Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Virusi 4 ambavyo bado havijapata chanjo hadi sasa na jinsi tulivyojifunza kuishi navyo

Mamilioni ya watu kote duniani wana matumaini kwamba ugonjwa wa Covid-19 hatimae uthadhibitiwa kutokana na chanjo itakayopatikana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi virusi vya corona vinavyobadilisha tabia za raia wa Sierre Leone

Sehemu ya kwanza ya kipindi cha Afrika Eye inaangazia mlipuko wa corona unavyobadilisha tabia za raia wa Sierra Leone kuhusu jinsi wanavyoshirikiana

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi janga la virusi vya corona linavyobadili usafiri wa ndege duniani

Janga la corona limelazimisha mashirika ya ndege kufuta safari na kuegesha ndege

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona Kenya yapanda hadi 110

Idadi ya visa vya ugonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imefikia 110 baada ya visa vingine 29 kuthibitishwa

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwanini dunia inaitegemea India kutengeneza chanjo ya virusi hivi?

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo wiki mobile zilizopita alisema kuwa India na Marekani zinafanya Kazi pamoja kutengeneza chanjo ya kukabiliana na virus cya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: 'Sasa iweje?' Jinsi rais wa Brazil anavyopuuza janga la Covid-19

Rais Jair Bolsonaro ametaja Covid-19 kuwa “mafua kidogo” na mara kadhaa kupuuza hatua ya kutokaribiana. Lakini tamko lake la hivi karibuni limezua ghadhabu miongoni mwa hata wafuasi wake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Vitu vinne muhimu unavyopaswa kuwa navyo

Tazama vitu vinne muhimu unavyopaswa kuwa navyo na kutembea navyo popote unapokwenda wakati huu wa janga la corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Namna ambavyo vijana wanaweza kujizuia na hofu ya corona

Mlipuko wa maambukizi ya corona umewafanya watu kujihisi uoga na wasiwasi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Afrika sio uwanja wa majaribio ya chanjo ya corona - WHO

Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amelaani kauli alizoziita za "kibaguzi" kutoka kwa madaktari wawili wa Ufaransa ambao walitaka chanjo ya virusi vya corona kufanyiwa majaribio barani Afrika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani