Mweli afanya ziara kukagua ujenzi wa mabweni Sekondari ya Jangwani, Aagiza kukamilika ndani ya mwezi mmoja
![](https://1.bp.blogspot.com/-K2VU0KDVTWE/XkWj18g6DvI/AAAAAAALdUI/HLdOghcw0pEt27fnerprJN89M2xBnpuZwCLcBGAsYHQ/s72-c/0586e112-8f7a-4e02-95b9-7c4822401e48.jpg)
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI (E) Gerald Mweli ameridhishwa na ujenzi wa mabweni mawili katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Jangwani iliyopo Jijini Dar es salaam.
Mweli ameonyesha kufurahishwa na hali hiyo alipokwenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa mabweni hayo pamoja na miundombinu mingine inayoendelea kukarabatiwa katika shule hiyo.
Akizungumza katika ziara hiyo Mweli amesema mabweni hayo mawili yatakua na uwezo wa kuchukua wanafunzi 80 kila moja hivyo wanafunzi 160 wakike...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3t8vJLY5LPo/XpwQEibzh-I/AAAAAAALnY8/cFK33MYHAv0v3y82jbjpfcjbbUQ7oA0nACLcBGAsYHQ/s72-c/1cd4cb78-7412-4446-a5a8-1138e0a516d6-768x576.jpg)
DKT KALEMANI AAGIZA VIJIJI 11 SINGIDA MASHARIKI KUWASHWA UMEME NDANI YA MWEZI MMOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3t8vJLY5LPo/XpwQEibzh-I/AAAAAAALnY8/cFK33MYHAv0v3y82jbjpfcjbbUQ7oA0nACLcBGAsYHQ/s640/1cd4cb78-7412-4446-a5a8-1138e0a516d6-768x576.jpg)
Waziri wa Nishati Medard Kalemani akizungumza kabla ya kuwasha umeme katika vijiji vya Matare na Nkuhi vilivyopo jimbo la Singida Mashariki,kulia kwake ni Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/984c224d-7b25-4de3-8091-fb5561aea6f0-1024x683.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Miraji Mtaturu akizungumza katika ziara ya Waziri wa Nishati Medard Kalemani jimboni humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/8b9b3d40-e113-4cfe-9e5f-daffa18f1878-1024x683.jpg)
Waziri wa Nishati Dkt.Medard Kalemani akitoa maagizo kwa wakandarasi wa umeme akiwa katika ziara wilayani...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Makamu wa Rais afanya ziara ya kukagua athari za mafuriko Dar na maendeleo ya Ujenzi wa Daraja la Mpiji
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Mussa Iombe, sehemu ya Daraja la Mpiji linalounganisha Bagamoyo na Dar es Salaam, lililokatika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini, wakati Makamu alipofanya ziara hiyo ya kujionea maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo leo Aprili 13, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b7KT3msK8ow/XlkqJFcTqHI/AAAAAAALf6o/DUIq66GNRog7U4B6auSrEswHtIbb-5e0QCLcBGAsYHQ/s72-c/m%2B%25282%2529.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MSIKITI WA BAKWATA KINONDONI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-b7KT3msK8ow/XlkqJFcTqHI/AAAAAAALf6o/DUIq66GNRog7U4B6auSrEswHtIbb-5e0QCLcBGAsYHQ/s640/m%2B%25282%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DKzX9vZHhfg/XlkqMn_zJ9I/AAAAAAALf68/DDx4ryraRQMqSU-izKYRqc-mhVd5iF6xQCLcBGAsYHQ/s640/m%2B%25283%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qXBVLSSy0wI/XlkqNKeKzjI/AAAAAAALf7A/sgqoiIy2HBs0OtWfYIO6yXRE-KCMeLbGQCLcBGAsYHQ/s640/m%2B%25284%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vwf4-TlLSr8/XlkqNmqaWSI/AAAAAAALf7E/aPp5qdKmD9kYDpL9Ieq7WSL49VvWIFlTgCLcBGAsYHQ/s640/m%2B%25285%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4f8bZ1Pa4A4/XlkqOBuSBMI/AAAAAAALf7I/ZJ0sQElZgwoy2rWeoFRfgGsuV3HYVIMzgCLcBGAsYHQ/s640/m%2B%25286%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2gU_htgUG2k/VZLr3o7B3DI/AAAAAAAHmAI/QA5LJIKmJ2s/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
Dkt. Magufuli akagua ujenzi wa Daraja la Kigamboni-Kukamilika mwezi wa Tisa mwaka huu
![](http://4.bp.blogspot.com/-2gU_htgUG2k/VZLr3o7B3DI/AAAAAAAHmAI/QA5LJIKmJ2s/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O0GsIuUMmeI/VZLr3_tVkZI/AAAAAAAHmAY/sQFEFk9ribY/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akikagua moja ya nguzo za barabara za juu flyovers katika maingilio ya Daraja la Kigamboni. Katika eneo hilo kutajengwa barabara za juu ili kuruhusu magari kupita kwa urahisi wakati wa kuingia na kutoka katika daraja hilo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-dWK75pqfR4Y/VZLr2qcK1bI/AAAAAAAHmAE/KBcOCLMCd28/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAJI SHINYANGA
10 years ago
VijimamboABBAS MTEMVU AFANYA ZIARA YA KUKAGUA WA MAENEO YALIYOHARIBIWA NA MVUA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Uj8-OD2CjiE/VDKVUcp-YOI/AAAAAAAGoV0/v6AI_ZPs-so/s72-c/unnamed%2B(83).jpg)
Waziri wa Mazingira afanya ziara ya kukagua viwanda mbalimbali jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uj8-OD2CjiE/VDKVUcp-YOI/AAAAAAAGoV0/v6AI_ZPs-so/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EwPnEPjS3xU/VDKVUL-De5I/AAAAAAAGoVw/NSPgD5BeEWw/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
9 years ago
Michuzi05 Jan
DK. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA MUHIMBILI NA KUKAGUA MASHINE ZA CT-SCAN NA MRI, AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI
![IMG_0910](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0910.jpg)