‘Kerewa’ ya Shetta yaingia kwenye Top 10 za Radio 3 Nigeria, NAIJA 102.7 FM, CITY 105.1 FM na THE BEAT 99.9FM
Shetta ameanza kuona matunda ya video yake ya ‘Kerewa’ aliyoifanya Afrika Kusini na director GodFather. Baada ya video yake kuanza kuchezwa kwenye vituo vya kimataifa kama MTV Base, Channel O na Soundcity, wimbo huo aliomshirikisha Diamond Platnumz umeingia kwenye Top 10 za Radio tatu za Nigeria. Kupitia chati ya NAIJA 102.7 FM ‘Kerewa’ ipo nafasi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo531 Aug
‘Game’ ya Navy Kenzo yazidi kushika chati Nigeria, yakamata namba 1 kwenye Top 10 ya Radio nyingine ya Lagos
9 years ago
Bongo511 Nov
Kundi la Navy Kenzo lachaguliwa kuwania tuzo za ‘Top Naija Music Awards 2015’ za Nigeria
Kundi la Navy Kenzo limechaguliwa kuwania kipengele cha Kundi Bora La Muziki katika tuzo za ‘Top Naija Music Awards 2015’ za Nigeria.
Makundi mengine ya Nigeria ambao yanawania kipengele kimoja na Navy Kenzo ni Dupi 2, Connect Music Group (Cmg), Ace Republic, Dp-Kings na Betrose.
Kura zimeanza kupigwa November 8, 2015 na zitafungwa December 31, 2015. Washindi wa tuzo hizo watatangazwa January 2, 2016 na sherehe ya utolewaji wa tuzo itafanyika January 26, 2016 jijini Lagos, Nigeria.
Navy...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
‘Kerewa’ ya Shetta yatafuna mil. 21
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Shetta, amesema ametenga sh milioni 21 kwa ajili ya video ya wimbo wake wa ‘Kerewa’ ambayo anatarajia kuifanya na mtayarishaji mahiri kutoka Afrika...
11 years ago
CloudsFM30 Jun
11 years ago
GPL28 Jun
9 years ago
Bongo524 Aug
‘Nana’ ya Diamond yakamata namba 1 kwenye DNA Top 5 ya BBC Radio 1Xtra ya UK