Amini alivyoagwa jana THT na sasa yupo chini ya kampuni nyingine inaitwa BME
Amini akiwa na mkewe na Mwinjaku.
Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akizungumza na waandishi wa habari wakati wa sherehe ya kumuaga msanii Amin Mwinyimkuu THT na sasa amepata kmapuni nyingine iitwayo BME.
Msanii Linnah akizungumza kwenye sherehe hiyo ya kumuaga Amin.
Linnah kwenye red carpet.
Amin kwenye red carpet.
Meninah anye alikuwepo.
Mwasiti akizungumza kwenye sherehe hiyo.
Amini akiwa na mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM13 Nov
KAMPUNI YA BME IMEWEKEZA ZAIDI YA MILIONI 40 KWENYE MUZIKI WA AMINI
Hivi karibuni msanii wa Bongo Flava, Amini aliagwa rasmi na nyumba ya kukuza vipaji ya T.H.T ambako alikuwepo kwa zaidi ya miaka 10, kuanzia kufundishwa muziki hadi akaanza kutengeza pesa kupitia ngoma na album alizowahi kuachia.
11 years ago
Bongo517 Jul
Picha: Linah alivyoagwa rasmi na THT na kuzindua video yake
10 years ago
GPLAMINI AJIONDOA THT, AAGWA KWA NDEREMO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ffWSpIXdNhI/VK6bC6-1PGI/AAAAAAAAA2I/VtCBHi1DtQU/s72-c/Sugu9.jpg)
9 years ago
Bongo530 Oct
Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena
![Z Anto na Babu Tale](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-Anto-na-Babu-Tale-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo530 Nov
Amini: Sitokaa kimya tena kuanzia sasa
![Amini Cover Furaha](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Amini-Cover-Furaha1-300x194.jpg)
Amini amewahakikisha mashabiki wake kuwa hatokaa tena kimya kama zamani kuanzia sasa.
Hivi karibuni aliachia wimbo wake mpya uitwao Furaha.
“Unajua nashukuru kwanza mashabiki wangu wamepokea vizuri huu ujio wangu na nimefanya interview ile siku ambayo wimbo umetoka mikoa 23 ya Tanzania. Huko nyuma haikuwahi kutokea kwangu. Hii inaonyesha jinsi gani sasa hivi muziki umekuwa. Na sasa hivi nawaahidi mashabiki wangu kuwa sitokaa kimya sana. Itakuwa ni ngoma juu ya ngoma tu,” Amini ameiambia...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Coip7hBoo2e1jhD0LPcTw9hpoYuuQmy0AfFgoqQ-sqyqRrZRHVXa6xL1eWpyJMXtB-mAvzjxICtHfCiigOBz7Oou/ORIGINALKOPA.jpg)
KHADIJA KOPA SASA YUPO TAYARI KUOLEWA TENA
9 years ago
Bongo527 Nov
Mume wa Baby J yupo jela mwaka wa tatu sasa
![11910514_1643281142605929_1772135023_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11910514_1643281142605929_1772135023_n1-300x194.jpg)
Muimbaji kutoka visiwani Zanzibar, Baby J, amesema mume wake wa ndoa bado yupo jela mwaka wa tatu sasa.
Baby ameiambia Bongo5 kuwa mume wake alishikwa nchini Marekani ikiwa ni siku chache tu baada ya kufunga ndoa.
“Kweli niliolewa bahati nzuri au mbaya sikubahatika kukaa na mume wangu,” amesema. “Baada ya kuwa katika mazingira ya kuolewa ndani ya siku nne mume wangu akapata matatizo kule Marekani, akawa yupo jela. Kwahiyo bado yupo jela mwaka watatu huu, bado yupo kwenye matatizo.”
Jiunge...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mHdm4GoDeVI/VWByekXv9sI/AAAAAAAAuRE/irzrWv6prgU/s72-c/lemutu.jpg)
Lemutuz: Aliyevuruga Matokeo ya Jana Tuzo za Watu Yupo Busy Pia Kuvuruga Matokeo ya KTMA, Nitamtaja Laivu
![](http://4.bp.blogspot.com/-mHdm4GoDeVI/VWByekXv9sI/AAAAAAAAuRE/irzrWv6prgU/s640/lemutu.jpg)
lemutuz_nation 'Well, huwa ninaongea na FACTS with EVIDENCE toka jana Usiku nimesema I smell fish kama nilivyo smell Fishy kwenye matokeo ya Miss Tanzania ya Mwaka jana kuna wajinga akili ndogo walioanza kunirushia matusi LE AKILI KUBWAZZZZ now ninasema jana HAKI HAIKUTENDEKA kuna wanaojaribu kuninyamazisha na matusi...great ninarudia tena sikuenda Shule kuwa mjinga so toka jana niliingia kwenye uchunguzi wa FACTS and EVIDENCE of WHO IS BEHIND LAST NIGHT MESS tayari nimeshaanza kupata...