WASANII WAMUUNGA MKONO SAID FELLA
Mgombea wa nafasi ya udiwani katika kata ya Kilungule Said Fella (kushoto) akiteta jambo na mgombea wa nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Mbagala Issa Mangungu, wakati wa uzinduzi wa kampeni za udiwani ambazo zimezinduliwa jana.
Msanii Richard Maviko, (katikati) akiwa na wasanii wenzake wakitoa salamu maalum ya kumuunga mkono mgombea wa udiwani katika Kata ya Kilungule Said Fella, ambaye amezindua rasmi kampeni katika kata hiyo.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Lameck Ditto akiongea kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Nyota wa zamani wamuunga mkono Nkwabi
BAADHI ya wachezaji wa zamani wa timu ya Simba, wameibuka na kusema wanamuunga mkono mgombea wa nafasi ya makamu wa rais katika klabu hiyo, Swedi Nkwabi kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika...
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Wanawake wamuunga mkono JPM kufanya usafi
11 years ago
Habarileo31 Dec
CCM Kigoma wamuunga mkono Zitto Kabwe
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kigoma Mjini kimeunga mkono hatua ya Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA aliyevuliwa madaraka, Zitto Kabwe kusimamia demokrasia na matumizi sahihi ya fedha katika chama chake.
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_00791.jpg)
WANAHARAKATI WAMUUNGA MKONO JK KUPAMBANA NA UJANGILI
10 years ago
Bongo Movies07 May
Mastaa wa Bongo Movies, Kajala na Riyama Wamuunga Mkono Mabeste
“WAUNGWANA wangu wapendwa wangu Naomba kwahisani yako Pitia uzuri hayo maelezo ktk bango hakikisha haikupiti hii kama kweli wewe ni mzalendo pia onesha kuguswa na mtihani ambao unamkabili sasahivi kakayetu ndugu yetu mwenzetu Mabeste halafu sema hata mimi ni binadamu nisie kamilika matatizo mitihani na maradhi nimeumbiwa mimi.
Mimi nilishayabeba Haya kua kwaupende wangu maumivu niliopata hayaelezeki nikapata jibu kua pengine asingekua yeye leo hii ningeweza kua mimi ndio mwenye mtihani huu...
9 years ago
StarTV25 Nov
 Wataalamu wa ujenzi wamuunga mkono Rais Magufuli katika maendeleo ya uchumi
Rais wa chama cha wakadiriaji majenzi Tanzania amesema Udhibiti wa gharama za ujenzi katika miradi mbalimbali ya Serikali ni jambo la msingi katika kukua kwa maendeleo ya kiuchumi kwa nchi yeyote duniani.
Hayo yameelezwa na Rais wa chama cha wakadiriaji majenzi Tanzania TIQS Samuel Marwa wakati wa mkutano mkuu wa mwaka uliofanyika jijini Dar es salaam.
Rais wa chama cha wakadiriaji majenzi, Samuel Marwa amesema Tanzania bado inakabiliwa na uchache wa wataalamu hao kwani vyuo vinavyotoa...
9 years ago
Bongo515 Oct
Said Fella anasimamia wasanii 102