Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii mwaka 2016 uwe wa kazi na si lawama – Fella

fella3

Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe pamoja TMK Wanaume Family, Said ‘Mkubwa’ Fella, amewataka wasanii kuutumia mwaka 2016 vizuri kwa kutoa kazi nzuri na kuacha malalamiko yasiyo na tija.

fella3

Fella ambaye ametambulisha kundi jipya la muziki liitwalo Salam TMK, alikiambia kipindi cha Enewz cha EATV kuwa mwaka 2016 utakuwa mwaka mwema kama wasanii watautumia vizuri.

“Ninaweza nikawaambia wasanii wajibrand vizuri, lawama ndogo ndogo hazihitajiki tena mwaka 2016,” alisema.

“Kama kuna lawama...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

MAONI YA MHARIRI: Mwaka 2016 uwe wa kujenga uchumi

Mwaka 2015 ulikuwa wa uchaguzi mkuu. Serikali ilitimiza wajibu wake, na wananchi; vijana kwa wazee, wake kwa waume walitekeleza wajibu wao uchaguzi ukafanyika tena kwa amani na utulivu.

 

9 years ago

Global Publishers

Shoga; mwaka 2016 uwe wa kuboresha penzi lenu!

Lovely couple hugging on their bed at home

Asalaam aleykhum! Shoga yangu bila shaka unaelewa kwamba mwaka 2015 uliokuwa na matukio makubwa ya kihistoria duniani na hapa nchini kwetu kufuatia kuwepo uchaguzi mkuu uliomuwezesha Dk. John Pombe Magufuli ‘Mzee wa kutumbua majipu’ kuingia Ikulu ya Magogoni ndo unaishia.

Ni wazi kwamba unatafakari na kufanya tathmini ya mafanikio uliyoyapata katika mwaka huu au namna ambavyo hujafanya kitu chochote cha maendeleo huku ukishuhudia majirani zako wakijenga nyumba, kununua magari, kusomesha...

 

9 years ago

Dewji Blog

2016 mwaka wangu wa mwisho – Gerrard, hii ndiyo kazi anayowaza kufanya baada ya kustaafu

football-gerrard-steven_3304393

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard (pichani) amesema anapenda kustaafu kucheza soka mwaka huu na kufanya kazi nyingine.

Gerrard ambaye ambaye aliondoka Liverpool mwaka uliyopita na kwenda kucheza Ligi ya Marekani MLS ambayo kwa sasa imemalizika aliliambia gazeti la Telegraph kuwa hana uhakika kwa asilimia zote kama utakuwa mwaka wake wa mwisho lakini anapendelea iwe hivyo.

“Sina...

 

9 years ago

Bongo5

Mwaka 2016 ni kazi tu – Shaa, aliweka ‘pending’ deal nono la Kenya ili kufanya muziki (Video)

12345711_718016738342763_71673018_n

Shaa ameutangaza mwaka 2016 kuwa ni mwaka wa ‘hapa kazi tu.’

Akiongea kwenye kipindi cha Uhondo cha EFM kinachoendeshwa na Dina Marious na Swebe Santana, Shaa alisema alilazimika kutolea nje deal nono aliyokuwa aifanye Kenya ili kuutumia mwaka ujao nyumbani na kufanya muziki zaidi.

“Kuna kazi nyingine tena inabidi itoke mwezi wa tatu, na nyingine tena inabidi itoke mwezi wa sita, nyingine tena mwezi wa tisa. Kwahiyo utakuwa ni mwaka ambao nitakuwa niko busy sana. Nataka niutumie kimuziki...

 

9 years ago

Michuzi

WASANII WAMUUNGA MKONO SAID FELLA

 Mgombea wa nafasi ya udiwani katika kata ya Kilungule Said Fella (kushoto) akiteta jambo  na mgombea wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Mbagala Issa Mangungu, wakati wa uzinduzi wa kampeni za udiwani ambazo zimezinduliwa jana.Msanii Richard  Maviko, (katikati) akiwa na wasanii wenzake  wakitoa salamu maalum ya kumuunga mkono mgombea wa udiwani katika Kata ya Kilungule Said Fella, ambaye  amezindua rasmi kampeni katika kata hiyo.Msanii wa muziki wa kizazi kipya Lameck Ditto akiongea kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Said Fella anasimamia wasanii 102

Said Fella anasimamia kijiji kizima cha wasanii! Kwa mujibu muasisi huyo wa Mkubwa na Wanawe, wasanii waliopo chini yake ni takriban 102. Hiyo kwa ni changomoto kubwa kama alivyokiambia kipindi cha Clouds E cha Clouds TV. “Sasa hivi wakati mchanga bado hajatoka humuoni mtu yeyote anayejitokeza, humuoni ndugu yake wala nani,” alisema. “Changamoto nyingine msanii […]

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WASHIRIKI KIKAO KAZI CHA UTAYARISHAJI WA MPANGO WA MANUNUZI WA WIZARA WA MWAKA 2015/2016 MJINI MOROGORO

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mwamini Malemi wa nne kutoka kulia  akiwa pamoja na Wakuu wa Taasisi zote za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi waliohudhuria Kikao Kazi cha Utayarishaji wa Mpango wa Manunuzi wa wizara wa mwaka 2015/2016 kilichoanza leo katika hoteli ya Oasis mjini Morogoro, watatu kutoka kushoto ni Kamishna wa Lojistiki na Fedha wa Jeshi la Polisi Clodwig Mtweve, wa pili kushoto ni Kamishna wa Fedha wa Jeshi la Magereza Sanga, waliosimama nyuma ni baadhi...

 

9 years ago

Dewji Blog

HESLB yajivua lawama wanafunzi vyuo vikuu kukosa mikopo 2015/2016

New Picture (4)

Na Mwandishi wetu

Zaidi ya wanafundi 50,000 watashindwa kuendelea na masomo ya elimu ya juu kutokana na kushindwa kupata mikopo kutoka katika Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB).

Hayo yamebainika ikiwa ni siku nne tangu HESLB kutoa majina ya wanafunzi waliofanikiwa kupata mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016, huku idadi kubwa ikiwa haimo katika majina hayo.

Katika mwaka huu wa masomo bodi ya mikopo imeweza kuwapatia mikopo wanafunzi 12,000 pekee sawa na 17.1% ya waombaji zaidi ya 70,000,...

 

10 years ago

GPL

HOTUBA YA MHESHIMIWA CECILIA DANIEL PARESSO (MB), MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI WIZARA YA KAZI NA AJIRA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016

Mhe. Cecilia Daniel Paresso (MB). (Inatolewa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge kanuni ya 99(9) toleo la mwaka 2013). 1.0 Utangulizi
Mheshimiwa Spika,
Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunilinda na kunitunza ili niweze kutumikia Taifa langu. Napenda kuishukuru familia yangu kwa msaada mkubwa na uvumilivu hasa ninapokuwa katika shughuli zangu za kisiasa. Mheshimiwa Spika,
Napenda kutumia fursa hii,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani