‘Nana’ ya Diamond yakamata namba 1 kwenye DNA Top 5 ya BBC Radio 1Xtra ya UK
Inatia moyo kuona nyimbo za wasanii wa Tanzania zinafanya vizuri kwenye chati mbalimbali za vituo vya Radio na Tv ndani na nje ya Afrika. Tumeshuhudia kazi za wasanii wa Bongo akiwemo Diamond, Vanessa Mdee, Alikiba, Joh Makini, Navy Kenzo ziking’ara katika chati za vituo tofauti. Wimbo wa Diamond aliomshirikisha staa wa Nigeria Mr Flavour, ‘Nana’ […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo531 Aug
‘Game’ ya Navy Kenzo yazidi kushika chati Nigeria, yakamata namba 1 kwenye Top 10 ya Radio nyingine ya Lagos
9 years ago
Bongo528 Sep
Album ya Drake na Future yakamata namba 1 kwenye Billboard 200 Chart
9 years ago
Bongo530 Sep
‘Game’ ya Navy Kenzo yakamata namba 1 kwenye ‘Official African Chart ‘ ya MTV Base
9 years ago
Bongo530 Oct
‘Game’ ya Navy Kenzo yashika namba 1 kwenye Top 10 ya Trace Urban
![game2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/game2-94x94.png)
10 years ago
Bongo518 Aug
‘Kerewa’ ya Shetta yaingia kwenye Top 10 za Radio 3 Nigeria, NAIJA 102.7 FM, CITY 105.1 FM na THE BEAT 99.9FM
10 years ago
Bongo512 Jan
T-Pain wa Marekani kuja Tanzania mwezi ujao, kutumbuiza na Diamond kwenye uzinduzi wa Radio mpya, Mwanza
9 years ago
Bongo524 Nov
Diamond aongoza kwenye orodha ya ‘Top 15 African Artists of 2015’ ya Afrimma
![mondi new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mondi-new-300x194.jpg)
Waandaaji wa tuzo za African Muzik Magazine (AFRIMMA) wametoa orodha yao ya wasanii 15 bora wa Afrika kwa mwaka huu, ‘Top 15 African Artists of 2015’.
Kupitia website yao, Afrimma wameandika kuwa Diamond Platnumz ndiye msanii aliyeshika nafasi ya kwanza katika orodha hiyo, huku Wzkid kutoka Nigeria akifata kwenye nafasi ya pili, Olamide kwenye nafasi ya tatu na na Davido akiwa kwenye nafasi ya nne.
Kwenye tuzo za Afrimma mwaka huu zilizofanyika Oct. 10 Dallas, Marekani, Diamond alishinda...
10 years ago
Bongo518 Dec
‘Coco Baby’ ya Waje ft. Diamond ndio wimbo unaoongoza kuombwa zaidi kwenye Radio nchini Nigeria kwa sasa — Star Fm
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MuEFkifYx5o/VWjY_Cc_09I/AAAAAAAHawQ/GwKh0_o4ZZ8/s72-c/20150529141110.jpg)