BAADA YA VWAWA JANA, LEO MH. MBILINYI YUPO MBEYA MJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ffWSpIXdNhI/VK6bC6-1PGI/AAAAAAAAA2I/VtCBHi1DtQU/s72-c/Sugu9.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NgTYX_b80jw/VK6S3s2eHqI/AAAAAAAAA1Q/vSwXWPSuaLQ/s72-c/Sugu7.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Y0UBN_fP77M/VOfvQSqS1eI/AAAAAAAABFE/_KtMVh0rLcE/s72-c/Mbowe%2C%2BSugu%2BMwalimu.jpg)
10 years ago
Bongo Movies26 Jun
Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Atoa Maelezo Yake binafsi Bungeni Baada ya Ishu ya Faiza Ally na Mtoto Wao kuzungumzwa Hapo Jana
Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.
Ombi likapokelewa kwenye meza ya Naibu Spika leo June 26 2015 >>>”Nimepokea ombi maalum la kuwasilisha maombi binafsi kutoka kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-5gFnkvzRgeg/VK77P8hl9oI/AAAAAAAAA2w/XlbhWoMdFkU/s72-c/Sugu%2BMsigwa1.jpg)
PICHA ZAIDI: KILICHOJILI MBEYA LEO: NI PROF. JAY, MAKAMU MWENYEKITI BAVICHA TAIFA, MH. MSIGWA NA MBILINYI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5gFnkvzRgeg/VK77P8hl9oI/AAAAAAAAA2w/XlbhWoMdFkU/s1600/Sugu%2BMsigwa1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-twW5MwcrMRY/VK77P8K4XjI/AAAAAAAAA2o/x-FfmWlVlu0/s1600/Sugu%2BMsigwa2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pp2os4eOZhw/VK77Qct0iuI/AAAAAAAAA20/HVc6Y9mlbeg/s1600/Sugu%2BMsigwa3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EKLuFGJ_dRE/VK77QsTsFtI/AAAAAAAAA3Y/6Dp_S9eFl78/s1600/Sugu%2BMsigwa4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BjoqyjHjopU/VK77Qgw8YLI/AAAAAAAAA24/ezkqhRUOU9M/s1600/Sugu%2BMsigwa5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2I86x4fwPps/VK77Q1NQB5I/AAAAAAAAA3A/vHe7r0gmpI0/s1600/Sugu%2BMsigwa6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WKR4frqv_dY/VK77RQzUsMI/AAAAAAAAA3M/7Pekx2YddFg/s1600/Sugu%2BMsigwa7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cBG8V7Se7UM/VK77Rf_D6YI/AAAAAAAAA3Q/owJo4xni0rY/s1600/Sugu%2BMsigwa8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Huqua4Xd_ZU/VK77R08sKUI/AAAAAAAAA3c/jcF1oP4YfgM/s1600/Sugu%2BMsigwa9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2renKif20sc/VK77P903ipI/AAAAAAAAA2s/4eJ-gQhFOTg/s1600/Sugu%2BMsigwa.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FlrZdkCbMvY/VZMLHklLQxI/AAAAAAAABTo/AOYt6gnlbuA/s72-c/Mapokezi%2BSugu.jpg)
MBEYA KULINDIMA: Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" kupata "Home coming" ya kifalme Mbeya
Mh. Joseph Mbilinyi ameandaliwa mapokezi ya kifalme jijini Mbeya pindi atakapo kuwa anarudi kutoka Bungeni. Baada ya kuwatumikia wakazi wa Mbeya na Tanzania kwa miaka mitano, Mh. Sugu na wanaMbeya wanasema "DAIMA MBELE, MBEYA TUNASONGA.
Mapokezi haya ya kihistoria kuwahi kutokea Tanzania yatakuwa July 12, 2015 saa Saba mchana. Msafara wa mapokezi utaanzia Itewe hadi kuishia viwanja vya Ruanda Nzovwe. Mh. Mbilinyi anatarajiwa kuongozana na viongozi mbalimbali wa kiaifa.
Kwenye mkutano wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s72-c/h1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO WA KAMPENI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI MOROGORO JANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s640/h1.jpg)
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s640/h1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO WA KAMPENI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI MOROGORO JANA
10 years ago
CloudsFM11 Nov
Amini alivyoagwa jana THT na sasa yupo chini ya kampuni nyingine inaitwa BME
Amini akiwa na mkewe na Mwinjaku.
Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akizungumza na waandishi wa habari wakati wa sherehe ya kumuaga msanii Amin Mwinyimkuu THT na sasa amepata kmapuni nyingine iitwayo BME.
Msanii Linnah akizungumza kwenye sherehe hiyo ya kumuaga Amin.
Linnah kwenye red carpet.
Amin kwenye red carpet.
Meninah anye alikuwepo.
Mwasiti akizungumza kwenye sherehe hiyo.
Amini akiwa na mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba.