Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUME JELA...

Stori: Mwandishi Wetu
MASKINI wee! Habari za mjini zinadai kuwa, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel yuko Dubai akiponda raha huku mumewe, Sunday Demonte akidaiwa kuwa jela jijini Abu Dhabi katika nchi za Falme za Kiarabu (UAE). Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akiponda raha. Awali, ilidaiwa kuwa, Aunt aliondoka  Bongo kwenda Dubai kuungana na mumewe katika ndoa, lakini vyanzo vya karibu vikahoji mumewe yupi? Mbona yuko...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mume wa Baby J yupo jela mwaka wa tatu sasa

11910514_1643281142605929_1772135023_n

Muimbaji kutoka visiwani Zanzibar, Baby J, amesema mume wake wa ndoa bado yupo jela mwaka wa tatu sasa.

11910514_1643281142605929_1772135023_n

Baby ameiambia Bongo5 kuwa mume wake alishikwa nchini Marekani ikiwa ni siku chache tu baada ya kufunga ndoa.

“Kweli niliolewa bahati nzuri au mbaya sikubahatika kukaa na mume wangu,” amesema. “Baada ya kuwa katika mazingira ya kuolewa ndani ya siku nne mume wangu akapata matatizo kule Marekani, akawa yupo jela. Kwahiyo bado yupo jela mwaka watatu huu, bado yupo kwenye matatizo.”

Jiunge...

 

10 years ago

Bongo Movies

Iyobo Aonekana Mtaani na Nguo za Mume wa Aunty Ezekiel Amabae Yupo Jela

Gazeti la Kiu limetoboa kuwa Dansa wa Diamond Moses Iyobo amedaiwa kuanza kurithi mali za mume wa Msanii Aunty Ezekiel, Sunday Demonte Ambaye yupo Gerezani nchini Abu Dhabi akitumikia kifungo cha Miaka Kumi .

Mali anazodaiwa kurithi Iyobo ni pamoja na nguo anazodaiwa kuonekana nazo mitaani na kwenye Show za Diamond..Chanzo cha ndani cha gazeti hilo kinasema nguo hizo ni zile alizokwenda kuzichukua Aunty ezekiel nyumbani kwake nchini Dubai siku chache baada ya Demonte kusekwa Jela..

"Kuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani