Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Korti yapokea simu 102 kama ushahidi


NA SYLVIA SEBASTIAN
MAHAKAMA ya Wilaya Ilala, imekubali kupokea simu 102, kama kielelezo cha shahidi Koplo Furahin ambaye alitoa ushahidi wa kesi ya wizi wa simu inayowakabili washitakiwa sita.
Pia imeamuru kwamba mwenye mali akabidhiwe simu zake kwa kuwa hazina pingamizi.
Washitakiwa hao katika kesi hiyo ni Idd Pawa, Hamada Mohammed, Haji Waziri, Yusuph Muhangwa, Hashimu Idd, Ally Omary na Mathias Ndunguru.
Washitakiwa hao walipanda kizimbani jana, mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Juma Hassan...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Shahidi apeleka simu 102 mahakamani

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imepokea simu 102 kutoka kwa shahidi wa nne katika kesi ya wizi wa simu inayowakabili wafanyakazi sita wa Kampuni ya kupakia na kupakua mizigo ya Swissport, kama kielelezo cha mashitaka kwa washitakiwa.

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Simu ya Mwanaume Naiona Kama Bomu-Lulu

Siku hizi sio kitu cha ajabu kusikia au kuona wapenzi wamegombana na kufikia hadi kuachana kisa simu za mikononi.

Wapo wanaoishi kwenye dhana ya simu ya mkonomni ya mpenzi wako ni simu yako na wapo wanaoishi kwenye dhana ya kila mtu na simu yake na mambo yake hakuna kuchunguza simu ya mwenzio.

Mrembo na mwingizaji, Elizabeth Michael “Lulu” ameweka wazi mtanzamo wake kuhusu simu ya mpenzi wake kwa kusema yeye hawezi kuipekuwa kwani anaiona kama ni bomu.

Lulu aliandika hayo kwenye ukurasa...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5

Kila mtu anaanza mwaka na mipango yake, 2016 ndio hii kwenye countdown ya tarehe za January… kama ishu ya kubadili simu iko kwenye mipango yako ya mwanzo mwanzo wa mwaka basi naomba nikufahamishe machache kuhusu hii Phantom 5. Kwa sababu Tecno wamethibitisha kuwasogezea Watanzania matoleo kadhaa ya simu za smartphones zenye viwango vyake sokoni, basi kuna […]

The post Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5 appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Said Fella anasimamia wasanii 102

Said Fella anasimamia kijiji kizima cha wasanii! Kwa mujibu muasisi huyo wa Mkubwa na Wanawe, wasanii waliopo chini yake ni takriban 102. Hiyo kwa ni changomoto kubwa kama alivyokiambia kipindi cha Clouds E cha Clouds TV. “Sasa hivi wakati mchanga bado hajatoka humuoni mtu yeyote anayejitokeza, humuoni ndugu yake wala nani,” alisema. “Changamoto nyingine msanii […]

 

11 years ago

Habarileo

Magereza yapata leseni 102 za uchimbaji

Kamishna Jenerali wa Magereza, John MinjaJESHI la Magereza limepata leseni 102 za uchimbaji wa madini ya ujenzi katika maeneo mbalimbali ya magereza nchini.

 

9 years ago

GPL

TRUE LOVE (PENZI LA KWELI)-102

Ugonjwa hatari wa Ebola ulioikumba nchi ya Liberia iliyopo Magharibi mwa Bara la Afrika, unasababisha matatizo makubwa kwenye mapenzi ya vijana wawili waliokuwa wakipendana kwa dhati, Laurance na Rafiki ambao wote walikuwa madaktari. Laurance aliyesafirishwa na Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa hadi nchini Liberia kuungana na jopo la madaktari kusaidiana kupambana na ugonjwa wa Ebola, anajikuta akiambukizwa ugonjwa huo hatari...

 

9 years ago

Habarileo

Acacia wamwaga milioni 102/- kwa timu

KAMPUNI ya Uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Acacia kupitia Mgodi wake wa Bulyanhulu, juzi ulitoa msaada wa vifaa vya nichezo pamoja na hundi ya Sh milioni 60 kwa timu nne zilizopo katika kata zinazozunguka mgodi huo ikiwemo moja inayoshiriki Ligi Daraja la Pili ngazi ya Taifa.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali barabarani zaua 969 ndani ya siku 102

Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani DCP Mohammed Mpinga WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiungana na Watanzania kuomboleza vifo vya watu 19 walioteketea katika ajali ya basi lililoungua moto baada ya kugongana na lori juzi mjini Morogoro, imefahamika kuwa, ajali za barabarani zimegharimu maisha ya watu 969 kati ya Januari Mosi na Aprili 12 mwaka huu.

 

11 years ago

CloudsFM

Mtangazaji wa 102.5 Choice FM kuiwakilisha Tanzania kwenye kongamano la Obama

Picha kwa hisani ya ubalozi wa Marekani Tanzania

U.S. Embassy Public Affairs Officer Ms. Marissa Maurer kushoto akikabithi ticket kwa Mtangazaji kutoka Clouds Media group (Choice FM 102.5) Louissa Babbie Kabae ambae pia ni brand Manager kushiriki kwenye U.S. Commitment to Africa Reporting Tour kuanzia July 26 through August 8 nchini Marekani.

Kabae ataungana na Waandishi wengine zaidi ya 20 kutoka nchi mbalimbali Afrika kwenye tour Washington DC na kwenye jiji la Atlanta kwa ajili ya U.S –...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani