Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Linah alivyoagwa rasmi na THT na kuzindua video yake

Jana July 16 ilikuwa ni siku muhimu sana kwa Msanii Linah Sanga ambaye aliungana na wadau mbalimbali wa burudani waliokusanyika katika ofisi za Tanzania House of Talent (THT) kupata futari, na baada ya hapo THT ilitumia nafasi hiyo kumuaga rasmi Linah ambaye amepata uongozi mpya unaoitwa No Fake Zone Entertainment. Linah pia alizindua video na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Ruby Band yatambulishwa rasmi na kuzindua video mpya

Bendi mpya ya vijana wanne, Ruby Band, imezinduliwa rasmi jana pamoja na kutambulishwa kwa video ya wimbo wao mpya ‘Noma’ ndani ya ukumbi wa Coco Beach jijini Dar es Salaam. Vijana wa Ruby Band wakifanya yao Akizungumza na waandishi wa habari, msemaji wa bendi hiyo, Deogratius Shija alisema anawaomba wadau na mashabiki wa muziki kuwapokea […]

 

11 years ago

Michuzi

THT YAANDAA HAFLA YA KUMUAGA MSANII LINAH,AZINDUA VIDEO MPYA MBELE YA MASUPASTAA KIBAO JIJINI DAR

  Mkurugenzi wa Tanzania House Of Talent (THT) Ruge Mutahaba akifafanua jambo mbele ya wageni waalikwa mbalimbali wakiwemo  wanahabari,wadau na wasanii wa filamu na muziki,katika hafla ya kumuaga msanii Linah jana Julai 16, 2014 kutoka kwao na kuelekea kampuni ya No Fake Zone (NFZ) ambao ndiyo wanaanza kumsimamia msanii huyo pamoja na kazi zake.Linah pia alizindua video yake mpya chini ya kampuni NFZ iitwayo OLe Themba.MKurugenzi wa Kampuni ya NO FAKE ZONE,Abby akizungumza jambo mbele ...

 

10 years ago

CloudsFM

Amini alivyoagwa jana THT na sasa yupo chini ya kampuni nyingine inaitwa BME

Amini akiwa na mkewe na Mwinjaku.Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akizungumza na waandishi wa habari wakati wa sherehe ya kumuaga msanii Amin Mwinyimkuu THT na sasa amepata kmapuni nyingine iitwayo BME.Msanii Linnah akizungumza kwenye sherehe hiyo ya kumuaga Amin. Linnah kwenye red carpet.Amin kwenye red carpet.Meninah anye alikuwepo.Mwasiti akizungumza kwenye sherehe hiyo.Amini akiwa na mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba.

 

11 years ago

GPL

LINAH: KWAHERI THT

Stori: SHAKOOR jONGO
Mwanamuziki ambaye ni zao la Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’ Estalina Sanga ‘Linah’ ameaga rasmi jumba hilo ambapo inadaiwa kwa sasa atakuwa chini ya Kampuni ya No Fake Zone ‘NFZ’ inayoendesha shughuli zake nchini Afrika Kusini. Mwanamuziki ambaye ni zao la Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’ Estalina Sanga ‘Linah’ Akizungumza na Ijumaa msemaji wa...

 

11 years ago

TheCitizen

COVER: Linah: The time was right to leave THT

>In 2009 when she was unveiled at the Tanzania House of Talent (THT) there was a consensus among the industry pundits that a diva had been discovered.

 

10 years ago

Bongo5

Adam Mchomvu kuzindua video yake mpya Jumapili hii Club Bilz

Mtangazaji mahiri wa kipindi cha XXL na Bongo Flava vya Clouds FM ambaye pia ni rapper, Adam Mchomvu atazindua video ya wimbo wake mpya uitwao ‘Tiririka’ Jumapili hii. Uzinduzi huo utafanyika kama sehemu ya tamasha la ‘Vitu Fulani Amazing’ Club Bilz zamani Billicanas jijini Dar. Mchomvu atasindikizwa na wasanii kibao wakiwemo Joh Makini, Nick wa […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Miaka 10 ya THT yaadhimishwa kwa kishindo Escape One

Tanzania House of Talent, THT, imeadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake. Kilele cha maadhimisho hayo kililifanyika pale Escape One kwa show kali ya live. Zaidi ya wasanii wa THT, wasanii waliotumbuiza ni pamoja na Mwana FA,Ali Kiba,Bushoke,Weusi,Mrisho Mpoto,Fid Q na wengine. Tazama picha zaidi hapo chini.

 

11 years ago

Bongo5

Picha: AY aanza kushoot video 2 Marekani ikiwemo ya collabo yake na Sean Kingston

AY yuko nchini Marekani ambako ameenda kushoot video mbili kama alivyoahidi hivi karibuni wakati anaachia wimbo wake mpya ‘It’s Going Down’ aliowashirikisha Ms Triniti na Lamyia. Mzee wa Commercial ameshare picha Instagram akiwa location na msanii Mjamaica-Mmarekani Sean Kingston na kuandika: “Bongo Flava we’ve arrived to Hollywood Hills…I’ll tell u later what m doin here […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani