Daraja la Kigamboni kukamilika Desemba
UJENZI wa daraja linalounganisha Kigamboni na Dar es Salaam unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Daraja Kigamboni kukamilika mwakani
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema kuwa daraja la Kigamboni linatarajiwa kukamilika Julai Mwakani. Akizungumza mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, kwenye ziara ya ukaguzi wa miradi inayosimamiwa na Mfuko...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Daraja la Kigamboni kukamilika Juni mwakani
UJENZI wa Daraja la Kigamboni katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam umekamilika kwa asilimia 60 na linatarajiwa kuanza kutumika Juni mwakani.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Daraja Kigamboni sasa kukamilika Julai mwakani
Ujenzi wa Daraja la Kigamboni unatarajia kukamilika Julai mwakani badala ya Januari mwakani.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2gU_htgUG2k/VZLr3o7B3DI/AAAAAAAHmAI/QA5LJIKmJ2s/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
Dkt. Magufuli akagua ujenzi wa Daraja la Kigamboni-Kukamilika mwezi wa Tisa mwaka huu
![](http://4.bp.blogspot.com/-2gU_htgUG2k/VZLr3o7B3DI/AAAAAAAHmAI/QA5LJIKmJ2s/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O0GsIuUMmeI/VZLr3_tVkZI/AAAAAAAHmAY/sQFEFk9ribY/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akikagua moja ya nguzo za barabara za juu flyovers katika maingilio ya Daraja la Kigamboni. Katika eneo hilo kutajengwa barabara za juu ili kuruhusu magari kupita kwa urahisi wakati wa kuingia na kutoka katika daraja hilo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-dWK75pqfR4Y/VZLr2qcK1bI/AAAAAAAHmAE/KBcOCLMCd28/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni ambalo ujenzi wake utakamilka ifikapo Juni mwaka 2015.
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J85lH48Znm0/XvXkbT9PTwI/AAAAAAALvho/jRpDJ4Sf_uU1ZiuhLzDqQ9VD_Ad-SgDJwCLcBGAsYHQ/s72-c/18e4f385-7887-45b8-b1a5-52d7e951862d.jpg)
NAIBU WAZIRI ATAKA DARAJA LA KOGA KUKAMILIKA MWEZI OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-J85lH48Znm0/XvXkbT9PTwI/AAAAAAALvho/jRpDJ4Sf_uU1ZiuhLzDqQ9VD_Ad-SgDJwCLcBGAsYHQ/s640/18e4f385-7887-45b8-b1a5-52d7e951862d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/525f53da-41a9-44fd-9827-c6bf2b42d01a.jpg)
Mtambo wa kushindilia lami ukiendelea na kazi katika barabara ya Tabora – Koga – Mpanda (km 324.7); sehemu ya Kasinde – Mpanda, mkoani Katavi. Ujenzi wa sehemu hiyo umefikia asilimia 48.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1dfcbb6f-bf7b-4599-8f01-e748468bd23c.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akitoa maelekezo kwa mkandarasi wa kampuni ya Jiangxi Geo – Engineering, Bw. Li, wakati alipokagua...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Jnun36kzdfY/VDu74136agI/AAAAAAABK7g/Nid8NgAVapQ/s72-c/866.jpg)
WAFANYAKAZI DARAJA LA KIGAMBONI WAGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jnun36kzdfY/VDu74136agI/AAAAAAABK7g/Nid8NgAVapQ/s640/866.jpg)
Khamis Mpili, alisema tangu mradi wa ujenzi huo uanze kuna wafanyakazi hawajapatiwa mikataba ya kazi, hali inayosababisha kukosa haki zao za msingi zikiwamo malipo ya likizo,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rR2VwgcRRRE/UzGWCwf_l3I/AAAAAAAAUSg/TGICsLLvTik/s72-c/DSC03259.jpg)
Maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kigamboni
![](http://2.bp.blogspot.com/-rR2VwgcRRRE/UzGWCwf_l3I/AAAAAAAAUSg/TGICsLLvTik/s1600/DSC03259.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wh2tWk8bk14/UzGWCa4W7nI/AAAAAAAAUSY/d52Vh3HAzHM/s1600/DSC03245.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Daraja Kigamboni neema au balaa?
Pembezoni mwa Makao Makuu ya Baraza la Maaskofu Tanzania (Tec), ujenzi unaendelea wa barabara na daraja la kuunganisha Mji wa Kigamboni na Jiji la Dar es Salaam, eneo la Mkondo wa Kurasini. Ujenzi huo unafanywa na kampuni mbili kutoka nchini China.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania