Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Said Fella anasimamia wasanii 102

Said Fella anasimamia kijiji kizima cha wasanii! Kwa mujibu muasisi huyo wa Mkubwa na Wanawe, wasanii waliopo chini yake ni takriban 102. Hiyo kwa ni changomoto kubwa kama alivyokiambia kipindi cha Clouds E cha Clouds TV. “Sasa hivi wakati mchanga bado hajatoka humuoni mtu yeyote anayejitokeza, humuoni ndugu yake wala nani,” alisema. “Changamoto nyingine msanii […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WASANII WAMUUNGA MKONO SAID FELLA

 Mgombea wa nafasi ya udiwani katika kata ya Kilungule Said Fella (kushoto) akiteta jambo  na mgombea wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Mbagala Issa Mangungu, wakati wa uzinduzi wa kampeni za udiwani ambazo zimezinduliwa jana.Msanii Richard  Maviko, (katikati) akiwa na wasanii wenzake  wakitoa salamu maalum ya kumuunga mkono mgombea wa udiwani katika Kata ya Kilungule Said Fella, ambaye  amezindua rasmi kampeni katika kata hiyo.Msanii wa muziki wa kizazi kipya Lameck Ditto akiongea kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Wasanii mwaka 2016 uwe wa kazi na si lawama – Fella

fella3

Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe pamoja TMK Wanaume Family, Said ‘Mkubwa’ Fella, amewataka wasanii kuutumia mwaka 2016 vizuri kwa kutoa kazi nzuri na kuacha malalamiko yasiyo na tija.

fella3

Fella ambaye ametambulisha kundi jipya la muziki liitwalo Salam TMK, alikiambia kipindi cha Enewz cha EATV kuwa mwaka 2016 utakuwa mwaka mwema kama wasanii watautumia vizuri.

“Ninaweza nikawaambia wasanii wajibrand vizuri, lawama ndogo ndogo hazihitajiki tena mwaka 2016,” alisema.

“Kama kuna lawama...

 

11 years ago

Habarileo

Magereza yapata leseni 102 za uchimbaji

Kamishna Jenerali wa Magereza, John MinjaJESHI la Magereza limepata leseni 102 za uchimbaji wa madini ya ujenzi katika maeneo mbalimbali ya magereza nchini.

 

10 years ago

GPL

TRUE LOVE (PENZI LA KWELI)-102

Ugonjwa hatari wa Ebola ulioikumba nchi ya Liberia iliyopo Magharibi mwa Bara la Afrika, unasababisha matatizo makubwa kwenye mapenzi ya vijana wawili waliokuwa wakipendana kwa dhati, Laurance na Rafiki ambao wote walikuwa madaktari. Laurance aliyesafirishwa na Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa hadi nchini Liberia kuungana na jopo la madaktari kusaidiana kupambana na ugonjwa wa Ebola, anajikuta akiambukizwa ugonjwa huo hatari...

 

11 years ago

Habarileo

Shahidi apeleka simu 102 mahakamani

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imepokea simu 102 kutoka kwa shahidi wa nne katika kesi ya wizi wa simu inayowakabili wafanyakazi sita wa Kampuni ya kupakia na kupakua mizigo ya Swissport, kama kielelezo cha mashitaka kwa washitakiwa.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Korti yapokea simu 102 kama ushahidi


NA SYLVIA SEBASTIAN
MAHAKAMA ya Wilaya Ilala, imekubali kupokea simu 102, kama kielelezo cha shahidi Koplo Furahin ambaye alitoa ushahidi wa kesi ya wizi wa simu inayowakabili washitakiwa sita.
Pia imeamuru kwamba mwenye mali akabidhiwe simu zake kwa kuwa hazina pingamizi.
Washitakiwa hao katika kesi hiyo ni Idd Pawa, Hamada Mohammed, Haji Waziri, Yusuph Muhangwa, Hashimu Idd, Ally Omary na Mathias Ndunguru.
Washitakiwa hao walipanda kizimbani jana, mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Juma Hassan...

 

10 years ago

Habarileo

Acacia wamwaga milioni 102/- kwa timu

KAMPUNI ya Uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Acacia kupitia Mgodi wake wa Bulyanhulu, juzi ulitoa msaada wa vifaa vya nichezo pamoja na hundi ya Sh milioni 60 kwa timu nne zilizopo katika kata zinazozunguka mgodi huo ikiwemo moja inayoshiriki Ligi Daraja la Pili ngazi ya Taifa.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali barabarani zaua 969 ndani ya siku 102

Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani DCP Mohammed Mpinga WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiungana na Watanzania kuomboleza vifo vya watu 19 walioteketea katika ajali ya basi lililoungua moto baada ya kugongana na lori juzi mjini Morogoro, imefahamika kuwa, ajali za barabarani zimegharimu maisha ya watu 969 kati ya Januari Mosi na Aprili 12 mwaka huu.

 

11 years ago

CloudsFM

Mtangazaji wa 102.5 Choice FM kuiwakilisha Tanzania kwenye kongamano la Obama

Picha kwa hisani ya ubalozi wa Marekani Tanzania

U.S. Embassy Public Affairs Officer Ms. Marissa Maurer kushoto akikabithi ticket kwa Mtangazaji kutoka Clouds Media group (Choice FM 102.5) Louissa Babbie Kabae ambae pia ni brand Manager kushiriki kwenye U.S. Commitment to Africa Reporting Tour kuanzia July 26 through August 8 nchini Marekani.

Kabae ataungana na Waandishi wengine zaidi ya 20 kutoka nchi mbalimbali Afrika kwenye tour Washington DC na kwenye jiji la Atlanta kwa ajili ya U.S –...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani