Mume wa Baby J yupo jela mwaka wa tatu sasa
Muimbaji kutoka visiwani Zanzibar, Baby J, amesema mume wake wa ndoa bado yupo jela mwaka wa tatu sasa.
Baby ameiambia Bongo5 kuwa mume wake alishikwa nchini Marekani ikiwa ni siku chache tu baada ya kufunga ndoa.
“Kweli niliolewa bahati nzuri au mbaya sikubahatika kukaa na mume wangu,” amesema. “Baada ya kuwa katika mazingira ya kuolewa ndani ya siku nne mume wangu akapata matatizo kule Marekani, akawa yupo jela. Kwahiyo bado yupo jela mwaka watatu huu, bado yupo kwenye matatizo.”
Jiunge...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies22 Mar
Iyobo Aonekana Mtaani na Nguo za Mume wa Aunty Ezekiel Amabae Yupo Jela
Gazeti la Kiu limetoboa kuwa Dansa wa Diamond Moses Iyobo amedaiwa kuanza kurithi mali za mume wa Msanii Aunty Ezekiel, Sunday Demonte Ambaye yupo Gerezani nchini Abu Dhabi akitumikia kifungo cha Miaka Kumi .
Mali anazodaiwa kurithi Iyobo ni pamoja na nguo anazodaiwa kuonekana nazo mitaani na kwenye Show za Diamond..Chanzo cha ndani cha gazeti hilo kinasema nguo hizo ni zile alizokwenda kuzichukua Aunty ezekiel nyumbani kwake nchini Dubai siku chache baada ya Demonte kusekwa Jela..
"Kuna...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXrxYlRDPwAfv-dpFZWv8jaY8TnX*FusTNmHBa9zmfu0YEunnRJfnylDVnajmi3sMTBkO0w3qZCPfae*TxwTuBUD/BabyJ.jpg)
BABY J YUPO KWENYE NDOA MIAKA 2 BILA MTOTO!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUR8Bh3sRv8Vu1gvIdsxL4IpBqqnx*BmbNXRXVka8NFtf94OaztN95NJssx5Xkof4lto49UxhuXTsCowRC3oGa*2/aunty.jpg?width=650)
MUME JELA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E-86ibUWW6E/VaElR8-KhZI/AAAAAAAHo2o/sPDoi-_3VsY/s72-c/20150711071224.jpg)
NEWS UPDATES: NEC YA CCM Inapiga kura sasa kupata tatu bora. Saa tatu usiku mkutano unakaa kuamua jina moja
![](http://3.bp.blogspot.com/-E-86ibUWW6E/VaElR8-KhZI/AAAAAAAHo2o/sPDoi-_3VsY/s640/20150711071224.jpg)
9 years ago
Bongo515 Oct
Mcheza kikapu na mume wa zamani wa mdogo wake Kim Kardashian yupo hoi na hajitambui kwa kuzidisha dawa za kulevya
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Coip7hBoo2e1jhD0LPcTw9hpoYuuQmy0AfFgoqQ-sqyqRrZRHVXa6xL1eWpyJMXtB-mAvzjxICtHfCiigOBz7Oou/ORIGINALKOPA.jpg)
KHADIJA KOPA SASA YUPO TAYARI KUOLEWA TENA
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Prof Mwandosya; Mwaka 2005 nilikuwa wa tatu mwaka huu ikulu zamu yangu, ataka wagombea wenzake wasiogope kuelezwa maovu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-UejVb5EwXPc/VYK19eciPLI/AAAAAAAB-B4/IWFAAe2Djhg/s640/blogger-image--442025607.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-oK4C43J87l0/VYK2GdT1urI/AAAAAAAB-CA/8LsqPxinRpE/s640/blogger-image-685183973.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-npatPrWyp9U/VYK3Q-yu3mI/AAAAAAAB-CI/eQGm0xPwytU/s640/blogger-image--1073419117.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Nak95vAOQ0A/VYK3hOgN1NI/AAAAAAAB-CQ/eevKioi1ZOI/s640/blogger-image-959981763.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hf9TZ07wfEs/VYK3ovrYg8I/AAAAAAAB-CY/ykmqWdvwPYA/s640/blogger-image--1313195988.jpg)
10 years ago
CloudsFM11 Nov
Amini alivyoagwa jana THT na sasa yupo chini ya kampuni nyingine inaitwa BME
Amini akiwa na mkewe na Mwinjaku.
Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akizungumza na waandishi wa habari wakati wa sherehe ya kumuaga msanii Amin Mwinyimkuu THT na sasa amepata kmapuni nyingine iitwayo BME.
Msanii Linnah akizungumza kwenye sherehe hiyo ya kumuaga Amin.
Linnah kwenye red carpet.
Amin kwenye red carpet.
Meninah anye alikuwepo.
Mwasiti akizungumza kwenye sherehe hiyo.
Amini akiwa na mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/agg6MtdmQC0hLg2pPh*5r1JAdVPGbAkYZgGWzY5647yLXh9-vHh8wcweiOs32e2H8MBF912hr8nAxceu9l6uIqFd6JxbmFhg/nay.jpg)
NAY ATANGAZA MALI ZAKE, YAMO MAJUMBA, MAGARI, ASEMA KWA SASA YUPO SINGLE