Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haya mwaka mpya huo, amkeni sasa

Mwaka ushakatika kaka na dada zangu na kinachofuata ni kukabiliana na huu mpya unaokuja na kiroho safi kabisa, kwa kila anayesoma, kuna haja ya kusahau yaliyopita na kuganga yajayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Adele anafunga mwaka wa 2015 na haya mambo sita: Umaarufu, Album mpya na mengine!

Adele ndiye staa wa muziki anayefunga mwaka wa 2015 kwenye headlines za burudani Marekani na dunia nzima akiwa ameuza zaidi ya nakala milion 5 za single yake mpya ‘Hello’ huku video yake ikiwa imegusa watazamaji milion 700 kwenye mtandao wa YouTUBE! Ujio mpya wa Adele kwenye kurasa za burudani umepokelewa kwa muamko mkubwa sana duniani. […]

The post Adele anafunga mwaka wa 2015 na haya mambo sita: Umaarufu, Album mpya na mengine! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

MWAKA HUO UNAYOYOMA, UNAENDELEA KUISHI KWENYE PENZI LA GIZA?

NAMSHUKURU Mungu kunikutanisha kwa mara nyingine na nyinyi marafiki zangu ambao mmekuwa mkifuatilia makala zangu kipitia safu hii ya Love & Story. Huu ndiyo uwanja wetu wa kupeana mawili matatu yahusuyo masuala ya uhusiano. Kupitia hapa tunaweza kubadilika kama kweli tunaamua kubadilika. Kwenye maisha kila kitu kinahitaji kuweka nia katika jambo fulani, kuliwekea mikakati na hatimaye kulifanikisha.Usikubali kuishi bila kujiwekea...

 

10 years ago

GPL

MWAKA HUO UNAANZA KUSOGEA, UNAENDELEA KUISHI KWENYE PENZI LA GIZA?

WIKI iliyopita tuliianza mada hii ambayo inatufundisha juu ya umuhimu wa kujitambua kupitia makosa tuliyoyapitia, leo tunaimalizia. Hakuna sababu ya kuishi katika penzi ambalo halina muelekeo mzuri wa baadaye kama ulivyoishi mwaka jana, ni bora kujiengua na kusubiri kumpata yule atakayetambua thamani ya penzi lako na kupanga mipango endelevu. Kwa wale tuliokuwa pamoja, tuliishia kwenye kipengele cha TATIZO SUGU. Nilieleza namna...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Raia Mwema

Haya ndiyo yatakayotokea mwaka huu

KWA miaka kadhaa, makala zangu za wiki ya mwanzo wa mwaka huzungumzia matukio mbalimbali yanayota

Evarist Chahali

 

10 years ago

GPL

WEMA, AUNT, YOTE HAYA ILI IWEJE SASA?

MIMI ni Mmatengo, kabila moja kubwa katika mkoa wa Ruvuma, lakini lisilo maarufu, tunapatikana katika wilaya kubwa pia, inaitwa Mbinga. Idadi kubwa ya wamatengo ni wakristo, tena wa madhehebu ya Roman Catholic.
Katika moja ya vitu ambavyo wanakijiji wenzangu wanaviheshimu sana, ni makaburi. Wenyewe wanaita Shamba la Bwana. Ili kuonyesha heshima hiyo, makaburi yamepewa ‘ofa’ ya kujengwa mbali kabisa na makazi ya...

 

10 years ago

GPL

DIMPOZ, KADINDA NDO’ MAMBO GANI HAYA SASA?

OMARY Faraji Nyembo, anayefahamika zaidi kimuziki kama Ommy Dimpoz ni msanii mwenye jina kubwa katika fani, ingawa ni miongoni mwa vijana waliochipukia na kupata umaarufu katika miaka ya hivi karibuni. Amefanya kazi nyingi nzuri na zilizopata kupigwa sana katika vituo vingi vya redio na televisheni, baadhi yake vikiwa ni pamoja na Baadae, Me and You, Ndagushima na Wanjera, kitu kinachomfanya kuwa miongoni mwa wasanii wanaofanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani