Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nchi sasa gizani siku saba.

NA RESTUTA JAMES 7th September 2015 Shirika la umeme nchini (Tanesco), limetangaza nchi kuingia ‘gizani’ kwa wiki nzima kuanzia leo kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi inayozalisha umeme kutoka Songosongo na kuanza majaribio ya gesi […]

The post Nchi sasa gizani siku saba. appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kukaa gizani sasa basi

Siku za kukaa gizani kwa wakazi wa Kijiji cha Uchindile wilayani Kilombero zipo ukingoni baada ya mtambo wa kuzalisha umeme wa kilowati saba utakaotokana na mabaki ya mazao na miti kuzinduliwa na kaya zaidi ya 100 zitanufaika.

 

9 years ago

Mtanzania

Nchi gizani kwa saa 12 wiki nzima

tanekoNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuanza kukata umeme leo kwa mikoa inayotumia gridi ya taifa kwa   wiki moja kwa  saa 12 kila siku.

Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco,   Felchesmi Mramba alitaja baadhi ya mikoa ambayo itakumbwa na tatizo hiyo kuwa ni   Dar es Salaam, Mbeya,  Lindi, Mwara, Mwanza, Arusha na mingine.

Alikuwa  akizungumza na wandishi wa habari  jana kwenye ziara   ya kutembelea mitambo ya Kinyerezi na Ubungo,  Dar es Salaam.

“Umeme...

 

10 years ago

Vijimambo

TEMBELEA OFISI YA GLOBAL EDUCATION LINK (GEL) ILIYOPO SABA SABA UJIPATIE NAFASI YA KUSOMA CHUO NJE YA NCHI

Muonekano wa Ofisi ya Global Education Link iliyopo ndani ya viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.Msimamizi wa Masoko wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bw. Haroun Weggoro akihudumia wateja waliohudhuria katika ofisi yao iliyopo iliyopo maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Afisa Masoko wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Zinakaribia siku za CCM kula gizani machungwa yaliyooza

Kuna kisa cha msafiri mmoja aliyeomba mahali pa kulala kwa mjumbe wa Serikali ya Mtaa ili kesho yake aendelee na safari yake. Alifika saa 5.00 usiku na kwa kuwa mjumbe alikuwa amekwisha kula, alichofanya ni kumwandalia msafiri huyo mahali pa kulala, basi.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMPUNI 1500 TOKA HAPA NCHINI NA 400 TOKA NJE YA NCHI YATARAJIWA KUSHIRIKI MAONYESHO YA SABA SABA MWAKA 2015

 Gari likiwa limebeba takataka katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam leo.  Mabanda ya maonyesho ya sabasaba yakiendelea kufanyiwa kukarabati kwaajili ya maonyesho yatakayoanza Juni 28 mwaka huu jijini Dar es Salaam.Wazee wa kilimo kwanza wakiwa katika maandalizi ya maonyesho ya sabasaba.  Wanawake nao katika harakati za kuweka mazingira ya kupendeza katika mabanda ya maonyesho ya sabasaba leo jijini Dar es Salaam. Mafundi wakitoa mizigo kwaajili maonyesho ya sabasaba jijini Dar...

 

11 years ago

GPL

MWAKA WA SABA SASA, BADO MARAFIKI TU! – 2

MAPENZI ni pasua kichwa. Yanaumiza na kuwachanganya wengi. Kwa upande wa pili, mapenzi ni mazuri, matamu na yanasisimua sana. Ni namna ya kujipanga tu. Ukitaka kuwa kwenye mateso au furaha ni wewe tu! Rafiki zangu, tunaendelea na mada yetu iliyoanza wiki iliyopita ambapo leo tunafikia tamati. Nawashukuru wote ambao mnanitumia meseji za kunipongeza kwa darasa ninalotoa. Tunaangalia namna ya kujua penzi la dhati hasa kwa wasichana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea sasa yaongoza kwa pointi saba

Mourinho amesema kwamba haoni uongozi wa alama 7 juu ya jedwali la ligi ya Uingereza ni fursa ya timu hiyo kushinda ligi

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC awapa siku saba watendaji

MKUU wa Wilaya (DC) ya Nyang’hwale, mkoani Geita, Ibrahim Marwa, amewataka watumishi wa halmashauri hiyo kuanzia mkurugenzi wa wilaya na watendaji wa kata na vijiji kuhakikisha ndani ya siku saba...

 

10 years ago

Mwananchi

Siku saba za urais ndani ya CCM

Ni wiki ngumu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM). Ndivyo unavyoweza kusema kwani chama hicho kinachotawala kitafanya vikao vyake vya juu vitakavyohitimishwa kwa kumpata mgombea wake wa urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani