Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sasa bado Mtibwa, yatambaYanga SC

BAADA ya kuichapa Simba mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu mwishoni mwa wiki iliyopita, Yanga imetuma salam kwa Mtibwa Sugar ikisema itaiangushia kipigo kikali zaidi. Msimu uliopita Yanga ilifungua dimba na Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro na kufungwa mabao 2-0.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWAKA WA 7 SASA, BADO MARAFIKI TU!

LOVE & Life ndiyo kolamu inayotukutanisha marafiki kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali kuhusu uhusiano na maisha. Bila shaka kwa wadau wa kona hii, watakiri kuwa imewabadilisha sana. Kama ndiyo mara ya kwanza kuanza kusoma hapa, napenda kukuhakikishia kuwa hutajutia badala yake utaendelea kujifunza mambo mapya kila siku ambayo yatabadili fikra zako kuhusu uhusiano. Leo nataka kuzungumzia jambo muhimu sana, hasa kwa upande wa...

 

11 years ago

GPL

MWAKA WA SABA SASA, BADO MARAFIKI TU! – 2

MAPENZI ni pasua kichwa. Yanaumiza na kuwachanganya wengi. Kwa upande wa pili, mapenzi ni mazuri, matamu na yanasisimua sana. Ni namna ya kujipanga tu. Ukitaka kuwa kwenye mateso au furaha ni wewe tu! Rafiki zangu, tunaendelea na mada yetu iliyoanza wiki iliyopita ambapo leo tunafikia tamati. Nawashukuru wote ambao mnanitumia meseji za kunipongeza kwa darasa ninalotoa. Tunaangalia namna ya kujua penzi la dhati hasa kwa wasichana...

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa

Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]

The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Hongera Rais Dk. Magufuli: Umeibukia huku, Sasa bado pale kwa akina Ngoswe!

PAGE 25

                                                                Kaimu Balozi wa Zambia akiyakana Magogo hayo ya miti ya mninga kwa kile alichodai kuwa watu hao licha ya kueleza kuyatoa Zambia, hawana nyaraka muhimu za kuonyesha kama wameyatoa Zambia licha ya kuwa wametokea Zambia tukio lililotokea jana Novemba 27.

Na Andrew Chale,Modewjiblog

[TANZANIA] Miongoni mwa habari kubwa kwasasa Tanzania ni namna ya utendaji wa kasi ya ajabu ya Mheshimiwa Rais wetu Dk. John Pombe Magufuli pamoja na...

 

11 years ago

Michuzi

HAYA NDIO YANAYOENDELEA UWANJA WA TAIFA HIVI SASA,MECHI BADO HAIJAANZA LAKINI VITI ZAIDI YA 20 VYANG'OLEWA

 Katika hali isiyokuwa ya kawaida,Mashabiki wa timu ya Simba wameanza tena kung'oa viti vya kukalia uwanjani hapa na kuwatupia Mashabini wenzao wa Timu ya Yanga waliofurika kwa wingi uwanjani hapa,kwa kile kinachodaiwa kuwa hawataki kukaa nao sehemu moja.lakini kwa hali ilivyo hivi sasa Uwanjani hapa,ni dhahiri kabisa kuwa Mashabiki hao wa Yanga wanaweza kuujaza Uwanja huu hasa kwa jinsi wanavyozidi kuingia Uwanjani hapa.Uongozi wa Vilabu hivi viwili vikubwa hapa nchini unatakiwa kukaa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Virusi 4 ambavyo bado havijapata chanjo hadi sasa na jinsi tulivyojifunza kuishi navyo

Mamilioni ya watu kote duniani wana matumaini kwamba ugonjwa wa Covid-19 hatimae uthadhibitiwa kutokana na chanjo itakayopatikana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani