MWAKA WA SABA SASA, BADO MARAFIKI TU! – 2
![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75qmyX6RDlku3aIWSp7rDBlC1PlGl5P3bJ09V8qsPTNXLHYetnwejF-4ca7NVqTy8Yv4lqG68OGBfq*E36mafCA*/mahaba.jpg)
MAPENZI ni pasua kichwa. Yanaumiza na kuwachanganya wengi. Kwa upande wa pili, mapenzi ni mazuri, matamu na yanasisimua sana. Ni namna ya kujipanga tu. Ukitaka kuwa kwenye mateso au furaha ni wewe tu! Rafiki zangu, tunaendelea na mada yetu iliyoanza wiki iliyopita ambapo leo tunafikia tamati. Nawashukuru wote ambao mnanitumia meseji za kunipongeza kwa darasa ninalotoa. Tunaangalia namna ya kujua penzi la dhati hasa kwa wasichana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbae4LfqXNyssQxoWMWRGkzS1u5Wta8lcqws-Je95JdtnPSB9CnpiIXEB7eAAoHEmMVjTh8R1FbK7puP7FmRai3c1/MAHABA.jpg?width=650)
MWAKA WA 7 SASA, BADO MARAFIKI TU!
10 years ago
MichuziMAKAMPUNI 1500 TOKA HAPA NCHINI NA 400 TOKA NJE YA NCHI YATARAJIWA KUSHIRIKI MAONYESHO YA SABA SABA MWAKA 2015
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Sep
Nchi sasa gizani siku saba.
NA RESTUTA JAMES 7th September 2015 Shirika la umeme nchini (Tanesco), limetangaza nchi kuingia ‘gizani’ kwa wiki nzima kuanzia leo kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi inayozalisha umeme kutoka Songosongo na kuanza majaribio ya gesi […]
The post Nchi sasa gizani siku saba. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Chelsea sasa yaongoza kwa pointi saba
9 years ago
Habarileo28 Sep
Sasa bado Mtibwa, yatambaYanga SC
BAADA ya kuichapa Simba mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu mwishoni mwa wiki iliyopita, Yanga imetuma salam kwa Mtibwa Sugar ikisema itaiangushia kipigo kikali zaidi. Msimu uliopita Yanga ilifungua dimba na Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro na kufungwa mabao 2-0.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hI42iichCtE/XooEkbC7tzI/AAAAAAALmHw/UO3qF5BhAW0DV58Xft-xWYWWHmzRSnV-ACLcBGAsYHQ/s72-c/HAMADI%2B2.jpg)
11 years ago
Habarileo02 Jan
Ndoa saba zabarikiwa kwa mpigo ibada ya Mwaka Mpya
NDOA saba zimebarikiwa katika ibada ya Mwaka mpya, iliyofanyika katika Kanisa la la Anglikana la Mtakatifu Yohana Mbatizaji Minyonyoni, Kigogo Luhanga, jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi17 Feb
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Taasisi ya IEP yatoa matokeo ya mtihani wa dini wa darasa la saba mwaka huu
Na Ally Daud-MAELEZO
Jopo la Elimu ya Kiislamu nchini (IEP) limetangaza matokeo ya wanafunzi waliofanya mtihani wa dini hiyo wa kuhitimu darasa la saba Agosti 12 mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa na Afisa Mwandamizi wa jopo hilo Bw. Suleimani Daud alipokuwa akiongea na Waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Bw. Suleimani amesema kuwa wanafunzi ambao walifanya mtihani huo idadi yao ilikuwa 86,613 kati ya wanafunzi 93,101 waliojisajili nchini kutoka shule 3094 ambazo wanafunzi walifanya...