihusishe katika kutekeleza majukumu yao ya msingi.

Ameyasema leo(Jumatano, Machi 4, 2020) wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Bokwa wilayani Kilindi akiwa kwenye ziara yake ya kikazi mkoani Tanga.

Waziri Mkuu amesema tabia ya baadhi ya wenyeviti wa vijiji kujihusisha na biashara ya uuzaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijiji nane kupatiwa umeme

VIJIJI nane vya wilaya ya Nzega vinatarajia kunufaika na mradi wa umeme kupitia Mpango Kabambe wa Umeme Vijijini Awamu ya Pili chini ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Naibu Waziri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani