DKT KALEMANI AAGIZA VIJIJI 11 SINGIDA MASHARIKI KUWASHWA UMEME NDANI YA MWEZI MMOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3t8vJLY5LPo/XpwQEibzh-I/AAAAAAALnY8/cFK33MYHAv0v3y82jbjpfcjbbUQ7oA0nACLcBGAsYHQ/s72-c/1cd4cb78-7412-4446-a5a8-1138e0a516d6-768x576.jpg)
Waziri wa Nishati Medard Kalemani akizungumza kabla ya kuwasha umeme katika vijiji vya Matare na Nkuhi vilivyopo jimbo la Singida Mashariki,kulia kwake ni Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo.
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Miraji Mtaturu akizungumza katika ziara ya Waziri wa Nishati Medard Kalemani jimboni humo.
Waziri wa Nishati Dkt.Medard Kalemani akitoa maagizo kwa wakandarasi wa umeme akiwa katika ziara wilayani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziDKT KALEMANI AAGIZA KITUO CHA KUPOZA UMEME NYAKANAZI KIKAMILIKE NOVEMBA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K2VU0KDVTWE/XkWj18g6DvI/AAAAAAALdUI/HLdOghcw0pEt27fnerprJN89M2xBnpuZwCLcBGAsYHQ/s72-c/0586e112-8f7a-4e02-95b9-7c4822401e48.jpg)
Mweli afanya ziara kukagua ujenzi wa mabweni Sekondari ya Jangwani, Aagiza kukamilika ndani ya mwezi mmoja
Mweli ameonyesha kufurahishwa na hali hiyo alipokwenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa mabweni hayo pamoja na miundombinu mingine inayoendelea kukarabatiwa katika shule hiyo.
Akizungumza katika ziara hiyo Mweli amesema mabweni hayo mawili yatakua na uwezo wa kuchukua wanafunzi 80 kila moja hivyo wanafunzi 160 wakike...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tHw2hIw4wVs/XqgNi9V7LHI/AAAAAAALod0/uLwPxuYwzVsb25DrU0FrI-orGASA_GkuACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-3-7-768x512.jpg)
DKT. KALEMANI HARIDHISHWI NA KASI NDOGO YA MATUMIZI YA UMEME TABORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tHw2hIw4wVs/XqgNi9V7LHI/AAAAAAALod0/uLwPxuYwzVsb25DrU0FrI-orGASA_GkuACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-3-7-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-4-4-1024x683.jpg)
Viongozi wa Kijiji cha Mizanza wilayani Igunga Mkoani Tabora wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, hayupo pichani baada ya kufanya ziara kijijini hapo ya kukagua shughuli za usambazaji umeme vjijini, Aprili 27, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-1-10-1024x755.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani( kulia)...
5 years ago
MichuziWAZIRI DKT KALEMANI ATAKA WANAOIBA UMEME WAKAMATWE NA KUWEKWA KOROKORONI
WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani katika akikata utepe kuashiria kuwasha umeme kwenye Kijiji cha Kwasunga wilayani Korogwe wakati wa ziara yake katika wilaya za Lushoto,Handeni na Korogwe mkoani Tanga iliyokuwa inalenga kutembelea kwenye maeneo yanayofanyiwa kazi na wakandarasi kupitia mradi wa Rea awamu ya tatu unaoendelea ambao unatarajiwa kukamilika mwezi June mwaka huu kulia ni Meneja wa Tanesco wilaya ya Korogwe Mhandisi Peter Kanuti Magari
WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani...
9 years ago
MichuziDkt. Kalemani awaagiza Wakandarasi wa Umeme Vijijini kukamilisha miradi Machi 30
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eEwTMoY1__E/XsOJCRSRSaI/AAAAAAALqvI/9TJkXKzJPHQZhB7pHzZh4-CLxsbVZFihACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
Dkt. Kalemani: Lipieni tujue idadi ya wateja tusambaze nguzo tuwawashie umeme!
![](https://1.bp.blogspot.com/-eEwTMoY1__E/XsOJCRSRSaI/AAAAAAALqvI/9TJkXKzJPHQZhB7pHzZh4-CLxsbVZFihACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ( kulia) akiwasha umeme katika Kijiji cha Bugwego Kata ya Bwongera, wilayani Chato mkoani Geita alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini katika maeneo hayo, Mei 18,2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4SL3BOVfGL8/XsOJCvp8tgI/AAAAAAALqvM/Qda2qM4gjdMnHj6eRewK1l9ljuQpLuRHACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani(kushoto),akizungumza na mmoja wa wakazi wa Kijiji cha Rusungwa Kata ya Nyamirembe,Wilayani Chato,mkoani Geita baada ya kuwasha umeme katika nyumba yake alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini...
9 years ago
MichuziZiara ya Dkt.Kalemani katika kituo cha uzalishaji umeme kwa kutumia Gesi Kinyerezi.
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Dkt. Kalemani awaagiza TANESCO kuongeza uzalishaiji wa umeme ifikapo mwishoni mwa Desemba 2015
Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (kushoto) akimsikiliza Naibu Mkurugenzi Mtendaji Tanesco Bw.Decklan Mhaiki alipokuwa akimwonyesha mradi wa Kinyerezi I mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi eneo la Kinyerezi jijini Dar es Salaam.
Meneja Mradi TANESCO Mhandisi Simon Jalima (wa pili kushoto) akimwonyesha Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (wa pili kulia) moja ya mtambo unaopokea gesi kutoka mtwara na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s72-c/2-2-2.jpg)
DKT KALEMANI AFANYA ZIARA YA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA KAZI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI WILAYANI MISUNGWI Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s640/2-2-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3AAA-4-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4AAA-3.jpg)