MWAKA WA 7 SASA, BADO MARAFIKI TU!
![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbae4LfqXNyssQxoWMWRGkzS1u5Wta8lcqws-Je95JdtnPSB9CnpiIXEB7eAAoHEmMVjTh8R1FbK7puP7FmRai3c1/MAHABA.jpg?width=650)
LOVE & Life ndiyo kolamu inayotukutanisha marafiki kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali kuhusu uhusiano na maisha. Bila shaka kwa wadau wa kona hii, watakiri kuwa imewabadilisha sana. Kama ndiyo mara ya kwanza kuanza kusoma hapa, napenda kukuhakikishia kuwa hutajutia badala yake utaendelea kujifunza mambo mapya kila siku ambayo yatabadili fikra zako kuhusu uhusiano. Leo nataka kuzungumzia jambo muhimu sana, hasa kwa upande wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75qmyX6RDlku3aIWSp7rDBlC1PlGl5P3bJ09V8qsPTNXLHYetnwejF-4ca7NVqTy8Yv4lqG68OGBfq*E36mafCA*/mahaba.jpg)
MWAKA WA SABA SASA, BADO MARAFIKI TU! – 2
9 years ago
Habarileo28 Sep
Sasa bado Mtibwa, yatambaYanga SC
BAADA ya kuichapa Simba mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu mwishoni mwa wiki iliyopita, Yanga imetuma salam kwa Mtibwa Sugar ikisema itaiangushia kipigo kikali zaidi. Msimu uliopita Yanga ilifungua dimba na Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro na kufungwa mabao 2-0.
10 years ago
Michuzi17 Feb
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Hongera Rais Dk. Magufuli: Umeibukia huku, Sasa bado pale kwa akina Ngoswe!
Kaimu Balozi wa Zambia akiyakana Magogo hayo ya miti ya mninga kwa kile alichodai kuwa watu hao licha ya kueleza kuyatoa Zambia, hawana nyaraka muhimu za kuonyesha kama wameyatoa Zambia licha ya kuwa wametokea Zambia tukio lililotokea jana Novemba 27.
Na Andrew Chale,Modewjiblog
[TANZANIA] Miongoni mwa habari kubwa kwasasa Tanzania ni namna ya utendaji wa kasi ya ajabu ya Mheshimiwa Rais wetu Dk. John Pombe Magufuli pamoja na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s72-c/8.jpg)
HAYA NDIO YANAYOENDELEA UWANJA WA TAIFA HIVI SASA,MECHI BADO HAIJAANZA LAKINI VITI ZAIDI YA 20 VYANG'OLEWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uLJKC9Kh5w0/UxHRLrp8meI/AAAAAAAFQak/HMg_Zc49ioI/s1600/8.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Haya mwaka mpya huo, amkeni sasa
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Muswada wa Sheria ya Habari sasa April mwaka huu
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, Saidi Mtanda akiwasilisha taarifa ya kamati.
Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma
SERIKALI inatarajia kuwasilisha Muswada wa Sheria ya Habari katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwezi April mwaka huu ili kujadiliwa na kupitishwa kuwa Sheria kamili.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii Saidi Mtanda wakati akiwasilisha taarifa ya kazi za kamati yake kuanzia Januari 2014 hadi Januari 2015.
Alisema muswada huo...
9 years ago
Bongo527 Nov
Mume wa Baby J yupo jela mwaka wa tatu sasa
![11910514_1643281142605929_1772135023_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11910514_1643281142605929_1772135023_n1-300x194.jpg)
Muimbaji kutoka visiwani Zanzibar, Baby J, amesema mume wake wa ndoa bado yupo jela mwaka wa tatu sasa.
Baby ameiambia Bongo5 kuwa mume wake alishikwa nchini Marekani ikiwa ni siku chache tu baada ya kufunga ndoa.
“Kweli niliolewa bahati nzuri au mbaya sikubahatika kukaa na mume wangu,” amesema. “Baada ya kuwa katika mazingira ya kuolewa ndani ya siku nne mume wangu akapata matatizo kule Marekani, akawa yupo jela. Kwahiyo bado yupo jela mwaka watatu huu, bado yupo kwenye matatizo.”
Jiunge...