Dkt. Magufuli akagua ujenzi wa Daraja la Kigamboni-Kukamilika mwezi wa Tisa mwaka huu
![](http://4.bp.blogspot.com/-2gU_htgUG2k/VZLr3o7B3DI/AAAAAAAHmAI/QA5LJIKmJ2s/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
Kazi za Ujenzi wa Daraja la Kigamboni ukiendelea kwa kasi
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akikagua moja ya nguzo za barabara za juu flyovers katika maingilio ya Daraja la Kigamboni. Katika eneo hilo kutajengwa barabara za juu ili kuruhusu magari kupita kwa urahisi wakati wa kuingia na kutoka katika daraja hilo. Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (wakwanza kulia) akifanya ukaguzi katika mradi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mfuko wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU, DARAJA LA KIGAMBONI
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Pinda akagua ujenzi wa daraja la Kigamboni na mradi wa nyumba za mashirika ya NSSF na NHC
Waziri Mkuu, Mizewngo Pinda akikagua ujenzi wa daraja la kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba unaofanywa na Shirika la NSSF katika eno la Kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4sx_K5iTzTw/Xm9DUVMhYeI/AAAAAAAC8gw/2AouE5bmZVgwG87BydYxr1lGRT1jxavMwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA JUU UBUNGO NA BARABARA, AONGEA NA KUSIKIL|IZA KERO ZA WANANCHI MBEZI MWISHO, MLOGANZILA, MLANDIZI,CHALINZE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4sx_K5iTzTw/Xm9DUVMhYeI/AAAAAAAC8gw/2AouE5bmZVgwG87BydYxr1lGRT1jxavMwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CPPTFg0190Q/Xm9DUa7ZR7I/AAAAAAAC8g0/qD2088gCYhw20uVxkxjYtyBMCF-HjqHwgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MSps4ZB6XlM/Xm9DTtifBsI/AAAAAAAC8gs/B8MCzfAO41gxX-Z62qFvSMeSYP4BMU-WwCLcBGAsYHQ/s640/3...jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wEa9UhIk1_c/Xm9DVBx4lfI/AAAAAAAC8g4/hUwjLl8p0pslqFUZMtljMqxYf3paf4pFQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI DK. MAGUFULI AIFAGILIA NSSF UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI
Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 60 ambapo mpaka sasa NSSF imetoa sh. bilioni 117 kati ya Bilioni 214 zitakazokamilisha ujenzi wa daraja hilo.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, alipotembelea daraja kuona namna ujenzi unavyoendelea, Dk. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa daraja hilo umekutana na changamoto nyingi ikiwemo kina kilichokuwa...
10 years ago
Habarileo16 May
Daraja la Kigamboni kukamilika Desemba
UJENZI wa daraja linalounganisha Kigamboni na Dar es Salaam unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Daraja Kigamboni kukamilika mwakani
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema kuwa daraja la Kigamboni linatarajiwa kukamilika Julai Mwakani. Akizungumza mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, kwenye ziara ya ukaguzi wa miradi inayosimamiwa na Mfuko...
11 years ago
MichuziMH. MAGUFULI AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU KATIKA WILAYA YA IGUNGA MKOANI TABORA