Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHADIJA KOPA SASA YUPO TAYARI KUOLEWA TENA

Mwandishi wetu Kutoka moyoni! Malkia wa Mipasho Afrika Mashariki na Kati, Khadija Omary Kopa ‘Da’ Khadija’ amefunguka la moyoni kwamba sasa yupo tayari kuolewa tena iwapo atatokea mwanaume mwenye vigezo anavyovihitaji..  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1NcDKNB

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Khadija Kopa: Natamani kuolewa tena

Malkia wa mipasho Tanzania, Khadija Kopa amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa tena baada ya kumpoteza mume wake aliyefariki miaka miwili iliyopita. Alipoulizwa kwenye kipindi cha Sporah kama bado ana mpango wa kuolewa tena baada ya kufiwa na mume wake alisema, yeye kama binadamu maisha ni lazima yaendelee na anatamani apate mume mwingine wa kumuoa. […]

 

10 years ago

Mtanzania

Khadija Kopa: Waimba taarabu wa sasa wamejaa woga na chuki

NA FESTO POLEA
MWIMBAJI wa Taarabu, Khadija Kopa (Malikia Khadija Kopa) ameweka wazi kwamba waimbaji wa taarabu wa siku hizi wanaongozwa na wivu, woga na chuki, ndiyo maana taarabu inaonekana kufa.
Khadija Kopa alisema hayo jana, alipotembelea ofisi za New Habari (2006) Ltd, Sinza Kijiweni, inayochapisha magazeti ya Bingwa, Dimba, Mtanzania, The African na Rai.
“Wasanii wa taarabu wa sasa wanajenga sana chuki, tofauti na sisi wa zamani tulikuwa tunatengeneza biashara kutokana na ushindani...

 

9 years ago

Bongo5

Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena

Z Anto na Babu TaleBaada ya meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale kutangaza kutamani kufanya kazi na Z Anto, msanii huyo naye amesema yupo tayari kurudi kundini. Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, Z Anto amesema ana uwezo wa kufanya kazi na Tip Top Connection kama wataafikiana. “Mimi sina tatizo na Tale na hatujawahi kukoseana […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Kumekucha Tena Tuzo Kubwa za Nyuka Zipo Tayari Sasa!

TUZO kubwa zijulikanazo kwa jina la NYUKA FILM AWARDS zipo tayari kwa ajili ya kutolewa kwa wanatasnia ya filamu Swahilihood hivi karibuni mwezi huu wa saba mwisho, ni tuzo zilizolenga kutambua mchango wa filamu zinazotumia Lugha ya Kiswahili katika kukitangaza na kuunganisha mataifa.

Filamu iliyorekodiwa na kutumia Lugha ya Kiswahili inahusika kushirika na kuchukua tuzo zilizoandaliwa zaidi ya miaka mitatu kuanzia kufanya utafiti katika kujenga tuzo zenye hadhi na heshima Barani Afrika,...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-9

ILIPOISHIA..
Mbele yake kasimama mwanaume wa Kipemba, yupo hapo kwa kuwa alikuwa akihitaji kuwa mpenzi wake na mwisho wa siku amuoe. Kwa Khadija, kumkubalia mwanaume kwa wakati huo ilikuwa ngumu kwani bado alikuwa na ndoto za kufika mbali kimuziki.
ENDELEA... Malkia wa mziki wa  taarabu, Khadija Omary kopa “Si kwamba ninaogopa, bado kuna mengi ninatakiwa kuyafanya,” nilimwambia.
“Kwani nikikuoa...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA -6

ILIPOSHIA
“Kuna nini? aliniuliza huku akionekana kutokuelewa chochote.
“Nimefaulu mtihani”.“Unasemaje?”“Nimefaulu mtihani bibi,” nilimwambia kwa furaha, bibi akaonekana kuwa na furaha zaidi yangu. Sasa nikamsubiria mama naye nilitaka kumpa taarifa hiyo.ENDELEA.. Malkia wa mipasho bongo, Khadija Kopa Nakumbuka siku hiyo nilikuwa na presha kubwa, nilikuwa nikimsubiria mama kwa shauku...

 

11 years ago

GPL

MBOTO APAGAWISHWA NA KHADIJA KOPA

Stori: Musa Mateja KOMEDIANI maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ alijikuta akipagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa kiasi cha kushindwa kujizuia na kupanda jukwaani kuungana na wacheza shoo wake. Komedian maarufu Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ akiwa jukwaani mara baada ya kupagawishwa vilivyo na shoo ya Malkia wa Taarab Bongo, Khadija Kopa. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA

BAADA ya wiki iliyopita kumaliza simulizi tamu ya mwimba Injili mahiri nchini, Bahati Bukuku, wiki hii tunaye malkia wa mipasho Bongo. Si mwingine bali ni Hadija Omar Kopa. Kopa alizaliwa mwaka 1963, Unguja, Zanzibar. Maisha yake yalikuwa ya kawaida sana. Kwa sehemu kubwa alilelewa na bibi yake mzaa mama, aitwaye Biubwa Juma. Katika simulizi hii, Kopa anaanza kusimulia siku alipoanza daraza la kwanza. Malkia wa mipasho Bongo,...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI TAMU YA KHADIJA KOPA-3

MAPENZI YA MAMA YAMTESA, MWENYEWE AMTOROKA
ILIPOISHIA
Khadija Kopa aliishia pale aliposema kwamba katika kipindi hicho ndicho alipogundua kwamba mbali na ukimya wake, uoga wake lakini Mungu alikuwa amempa kipaji cha uimbaji. Hivyo aliamini kwamba kingeweza kumsaidia katika maisha yake ya baadaye. Malkia wa miondoko ya taarabu, Bi Khadija Omari Kopa. ENDELEA... Nilipofika darasa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani