Mtangazaji wa 102.5 Choice FM kuiwakilisha Tanzania kwenye kongamano la Obama
Picha kwa hisani ya ubalozi wa Marekani Tanzania
U.S. Embassy Public Affairs Officer Ms. Marissa Maurer kushoto akikabithi ticket kwa Mtangazaji kutoka Clouds Media group (Choice FM 102.5) Louissa Babbie Kabae ambae pia ni brand Manager kushiriki kwenye U.S. Commitment to Africa Reporting Tour kuanzia July 26 through August 8 nchini Marekani.
Kabae ataungana na Waandishi wengine zaidi ya 20 kutoka nchi mbalimbali Afrika kwenye tour Washington DC na kwenye jiji la Atlanta kwa ajili ya U.S –...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJAMBO BUKOBA KUIWAKILISHA TANZANIA KWENYE KONGAMANO LA MICHEZO LA " DISCOVER FOOTBALL" NCHINI UJERUMANI.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-8p0Y_KYDSwo/VVuRRG86atI/AAAAAAAABjQ/VxVu04JSZxE/s72-c/Millen-Happiness-Magese.jpg)
MILLEN MAGESE KUIWAKILISHA TANZANIA KWENYE BET AWARDS 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-8p0Y_KYDSwo/VVuRRG86atI/AAAAAAAABjQ/VxVu04JSZxE/s400/Millen-Happiness-Magese.jpg)
10 years ago
Bongo518 Aug
‘Kerewa’ ya Shetta yaingia kwenye Top 10 za Radio 3 Nigeria, NAIJA 102.7 FM, CITY 105.1 FM na THE BEAT 99.9FM
10 years ago
VijimamboDk Bilal aongoza ujumbe wa Tanzania kwenye kongamano la kimataifa kuhusu biashara haramu ya wanyamapori duniani
10 years ago
Mtanzania19 May
Vanessa Mdee kuiwakilisha Tanzania mkutano wa uchumi
NA MWANDISHI WETU
VANESSA Mdee ni miongoni mwa wasanii tisa wa muziki kutoka nchi mbalimbali za Afrika, watakaowakilisha katika mkutano wa kiuchumi wa dunia kwa Afrika na wa viongozi wa nchi za Umoja wa Afrika wakati watakapozindua wimbo wa ‘Strong Girl’ unaohamasisha kampeni inayojulikana kama “Poverty is Sexist”.
Licha ya wimbo huo kuja kuzinduliwa rasmi katika mkutano huo utakaofanyika nchini Afrika Kusini, kwa sasa unaendelea kuzinduliwa katika nchi mbalimbali ikiwemo Nigeria, Msumbiji...
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Van Vicker:Mtangazaji anayefunika kwenye filamu
11 years ago
Bongo519 Jul
Tarajia kumuona VJ Penny kama mtangazaji kwenye show kubwa ya TV
10 years ago
Bongo516 Jan
Mtangazaji wa Magic Fm, TeeJay achukua nafasi ya Jokate kwenye ‘The One Show’ ya TV One