URAIS CCM: JK AONGOZA KIKAO CHA NEC LEO KUCHAGUA TATU BORA WATAKAOPELEKWA MKUTANO MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z9957LAdp5A/VaECB6jZChI/AAAAAAAAwbc/S3m4Q6YZe2M/s640/1.jpg)
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasalimia wajumbe baada ya kuwasili ukumbini kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, leo katika Ukumbi wa jengo la White House mjini Dodoma. Kikao hicho ni cha kuchagua wagombea watatu kati ya watano waliopitishwa na Kikao Cha Kamati Kuu ya CCM kwa ajili ya kuwania kugombea Urais kwa tiketi ya CCM. Watatu watakaopatikana leo, watapelekwa kuigiwa kura katika Mkutano Mkuu wa CCM...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z9957LAdp5A/VaECB6jZChI/AAAAAAAAwbc/S3m4Q6YZe2M/s72-c/1.jpg)
JK AONGOZA KIKAO CHA NEC LEO KUCHAGUA TATU BORA WATAKAOPELEKWA MKUTANO MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z9957LAdp5A/VaECB6jZChI/AAAAAAAAwbc/S3m4Q6YZe2M/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s72-c/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s640/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete aongoza kikao cha NEC leo mjini Dodoma
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akipokea shangwe na wajumbe alipowasili katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM White House kuendesha kikao cha Hamlmashauri Kuu (NEC ) ya CCM mjini Dodona leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akiwa ukumbini tayari kuongoza kikao hicho leo.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akishauriana jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kabla ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E-86ibUWW6E/VaElR8-KhZI/AAAAAAAHo2o/sPDoi-_3VsY/s72-c/20150711071224.jpg)
NEWS UPDATES: NEC YA CCM Inapiga kura sasa kupata tatu bora. Saa tatu usiku mkutano unakaa kuamua jina moja
![](http://3.bp.blogspot.com/-E-86ibUWW6E/VaElR8-KhZI/AAAAAAAHo2o/sPDoi-_3VsY/s640/20150711071224.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-78QE5-1fxIY/Uv-EVNr3btI/AAAAAAAAL7Q/lA2OnBoBIDw/s72-c/7.jpg)
JK AONGOZA KIKAO CHA NEC MJINI DODOMA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-78QE5-1fxIY/Uv-EVNr3btI/AAAAAAAAL7Q/lA2OnBoBIDw/s1600/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tXfhs0YH9JM/Uv-EpWL0AEI/AAAAAAAAL7w/opKTkezH_zk/s1600/13.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QGBu2HiTSM8/VD_6ljAbdgI/AAAAAAAGrDw/SR_8ZEhM-uM/s72-c/D92A3052.jpg)
Rais Kikwete aongoza kikao cha NEC Dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-QGBu2HiTSM8/VD_6ljAbdgI/AAAAAAAGrDw/SR_8ZEhM-uM/s1600/D92A3052.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RaUlHTTVyEo/VD_6nI53CkI/AAAAAAAGrD4/tbkl4FMQfqA/s1600/D92A3116.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hmnea7TObzM/VD_6pYSBtVI/AAAAAAAGrEA/NMr880k17CU/s1600/D92A3121.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 May
JK aongoza kikao cha NEC leo tena mjini Dodoma
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, mjini Dodoma leo, May 24, 2015. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. (Picha na Bashir Nkoromo).
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akishauriana jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kabla ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kuanza leo, mjini Dodoma.
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-fm81b5kW3EE/VWGw8imDSkI/AAAAAAAAuO8/cxhVcXFO4N8/s640/9n.jpg?width=640)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC-CCM MJINI DODOMA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mxD05baKTG4/VZ-QTP2j41I/AAAAAAAAwXI/5wCH8PjIFh8/s72-c/1a.jpg)
URAIS CCM: TANO NA TATU BORA KUPATIKANA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-mxD05baKTG4/VZ-QTP2j41I/AAAAAAAAwXI/5wCH8PjIFh8/s640/1a.jpg)
Baadhi ya waandishi wa habari waliopo mjini Dodoma, wakiirusha taarifa hiyo baada ya kuipata, leo.
Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ametoa ratiba ya Vikao kwa siku ya leo tarehe 10/7/2015.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Nape amesema, kuanzia Saa 4 hadi saa 7 mchana, kitafanyika kikao cha Usalama na Maadili chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete.
Amesema kuanzia Saa 8 hadi saa12 Jioni ni Kikao cha Kamati Kuu kitakachopitisha majina matano ya wagombea walioomba ridhaa ya...