Magereza yapata leseni 102 za uchimbaji
JESHI la Magereza limepata leseni 102 za uchimbaji wa madini ya ujenzi katika maeneo mbalimbali ya magereza nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Leseni uchimbaji madini zafutwa
10 years ago
Habarileo04 Nov
Leseni sita za uchimbaji madini zatolewa
SERIKALI imesema kuwa leseni zote za madini zikiwemo za utafiti, uchimbaji na zile za kuhodhi maeneo, zitakaguliwa baada ya miezi sita baada ya kutolewa kwa wamiliki ili kuhakikisha kuwa maeneo yaliyoombewa leseni, yanaendelezwa.
11 years ago
Dewji Blog20 May
Wachimbaji wadogo wapewa mtaji na leseni za uchimbaji
Na Nathaniel Limu, Ikungi
KAMPUNI ya uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Shanta Mining Ltd imetoa leseni tatu na mtaji wa shilingi milioni 40 kwa kikundi cha wachimbaji wadogo cha Aminika cha kijiji cha Mang’onyi Wilayani Ikungi, Mkoani Singida.
Kikundi hicho Aminika Gold Mine Co- Operative Society Ltd Mang’onyi, kimekabidhiwa leseni hizo hivi karibuni na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stepheni Maselle kwenye kijiji cha Sambaru.
Akikabidhi leseni hizo Naibu Waziri Maselle amewataka...
10 years ago
Michuzi08 Apr
SHAMY TOURS YA ZANZIBAR YAPATA LESENI YA UTALII SWEDEN
![IMG_2176](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_2176.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4UI1qgZmUA/U_XSJSuszbI/AAAAAAAGBJY/cBFkwiOEcO4/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
SHIRIKA LA MAGEREZA KUINGIA UBIA WA UCHIMBAJI MADINI YA CHOKAA NA KAMPUNI YA TWIGA CEMENT YA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4UI1qgZmUA/U_XSJSuszbI/AAAAAAAGBJY/cBFkwiOEcO4/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NSYMSRme8Gc/U_XSJXXQpvI/AAAAAAAGBJg/YNmCs5V6R5A/s1600/unnamed%2B(76).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tLhNh7Fybqs/VItCRUW4S6I/AAAAAAAG21I/Pr51NG-knRA/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
MAKABIDHIANO YA MKATABA WA MAKUBALIANO YA MRADI WA UBIA WA UCHIMBAJI MADINI YA CHOKAA KATI YA SHIRIKA LA TWIGA CEMENT NA MAGEREZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tLhNh7Fybqs/VItCRUW4S6I/AAAAAAAG21I/Pr51NG-knRA/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8QAUooKQF6g/VItCRuV0I-I/AAAAAAAG21Y/4woemD8ZsaU/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
11 years ago
MichuziCLOUDS MEDIA YAPATA LESENI YA URUSHAJI WA MATANGAZO KATIKA NCHI ZA FALME ZA KIARABU.
Clouds TV kimataifa ni mwendelezo wa televisheni maarufu sana kwa vijana nchini Tanzania, hata hivyo sehemu kubwa ya maudhui yatakayokuwemo kwenye Clouds TV...
11 years ago
Dewji Blog17 May
Shanta yatoa leseni, Mtaji, huku Tan Discovery yakabidhi vifaa kwa kikundi cha uchimbaji wa Dhahabu cha Aminika Singida
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Manju Msambya akizungumza na wananchi wa kijiji cha Sambaru kwenye hafla hiyo ya makabidhiano ya leseni tatu.
Na Hillary Shoo,
KAMPUNI ya uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Shanta Mining Ltd, imetoa leseni tatu na mtaji wa shilingi milioni 40 kwa kikundi cha wachimbaji wadogo cha Aminika cha kijiji cha Mang’onyi Wilayani Ikungi Mkoani Singida.
Kikundi hicho Aminika Gold Mine Co- Operative Society Ltd Mang’onyi kimekabidhiwa leseni hizo jana na Naibu...