MWAKA HUO UNAYOYOMA, UNAENDELEA KUISHI KWENYE PENZI LA GIZA?
![](http://www.medstoreland.com/blog/wp-content/uploads/2014/09/Oh-my-love.jpg?width=650)
NAMSHUKURU Mungu kunikutanisha kwa mara nyingine na nyinyi marafiki zangu ambao mmekuwa mkifuatilia makala zangu kipitia safu hii ya Love & Story. Huu ndiyo uwanja wetu wa kupeana mawili matatu yahusuyo masuala ya uhusiano. Kupitia hapa tunaweza kubadilika kama kweli tunaamua kubadilika. Kwenye maisha kila kitu kinahitaji kuweka nia katika jambo fulani, kuliwekea mikakati na hatimaye kulifanikisha.Usikubali kuishi bila kujiwekea...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5Dj3SAB3-x933J7pd2r3ZsYP-LxzreX2CK6O2Ac7qkP5TF2epk2XFagCKE64hxVKrGma1mdep3FoQtQecgQlLEI/COUPLESEXfacebook.jpg?width=650)
MWAKA HUO UNAANZA KUSOGEA, UNAENDELEA KUISHI KWENYE PENZI LA GIZA?
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Wolper:Mwaka 2015 ni Mwaka wa Kuishi Utakavyo!!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Jackline Massawe “Wolper” akionekana amekaa kochini akiwa na kinywaji mkononi, aliandika maneno haya mara baada ya kubandika picha hiyio hapo juu;
“ 2015 ni mwaka wakuish utakavyo na huu 205678 ni mwaka wakuishi watakavyo ..Kauli mbiu bwana nazikubali sana”
Hii kwako imeaaje?!!!
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Wanatamani elimu wakiwa kwenye giza tororo
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Haya mwaka mpya huo, amkeni sasa
10 years ago
Habarileo03 Feb
Jela mwaka mmoja kwa kuishi nchini kinyemela
RAIA wa Nigeria Amos Emeka (41) amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini bila kibali.
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Shoga; mwaka 2016 uwe wa kuboresha penzi lenu!
Asalaam aleykhum! Shoga yangu bila shaka unaelewa kwamba mwaka 2015 uliokuwa na matukio makubwa ya kihistoria duniani na hapa nchini kwetu kufuatia kuwepo uchaguzi mkuu uliomuwezesha Dk. John Pombe Magufuli ‘Mzee wa kutumbua majipu’ kuingia Ikulu ya Magogoni ndo unaishia.
Ni wazi kwamba unatafakari na kufanya tathmini ya mafanikio uliyoyapata katika mwaka huu au namna ambavyo hujafanya kitu chochote cha maendeleo huku ukishuhudia majirani zako wakijenga nyumba, kununua magari, kusomesha...
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Ubaguzi kwenye soka: 'Huwezi kujua kile anachohisi muhusika wakati huo'
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Muda unayoyoma kwa mazungumzo ya Iran
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mh. Kabaka atembelea Banda la PPF kwenye maonyesho ya Sabasaba na kuvutiwa na Utendaji Kazi wa Mfuko huo
Mwenyekiti wa Bodi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh Ramadhan Kijjah (Kulia) akisalimiana na Waziri wa Kazi na Ajira, Mh Gaudensia Kabaka wakati alipotembelea banda la PPF kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa katika Viwanja vya sabasaba.
Waziri wa Kazi na Ajira, Mh Gaudensia Kabaka akipokelewa na wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakati alipotembelea Banda la PPF kwenye maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar Es Salaam.
Afisa Huduma Kwa Wateja wa Mfuko wa Pensheni...