Shoga; mwaka 2016 uwe wa kuboresha penzi lenu!
Asalaam aleykhum! Shoga yangu bila shaka unaelewa kwamba mwaka 2015 uliokuwa na matukio makubwa ya kihistoria duniani na hapa nchini kwetu kufuatia kuwepo uchaguzi mkuu uliomuwezesha Dk. John Pombe Magufuli ‘Mzee wa kutumbua majipu’ kuingia Ikulu ya Magogoni ndo unaishia.
Ni wazi kwamba unatafakari na kufanya tathmini ya mafanikio uliyoyapata katika mwaka huu au namna ambavyo hujafanya kitu chochote cha maendeleo huku ukishuhudia majirani zako wakijenga nyumba, kununua magari, kusomesha...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Jan
MAONI YA MHARIRI: Mwaka 2016 uwe wa kujenga uchumi
9 years ago
Bongo504 Jan
Wasanii mwaka 2016 uwe wa kazi na si lawama – Fella
![fella3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/fella3-300x197.jpg)
Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe pamoja TMK Wanaume Family, Said ‘Mkubwa’ Fella, amewataka wasanii kuutumia mwaka 2016 vizuri kwa kutoa kazi nzuri na kuacha malalamiko yasiyo na tija.
Fella ambaye ametambulisha kundi jipya la muziki liitwalo Salam TMK, alikiambia kipindi cha Enewz cha EATV kuwa mwaka 2016 utakuwa mwaka mwema kama wasanii watautumia vizuri.
“Ninaweza nikawaambia wasanii wajibrand vizuri, lawama ndogo ndogo hazihitajiki tena mwaka 2016,” alisema.
“Kama kuna lawama...
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mbinu za kufufua penzi lenu
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M337wz3ftUCF7lu-mVwCDjRYQetPaA7LojzoKx4TCLlLznC6JCBga2oGUfH2tgnkQhamcij7*oWD-bFA1c545fRQ/AishwaryaRai.jpg)
SHOGA: MADOIDO MUHIMU KWENYE ENEO LENU LA KUJIDAI!
9 years ago
MichuziNHIF kuanza mwaka mpya wa 2016 kwa kuboresha huduma zao
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unategemea kuboresha baadhi ya huduma zao ifikapo 2016 ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma hizo kwa wananchi.
Akiyasema hayo leo Jijini Dar es salaam Kaimu Mkurugenzi Mkuu Michael Mhando amezitaja baadhi ya huduma ambazo wana mpango wa kuziboresha kwa mwaka 2016 zikiwemo za kuongeza huduma ya matibabu ya moyo kwa kutumia bima ya NHIF,kutoa mikopo ya dawa,kurekebisha mfumo wa ulipaji wa baadhi ya huduma pia kubadili...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKb27P3JwiHy*FejEQOHiALg1hLn9e6csUZDOlh0EyTwU8EjQitxtQ8U9FN4fJpSfUxw1oCWSZjUwx1OFR*gkZgCo*NFctfS/blackmaneatingfruit.jpg?width=650)
NI VIDOGO SANA LAKINI VINAWEZA KULINOGESHA PENZI LENU
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Mwaka 2014 uwe wa matumaini
RAIS wangu, mwaka 2013 tulisema ulikuwa ni majanga. Mwaka wa 2014 uwe kwetu mwaka wa matumaini. Ah! Mwaka 2013 ulijaa malalamiko ule! Madaktari walilalamika, walimu, wafanyakazi, wakulima na wafugaji wote...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Mwaka 2014 uwe wa mafanikio ya michezo
WAKATI mwaka 2013 ukielekea ukingoni, wadau wa michezo wana mengi ya kukumbuka; yawe ya huzuni au furaha kwa ajili ya kujitathmini na kujipanga upya kabla ya kuingia mwaka mpya wa...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Mwaka 2014 uwe wa waandishi kujirekebisha