Tanesco yaahidi umeme wa uhakika wiki hii
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema umeme wa uhakika utaanza kupatikana mwishoni mwa wiki baada mitambo ya kufua umeme ya Ubungo kuwashwa kwa ajili ya majaribio.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
9 years ago
Habarileo17 Sep
Umeme wa uhakika kesho
SHIRIKA la Umeme nchini (TANESCO) kesho linatarajia kuwasha rasmi mitambo inayotumia umeme wa gesi inayotoka Mtwara, huku ikielezwa kuwa tatizo la upatikanaji umeme wa uhakika, sasa litakuwa historia.
10 years ago
Habarileo18 Nov
Dar kuwa na umeme wa uhakika miaka miwili ijayo
WIZARA ya Nishati na Madini, imewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam kuwa na umeme wa uhakika ndani ya miaka miwili, huku ikianza kuachana na mpango wa kuwa na nguzo za miti badala yake kutumia za zege.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dxt35lR3O8w/VWLi0tyMbdI/AAAAAAAHZkg/4T9_85vG-sE/s72-c/pic%2Bmoja.jpg)
Umeme wa uhakika, Chato, Biharamulo kupatikana Juni, 2015
Imeelezwa kuwa wilaya za Chato na Biharamulo zitapata umeme wa uhakika ifikapo mwanzoni mwa mwezi Juni mwaka huu mara baada ya kukamilika kwa ufungaji wa mtambo wa pili wa umeme wilayani Biharamulo mkoani Kagera.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Kagera na kujionea maendeleo ya ufungaji wa mtambo huo utakozalisha umeme wa kiasi cha kilowati 650. Mwijage amesema kuwa mtambo huo utakaoanza kazi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-w4y6r-QHQLA/VakcmvBf6wI/AAAAAAAHqRY/lh9H4A9HwvM/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Chato, Biharamulo kupata umeme wa uhakika kuanzia Jumapili
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QEK8-Bk_bIY/U_cUrCiMNzI/AAAAAAACn2Q/udJqeJK73eQ/s72-c/1.jpg)
Umeme wa uhakika ndiyo nguzo ya maendeleo ya uchumi nchini — IPTL
![](http://4.bp.blogspot.com/-QEK8-Bk_bIY/U_cUrCiMNzI/AAAAAAACn2Q/udJqeJK73eQ/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pXWbG8ksrqk/U_cUtFa72MI/AAAAAAACn2c/yS4Lt7JfRE4/s1600/4.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-m0wIEoMH_u8/VgN7L38XRuI/AAAAAAAAEHM/R1yXW_vA5Rw/s72-c/IMG_0077.jpg)
Serikali ya CCM Yaahidi Kuweka Umeme Vijiji Vyote Tanzania Ndani ya Miaka Miwili Madarakani
![](http://3.bp.blogspot.com/-m0wIEoMH_u8/VgN7L38XRuI/AAAAAAAAEHM/R1yXW_vA5Rw/s640/IMG_0077.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TnZStOx6i40/VgN7_LIt7AI/AAAAAAAAEHo/QP53ldCHiHU/s640/IMG_0126.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xIto0wTqyME/VgN6e6Yb5II/AAAAAAAAEG0/tBZDFfmfhGg/s640/IMG_0046.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Tanesco yapandisha bei ya umeme
10 years ago
Habarileo22 Mar
Mitambo ya umeme ‘yaitafuna’ Tanesco
MITAMBO ya kufua umeme inayotumia mafuta kwa ajili ya kufua umeme nchini, imetajwa kuwa kikwazo katika maendeleo ya Taifa, kutokana na kutumia rasilimali fedha za kigeni nyingi katika kuzalisha nishati hiyo nchini, ambayo ingeweza kutumika katika maendeleo.