Picha: AY kushoot video ya pili leo nchini Marekani
Baada ya kushoot video ya kwanza nchini Marekani ya wimbo aliomshirikisha Sean Kingston, leo rapper AY anashoot video ya pili. AY amesema video anayoshoot leo ni ya wimbo wake ‘It’s Goig Down’ aliowashirikisha Ms Triniti na Lamyia Good. “Na-shoot ‘It’s Goin Down’ leo kila kitu kinaenda sawa na director ni Tim Burton and Chris Mckehnie,” […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo514 Oct
Picha: AY aanza kushoot video 2 Marekani ikiwemo ya collabo yake na Sean Kingston
10 years ago
Bongo509 Oct
Picha: Fid Q na Young Killer waingia mtaani kushoot video ya ‘13’ muongozaji ni..
9 years ago
Bongo504 Dec
Picha: Diamond amleta Godfather Dar kushoot video zake ‘kimya kimya’
![12298834_430293703831416_1645961294_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12298834_430293703831416_1645961294_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameamua kumleta muongozaji wa video zake, Mike Ogoke maarufu kama Godfather na timu yake kuja kufanya video zake jijini Dar es Salaam.
Diamond akiwa na msaidizi wa Godfather, Mike Dube jijini Dar
Muongozaji huyo na timu yake ipo jijini Dar kwa siku ya tano tayari na siku zote hizo imekuwa ikifanya kazi. Ofcourse Diamond na Godfather hawajasema chochote kuhusiana na hilo lakini msaidizi wake Mike Dube ameumwaga ubuyu.
Kwenye Instagram, Dube amepost picha ya pontoni la...
9 years ago
Bongo524 Nov
Picha: Mayunga akamilisha collabo yake na Akon na kushoot video siku moja, amtumia model wa Chris Brown
![Mayunga na Akon](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mayunga-na-Akon-300x194.jpg)
Kazi iliyompeleka mshindi wa Airtel Trace Music Star, Mayunga Nalimi nchini Marekani, ya kufanya collabo na boss wa label ya Konvict Music, Akon imekamilika.
Mayunga ameelezea jinsi kazi hiyo ilivyofanyika kwa siku moja, kuanzia kupewa wimbo kuushika, kurekodi na kushoot video vyote ndani ya saa 24.
“Nilikua nina siku moja tu yakushika kila kitu kwenye wimbo niliopewa” Mayunga ameiambia TeamTz “Kwahiyo ilinibidi nijitume ili niufahamu vizuri wimbo ili nifanye kitu kizuri hata bwana Akon...
10 years ago
Bongo Movies25 Feb
PICHA: Yusuph Mlela na Esha Buheti Wakiwa Nchini Marekani
Hizi ni baadhi ya picha za waigizaji Yusuph Mlela na Esha Buheti wakiwa nchini Marekani ambako wamekwenda kufanya kazi (Filamu) wakiwa chini ya kampuni ya Didas Entertainment ambayo kampuni inajihusisha maswala ya filamu na burudani kwa ujumla.
Tunawatakia kazi njema.
10 years ago
Bongo520 Sep
Picha: Cassim Mganga atoa burudani ubalozi wa Tanzania nchini Marekani
10 years ago
Vijimambo23 Feb
PICHA ZA MAZISHI YA BABA YAKE ELVIS NA SALOME WANAOISHI NCHINI MAREKANI
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/11011640_10153086645692370_7349177993436697334_n.jpg?oh=915a23dff059349fdadb3a445769bfd3&oe=558AB5B5&__gda__=1431142858_9ae880823545ec375479a26c5581d713)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10981962_10153086645242370_6471912667187414922_n.jpg?oh=60039c7452e211101a1f4b09f17c02b1&oe=5593AEAB)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10995786_10153086645462370_8106733769173163468_n.jpg?oh=53681854fbc8b5ea3b0b1e125ca9f980&oe=5595E8E2)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/10999442_10153086645342370_7379930275247631152_n.jpg?oh=be9e6975a41a1614c1c4e684d9e244c9&oe=559431E2&__gda__=1431482269_14a8af16fc419160eeba26cd5c81a4c3)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10993494_10153086646622370_7105540601573884068_n.jpg?oh=6275196a66acec4e3b82a7bc8c91b81f&oe=558392B4)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10995665_10153086646352370_1996776579259628425_n.jpg?oh=74fb6c9b1fb5b5dc3fdd3974ed5ead05&oe=55813E34)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/l/t1.0-9/10923282_10153086646237370_603330942838640383_n.jpg?oh=b3e3001a26869344196ece6b113e016e&oe=558FD586)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/1234106_10153086645862370_7212035584784285721_n.jpg?oh=4265844a75e61831e8348e8043343ea4&oe=5548E5CB)
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Mitihani kidato cha pili yaanza leo nchini
9 years ago
Bongo502 Oct
Picha: Watu 9 wauawa kwa kupigwa risasi kwenye chuo nchini Marekani