Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amini alivyoagwa jana THT na sasa yupo chini ya kampuni nyingine inaitwa BME

Amini akiwa na mkewe na Mwinjaku.Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akizungumza na waandishi wa habari wakati wa sherehe ya kumuaga msanii Amin Mwinyimkuu THT na sasa amepata kmapuni nyingine iitwayo BME.Msanii Linnah akizungumza kwenye sherehe hiyo ya kumuaga Amin. Linnah kwenye red carpet.Amin kwenye red carpet.Meninah anye alikuwepo.Mwasiti akizungumza kwenye sherehe hiyo.Amini akiwa na mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

KAMPUNI YA BME IMEWEKEZA ZAIDI YA MILIONI 40 KWENYE MUZIKI WA AMINI

Hivi karibuni msanii wa Bongo Flava, Amini aliagwa rasmi na nyumba ya kukuza vipaji ya T.H.T ambako alikuwepo kwa zaidi ya miaka 10, kuanzia kufundishwa muziki hadi akaanza kutengeza pesa kupitia ngoma na album alizowahi kuachia.

Amini aliagwa T.H.T baada ya kupata mkataba wa kibiashara na kampuni ya BME,Clouds Fm imepiga stori na mkurugenzi wa kampuni hiyo amefunguka malengo ya BME kwa Amini na na kwamba kampuni hiyo imewekeza zaidi ya mill.40 kwenye muziki wa msanii huyo.

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Linah alivyoagwa rasmi na THT na kuzindua video yake

Jana July 16 ilikuwa ni siku muhimu sana kwa Msanii Linah Sanga ambaye aliungana na wadau mbalimbali wa burudani waliokusanyika katika ofisi za Tanzania House of Talent (THT) kupata futari, na baada ya hapo THT ilitumia nafasi hiyo kumuaga rasmi Linah ambaye amepata uongozi mpya unaoitwa No Fake Zone Entertainment. Linah pia alizindua video na […]

 

10 years ago

GPL

AMINI AJIONDOA THT, AAGWA KWA NDEREMO

Amini Mwinyimkuu akiongea mbele ya wageni waalikwa na waandishi wa habari kwenye sherehe hiyo ya kuagwa. Mkurugenzi wa THT, Ruge Mutahaba (kushoto), akipokea tuzo ya shukurani kutoka kwa Amini.…

 

9 years ago

Bongo5

Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena

Z Anto na Babu TaleBaada ya meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale kutangaza kutamani kufanya kazi na Z Anto, msanii huyo naye amesema yupo tayari kurudi kundini. Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, Z Anto amesema ana uwezo wa kufanya kazi na Tip Top Connection kama wataafikiana. “Mimi sina tatizo na Tale na hatujawahi kukoseana […]

 

9 years ago

Bongo5

Amini: Sitokaa kimya tena kuanzia sasa

Amini Cover Furaha

Amini amewahakikisha mashabiki wake kuwa hatokaa tena kimya kama zamani kuanzia sasa.

Amini Cover Furaha

Hivi karibuni aliachia wimbo wake mpya uitwao Furaha.

“Unajua nashukuru kwanza mashabiki wangu wamepokea vizuri huu ujio wangu na nimefanya interview ile siku ambayo wimbo umetoka mikoa 23 ya Tanzania. Huko nyuma haikuwahi kutokea kwangu. Hii inaonyesha jinsi gani sasa hivi muziki umekuwa. Na sasa hivi nawaahidi mashabiki wangu kuwa sitokaa kimya sana. Itakuwa ni ngoma juu ya ngoma tu,” Amini ameiambia...

 

9 years ago

GPL

KHADIJA KOPA SASA YUPO TAYARI KUOLEWA TENA

Mwandishi wetu Kutoka moyoni! Malkia wa Mipasho Afrika Mashariki na Kati, Khadija Omary Kopa ‘Da’ Khadija’ amefunguka la moyoni kwamba sasa yupo tayari kuolewa tena iwapo atatokea mwanaume mwenye vigezo anavyovihitaji..  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1NcDKNB

 

9 years ago

Bongo5

Mume wa Baby J yupo jela mwaka wa tatu sasa

11910514_1643281142605929_1772135023_n

Muimbaji kutoka visiwani Zanzibar, Baby J, amesema mume wake wa ndoa bado yupo jela mwaka wa tatu sasa.

11910514_1643281142605929_1772135023_n

Baby ameiambia Bongo5 kuwa mume wake alishikwa nchini Marekani ikiwa ni siku chache tu baada ya kufunga ndoa.

“Kweli niliolewa bahati nzuri au mbaya sikubahatika kukaa na mume wangu,” amesema. “Baada ya kuwa katika mazingira ya kuolewa ndani ya siku nne mume wangu akapata matatizo kule Marekani, akawa yupo jela. Kwahiyo bado yupo jela mwaka watatu huu, bado yupo kwenye matatizo.”

Jiunge...

 

10 years ago

Vijimambo

Lemutuz: Aliyevuruga Matokeo ya Jana Tuzo za Watu Yupo Busy Pia Kuvuruga Matokeo ya KTMA, Nitamtaja Laivu


lemutuz_nation 'Well, huwa ninaongea na FACTS with EVIDENCE toka jana Usiku nimesema I smell fish kama nilivyo smell Fishy kwenye matokeo ya Miss Tanzania ya Mwaka jana kuna wajinga akili ndogo walioanza kunirushia matusi LE AKILI KUBWAZZZZ now ninasema jana HAKI HAIKUTENDEKA kuna wanaojaribu kuninyamazisha na matusi...great ninarudia tena sikuenda Shule kuwa mjinga so toka jana niliingia kwenye uchunguzi wa FACTS and EVIDENCE of WHO IS BEHIND LAST NIGHT MESS tayari nimeshaanza kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani