VIJIJI 9,001 NCHINI VIMEUNGANISHIWA UMEME -MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imefanikiwa kutekeleza Mradi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini (REA) ambapo vijiji vilivyounganishiwa umeme nchini vimeongezeka kutoka vijiji 2,118 mwaka 2015 hadi vijiji 9,001 mwezi Machi 2020.
Amesema kuwa jumla yataasisi 11,128 zikiwemo za elimu, afya, dini, mashine za kusukuma maji na huduma za biashara zimenufaika na mradi, hivyo mafanikio hayo pamoja na mengine makubwa yaliyopatikandani ya kipindi cha takriban miaka mitano yamesaidia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-o4wy1Dcgyac/XvIUIAwkvXI/AAAAAAALvFs/0g-8CwL5KMYmWhkTP429keJNFul0yE1jACLcBGAsYHQ/s72-c/35dd225a-a3ed-48ea-b1ca-5d6cf2932284.jpg)
VIJIJI VYOTE NCHINI KUFIKIWA NA UMEME-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-o4wy1Dcgyac/XvIUIAwkvXI/AAAAAAALvFs/0g-8CwL5KMYmWhkTP429keJNFul0yE1jACLcBGAsYHQ/s640/35dd225a-a3ed-48ea-b1ca-5d6cf2932284.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika cha Msingi cha Nanjaru, Bakari Chuwa (kulia) wakati alipotembelea ghala la chama hicho akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Ruangwa Juni 23, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7236e84f-b598-4815-84c2-d34bb0328476.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokelewa kwa nyimbo wakati alipowasili kwenye kijiji cha Nanjaru akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Ruangwa, Juni 23, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d5657ce9-73c7-40af-a0d0-ce1343f634f5.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama magunia...
10 years ago
Habarileo07 Jan
Vijiji 1,500 nchini kupatiwa umeme
AWAMU ya Pili ya mradi wa usambazaji wa umeme vijijini, unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) unatarajiwa kukamilika kwa mafanikio Juni mwaka huu, ikiwa ni pamoja na kuvipatia umeme vijiji 1,500.
5 years ago
MichuziMAJALIWA: WENYEVITI WA VIJIJI ACHENI BIASHARA YA ARDHI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya tabia ya baadhi ya wenyeviti wa vijiji wanaofanya biashara ya ardhi waache na badala yake amewataka wajihusishe katika kutekeleza majukumu yao ya msingi.
Ameyasema leo(Jumatano, Machi 4, 2020) wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Bokwa wilayani Kilindi akiwa kwenye ziara yake ya kikazi mkoani Tanga.
Waziri Mkuu amesema tabia ya baadhi ya wenyeviti wa vijiji kujihusisha na biashara ya uuzaji wa...
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Vijiji 20 Mbozi kupata umeme
ZAIDI ya vijiji 20 Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, vitapata umeme kupitia mradi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), utakaoanza kutekelezwa Septemba mwaka huu. Mradi huo unaotarajiwa kukamilika Juni mwakani,...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Vijiji nane kupatiwa umeme
VIJIJI nane vya wilaya ya Nzega vinatarajia kunufaika na mradi wa umeme kupitia Mpango Kabambe wa Umeme Vijijini Awamu ya Pili chini ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Naibu Waziri...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Vijiji 45 kupata umeme Mara
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema vijiji 45 mkoani Mara vinatarajiwa kuunganishiwa na huduma ya umeme kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
10 years ago
Habarileo09 Apr
Vijiji 93 Njombe na Iringa kufaidi umeme
WATEJA wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) katika mikoa ya Iringa na Njombe wanatarajia kuongezeka kutoka 63,300 wa sasa hadi zaidi ya 93,000 ifikapo mwaka 2017.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rPEbsGjM9w/XmnINnzfqNI/AAAAAAAC8Sw/qFGtoFSsHdgl_1WsVIwtiFQGNDv3I60zgCLcBGAsYHQ/s72-c/Vijiji%2B8%252C641%2Bvyafikiwa%2Bna%2Bumeme%2Bwa%2BREA.jpeg)
Vijiji 8,641 vyafikiwa na umeme wa REA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rPEbsGjM9w/XmnINnzfqNI/AAAAAAAC8Sw/qFGtoFSsHdgl_1WsVIwtiFQGNDv3I60zgCLcBGAsYHQ/s400/Vijiji%2B8%252C641%2Bvyafikiwa%2Bna%2Bumeme%2Bwa%2BREA.jpeg)
Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango wakati akitoa Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango wa mwaka 2019/20 na Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2020/21.
“Katika kipindi cha Julai 2015 hadi Januari 2020, jumla ya shilingi trilioni 1.53 zimetumika katika utekelezaji wa mradi huu...
10 years ago
Habarileo13 Mar
Wizara yavipatia umeme jua vijiji 10
JUMLA ya vijiji 10 katika wilaya za Kongwa, Mlele na Uyui vimeunganishiwa umeme kupitia mradi wa makontena ya kuzalisha umeme kutokana na jua.