Sasa bado Mtibwa, yatambaYanga SC
BAADA ya kuichapa Simba mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu mwishoni mwa wiki iliyopita, Yanga imetuma salam kwa Mtibwa Sugar ikisema itaiangushia kipigo kikali zaidi. Msimu uliopita Yanga ilifungua dimba na Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro na kufungwa mabao 2-0.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbae4LfqXNyssQxoWMWRGkzS1u5Wta8lcqws-Je95JdtnPSB9CnpiIXEB7eAAoHEmMVjTh8R1FbK7puP7FmRai3c1/MAHABA.jpg?width=650)
MWAKA WA 7 SASA, BADO MARAFIKI TU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75qmyX6RDlku3aIWSp7rDBlC1PlGl5P3bJ09V8qsPTNXLHYetnwejF-4ca7NVqTy8Yv4lqG68OGBfq*E36mafCA*/mahaba.jpg)
MWAKA WA SABA SASA, BADO MARAFIKI TU! – 2
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa
Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]
The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi17 Feb
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Hongera Rais Dk. Magufuli: Umeibukia huku, Sasa bado pale kwa akina Ngoswe!
Kaimu Balozi wa Zambia akiyakana Magogo hayo ya miti ya mninga kwa kile alichodai kuwa watu hao licha ya kueleza kuyatoa Zambia, hawana nyaraka muhimu za kuonyesha kama wameyatoa Zambia licha ya kuwa wametokea Zambia tukio lililotokea jana Novemba 27.
Na Andrew Chale,Modewjiblog
[TANZANIA] Miongoni mwa habari kubwa kwasasa Tanzania ni namna ya utendaji wa kasi ya ajabu ya Mheshimiwa Rais wetu Dk. John Pombe Magufuli pamoja na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s72-c/8.jpg)
HAYA NDIO YANAYOENDELEA UWANJA WA TAIFA HIVI SASA,MECHI BADO HAIJAANZA LAKINI VITI ZAIDI YA 20 VYANG'OLEWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s1600/8.jpg)
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Virusi 4 ambavyo bado havijapata chanjo hadi sasa na jinsi tulivyojifunza kuishi navyo