NEWS UPDATES: NEC YA CCM Inapiga kura sasa kupata tatu bora. Saa tatu usiku mkutano unakaa kuamua jina moja
![](http://3.bp.blogspot.com/-E-86ibUWW6E/VaElR8-KhZI/AAAAAAAHo2o/sPDoi-_3VsY/s72-c/20150711071224.jpg)
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari jioni hii juu ya kilichofanyika kwenye Mkutano wa Hamlashauri Kuu ya CCM, ambapo amesema kuwa sasa NEC inapiga kura kupata majina matatu yatakayopelekwa kwenye Mkutano Mkuu unaotarajiwa kufanyika Usiku wa leo majira ya saa tatu, kwenye Ukumbi wa Dodoma Convition Centre.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-sWCCJH4F-S8/VaEwm588SfI/AAAAAAAAhBQ/Kbcryg1jeBY/s72-c/1.jpg)
MKUTANO MKUU WA CCM KUFANYIKA LEO SAA TATU USIKU
![](http://3.bp.blogspot.com/-sWCCJH4F-S8/VaEwm588SfI/AAAAAAAAhBQ/Kbcryg1jeBY/s640/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-Z9957LAdp5A/VaECB6jZChI/AAAAAAAAwbc/S3m4Q6YZe2M/s640/1.jpg)
URAIS CCM: JK AONGOZA KIKAO CHA NEC LEO KUCHAGUA TATU BORA WATAKAOPELEKWA MKUTANO MKUU
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasalimia wajumbe baada ya kuwasili ukumbini kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, leo katika Ukumbi wa jengo la White House mjini Dodoma. Kikao hicho ni cha kuchagua wagombea watatu kati ya watano waliopitishwa na Kikao Cha Kamati Kuu ya CCM kwa ajili ya kuwania kugombea Urais kwa tiketi ya CCM. Watatu watakaopatikana leo, watapelekwa kuigiwa kura katika Mkutano Mkuu wa CCM...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XEIdhPPZLm0/VaBGzpPMWSI/AAAAAAAHolE/vpEifNQuadY/s72-c/MMGL0534%2Bcopy.jpg)
NEWS UPDATES KUTOKA CCM DODOMA USIKU HUU: USIRI WATAWALA TANO BORA YA WAGOMEA WA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-XEIdhPPZLm0/VaBGzpPMWSI/AAAAAAAHolE/vpEifNQuadY/s640/MMGL0534%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-z4Uq9w0zHLs/VaBGzn6DqgI/AAAAAAAHolI/Nu6JVNE1TzU/s640/MMGL0557%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-A4cH7mxufzM/VaBGuZJB5HI/AAAAAAAHok8/CYZljJxlGHo/s640/IMG_8016%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z9957LAdp5A/VaECB6jZChI/AAAAAAAAwbc/S3m4Q6YZe2M/s72-c/1.jpg)
JK AONGOZA KIKAO CHA NEC LEO KUCHAGUA TATU BORA WATAKAOPELEKWA MKUTANO MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z9957LAdp5A/VaECB6jZChI/AAAAAAAAwbc/S3m4Q6YZe2M/s640/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/W-BK82a1GsuPmXwWvXnJN5KAm5VtXV5WmFaosWeG2OHkE8lj*z7HRCh3WSwLHXYswTYiJdLIvGPjeZciHwvyJO2dLdBmo0mP/13.gif)
TATU BORA ILIYOPITISHWA NA NEC
KIKAO cha Halmashauri Kuu YA Taifa (NEC) kimekamilika na kufanikiwa kuwateua wagombea wake 3 ambao ni: 1) John Magufuli 2) Asharose Migoro 3) Amina Salum Ali. Hatua inayofuata ni majina ya wagombea hawa kuwasilishwa Mkutano Mkuu WA Taifa ili kupata jina moja (1) la mgombea Urais 2015.Â
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El9sVoSdJRP6iJ98-TzeULWrxL8UL2TcgbadIY8PzYF4ummk0gNH7u2*OCNk04NtP*vyyNRFLr22yvWfoBv2IRzC/IMG20150212WA0004.jpg?width=750)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1FysBgCk9zA/Vf6o178sZeI/AAAAAAAH6T8/xy_mX5wK1fQ/s72-c/unnamed.png)
KWETU HOUSE- WASHIRIKI 6 KUYAAGA MASHINDANO USIKU HUU USIKOSE KUANGALIA KWETU HOUSE AZAM TV (TWO) SAA TATU NA NUSU USIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-1FysBgCk9zA/Vf6o178sZeI/AAAAAAAH6T8/xy_mX5wK1fQ/s640/unnamed.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mxD05baKTG4/VZ-QTP2j41I/AAAAAAAAwXI/5wCH8PjIFh8/s72-c/1a.jpg)
URAIS CCM: TANO NA TATU BORA KUPATIKANA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-mxD05baKTG4/VZ-QTP2j41I/AAAAAAAAwXI/5wCH8PjIFh8/s640/1a.jpg)
Baadhi ya waandishi wa habari waliopo mjini Dodoma, wakiirusha taarifa hiyo baada ya kuipata, leo.
Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ametoa ratiba ya Vikao kwa siku ya leo tarehe 10/7/2015.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Nape amesema, kuanzia Saa 4 hadi saa 7 mchana, kitafanyika kikao cha Usalama na Maadili chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete.
Amesema kuanzia Saa 8 hadi saa12 Jioni ni Kikao cha Kamati Kuu kitakachopitisha majina matano ya wagombea walioomba ridhaa ya...
10 years ago
Michuzi02 Jul
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania