Picha: AY aanza kushoot video 2 Marekani ikiwemo ya collabo yake na Sean Kingston
AY yuko nchini Marekani ambako ameenda kushoot video mbili kama alivyoahidi hivi karibuni wakati anaachia wimbo wake mpya ‘It’s Going Down’ aliowashirikisha Ms Triniti na Lamyia. Mzee wa Commercial ameshare picha Instagram akiwa location na msanii Mjamaica-Mmarekani Sean Kingston na kuandika: “Bongo Flava we’ve arrived to Hollywood Hills…I’ll tell u later what m doin here […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo524 Nov
Picha: Mayunga akamilisha collabo yake na Akon na kushoot video siku moja, amtumia model wa Chris Brown
![Mayunga na Akon](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mayunga-na-Akon-300x194.jpg)
Kazi iliyompeleka mshindi wa Airtel Trace Music Star, Mayunga Nalimi nchini Marekani, ya kufanya collabo na boss wa label ya Konvict Music, Akon imekamilika.
Mayunga ameelezea jinsi kazi hiyo ilivyofanyika kwa siku moja, kuanzia kupewa wimbo kuushika, kurekodi na kushoot video vyote ndani ya saa 24.
“Nilikua nina siku moja tu yakushika kila kitu kwenye wimbo niliopewa” Mayunga ameiambia TeamTz “Kwahiyo ilinibidi nijitume ili niufahamu vizuri wimbo ili nifanye kitu kizuri hata bwana Akon...
10 years ago
Bongo516 Oct
Video: Hawa ndio New Boyz, waliompa shavu AY kwenye video yake na Sean Kingston
10 years ago
GPL10 Dec
10 years ago
Bongo521 Oct
Picha: AY kushoot video ya pili leo nchini Marekani
10 years ago
Bongo506 Oct
AY asema mama yake na Sean Kingston humchukulia kama mwanae,’ hata kwenye Instagram yangu ana comment’
10 years ago
Bongo504 Feb
Diamond kuachia nyimbo 4 mfululizo kabla ya March, ikiwemo collabo yake na Fally Ipupa
9 years ago
Bongo516 Sep
Music: Sean Kingston — Wait Up
9 years ago
Bongo527 Nov
Mafikizolo na Diamond kushoot video ya collabo yao December 10
![4X7A0037](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/4X7A0037-300x194.jpg)
Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limethibitisha kuwa video ya wimbo waliomshirikisha Diamond itafanyika December 10 mwaka huu.
Taarifa hiyo imetolewa na member wa kundi hilo, Nhlanhla Nciza kupitia Instagram baada ya kumjibu shabiki wa Diamond aliyeuliza sababu ya kuchelewa kwa wimbo huo.
“We are shooting a video with @diamondplatnumz on the 10th of December boss we know you guys have been waiting, one love.”
Wimbo huo ulifanyika mwaka jana.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge...
10 years ago
Michuzi25 Nov